Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Mungu fundi mno.Huu sasa ndiyo utawala bora, yule mwendazake alitaka kuharibu nchi. Sema Mungu findi kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu fundi mno.Huu sasa ndiyo utawala bora, yule mwendazake alitaka kuharibu nchi. Sema Mungu findi kweli kweli
Lissu anaviita vyama vya makaratasiKwa sababu vyama vingine Ccm imevichonga yenyewe.
Wakati Mbowe yupo ndani Samia alipokuwa anapost kitu Tweeter, 90% ya comments zilikuwa Mbwowe sio gaidi[emoji3]Ukweli mtupu. Zile siasa za huko nyuma ni hayawani tu anaweza kuzifurahia. Dunia tunapita tutende yanayofaidisha jamii
8m Ni fewchama kikuu cha upizani. Beatrice chama gani kina wanachama zaidi laki moja Tanzania? CUF?, ACT?, Chauma? It is only Chadema with some few millions.
Duuuh shikamoooChadema ni chama makini na mahiri.
Wamepitia machungu mengi na hili ndilo limewapa krediti kuwa pamoja na mateso na vifungo bado wako imara.
Kuhusu vyama vingine ccm haiwezi kuwapa umuhimu sawa na chadema kwasababu wana ndimi mbili.
ACT hawakljulikani wanasimamia nini.
Mbatia alianza usaliti enzi za jiwe.
Cuf tayari waneanza na kampeni Samia ashinde.
CCM ni kama shetani.
Shetani huwa hapambani na wenye dhambi anajua ni watumishi wake bali hupambana na watakatifu na wacha Mungu.
Mshana Jr jr
AMEN AMEN AMENShetani huwa hapambani na wenye dhambi anajua ni watumishi wake bali hupambana na watakatifu na wacha Mungu.
Hili jibu zuri sanaChadema ni chama makini na mahiri.
Wamepitia machungu mengi na hili ndilo limewapa krediti kuwa pamoja na mateso na vifungo bado wako imara.
Kuhusu vyama vingine ccm haiwezi kuwapa umuhimu sawa na chadema kwasababu wana ndimi mbili.
ACT hawakljulikani wanasimamia nini.
Mbatia alianza usaliti enzi za jiwe.
Cuf tayari waneanza na kampeni Samia ashinde.
CCM ni kama shetani.
Shetani huwa hapambani na wenye dhambi anajua ni watumishi wake bali hupambana na watakatifu na wacha Mungu.
Mshana Jr jr
AMENUkweli mtupu. Zile siasa za huko nyuma ni hayawani tu anaweza kuzifurahia. Dunia tunapita tutende yanayofaidisha jamii
Ukijiheshimu lazima utaheshima tu hakuna namna tofauti na yale mazwazwa kama Zito na genge lakeChadema wamesimama imara na misimamao Yao imewafanya waitwe ikulu Kwa heshima na siyo kwenda tu: lakini pamoja na nguvu waliyonayo kwanini wanavifanya vyama vingine kama siyo wapinzani? Akina Lipumba na Zito hata Mbatia wamepotelea Wapi kwenye ramani ya siasa?
Lakini pia kuitwa kwao ikulu kimkakati Toka Lisu akutane na Mhe. RAIS mbona kama kunawafanya akina Mdee waonekana kama wanadhalilika? Vyama vingine vitajikwamua vipi mikononi mwa CCM kama Chadema itaamua kusimana yenyewe kama inavyofanya Sasa?
Hao wanaoitwa na Rais Samia wakae naye ikuluKuna Chama kimeshampitisha mgombea Urais wa Chama kingine kuwa Rais miaka 3½ kabla ya uchaguzi wenywewe. Nacho unataka kiitwe Chama cha upinzani?
KujibrandUkijiheshimu lazima utaheshima tu hakuna namna tofauti na yale mazwazwa kama Zito na genge lake