Kwanini CHADEMA wanawatukana sana watu wa kanda ya ziwa na kuwaita Sukuma gang?

Hii mada Imepinda.
Imepindishwa,
Itapindisha.
Tume ya Haki, Iwe Tume ya Ukweli, na Ukweli mtupu na Kifungo Juu.

Hatahivyo.....

Hakuna genge wala Gang inayoitwa Sukuma sehemu yeyote ile Tanzania. Muulizeni Nape au Msigwa. Shabash!

League of Hate!
 
Siyo kila mtu kutoka kanda ya ziwa ni sukuma gang wala msukuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…