Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #321
Matusi hayo hayakubaliki kabisa. Mbowe anatakiwa atubu leo dhambi yake hii.Tangu waanze kuwaita hilo jina maarufu kabisa la sukuma gang mmeshagawanyika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi hayo hayakubaliki kabisa. Mbowe anatakiwa atubu leo dhambi yake hii.Tangu waanze kuwaita hilo jina maarufu kabisa la sukuma gang mmeshagawanyika?
Sana tu.Kwahiyo wasukuma ndio mtazuia huo urais CDM kuupata?
Chadema hawawezi kuupata urais wasiposhirkiana na wasukumaKwahiyo wasukuma ndio mtazuia huo urais CDM kuupata?
Unajua maana ya neno gang. Gang maana yake ni jambazi. Kwahiyo wasukuma ni majambazi?Tusi liko wapi hapo? Au mimi ndiye sielewi!
Tunashirikiana na makabila yote bila kujali ni wasukuma, waha au wangoni. Lakini sio sukuma gang.Chadema hawawezi kuupata urais wasiposhirkiana na wasukuma
![]()
Mtakoma. Mnawabagua wasukuma. Subirini kuanzia leo mtaona namna gani wasukuma wananguvu hapa Tanzania.Tunashirikiana na makabila yote bila kujali ni wasukuma, waha au wangoni. Lakini sio sukuma gang.
Wewe ni pimbi, huwezi kulazimisha kuficha nyeti za kuku uvumapo upepo eti wasiuoneNarudia tena, sukuma gang sio kabila, bali ni kundi haramu liliondesha ukatilili wa wapinzani wao wa kisiasa. Na wengi waliojihusisha na kundi hilo haramu walikuwa ni viongozi toka kanda ya ziwa. Na walishiriki uovu ule ili kujipatia mapato kwa njia haramu na ya vitisho. Labda useme wasukuma wote walishiriki uhayawani alioendesha Magufuli kwenye nchi hii. Isitoshe hata huyo Magufuli hakuwa msukuma, bali alijinasibisha na kabila hilo ili kujipatia mtaji wa kisiasa wa bei rahisi.
Wewe ni pimbi, huwezi kulazimisha kuficha nyeti za kuku uvumapo upepo eti wasiuone
Unachokisema hapani unalazimisha kuficha ukweli ambao mara nyingi mmekuwa mkionywa na kushupaza"
Mmelazimika kuwagawa wasukuma na chama chenu halafu leo unasema skg sio kabila kwa kuwa mnaenda kufanya mkutano kwao
Unasema haya uili uwavutie?
Chadema hawatumii akili bali mizuka inayowapanda kwa wakati huo ndio inakuwa kibwagizo chao,
Chadema ni genge la wafu wahuni walioshindikana kwa wazazi wao na ndiyo maana wana maneno machafu wasemapoOna unaendeleza ukabila tu. Na kuleta kejeli. Kwahiyo chato haifai kuwepo Tanzania? Kwanini unaleta siasa za kibaguzi? Hivi nyie CHADEMA mtaacha lini ubaguzi? Unataka kuanza kuwabagua watanzania?
Mwambie tuu kwamba hiyo brand haiwezi kufa 🤣🤣Sio kwamba hilo jina litasimama, hilo jina liko hapo hapo na hakuna kitu chochote utakachofanya wewe na sukuma gang wenzio. Ukatili uliondeshwa magufuli dhidi ya wapinzani wake kisiasa uko wazi, labda useme na kabila la wasukuma nali lilishiriki unyama ule. Na ukitaka kueneza hiyo propaganda chukua gari la matangazo uzunguke mji mzima wa Mwanza, kisha useme wasukuma wanaitwa sukuma gang na CDM. Lakini Jmos utaona nyomi la ukweli. Jiandae kumeza chuma, kisha unye Boga.
Hawa Mende hapo furahisha hawana hata watu licha ya kuokoteza watu kutoka tarime nk! Hamna icon person kama Dr Slaa!Mwambie tuu kwamba hiyo brand haiwezi kufa 🤣🤣
Urais mtausikia tu redioni na kuuona kwenye TV!!Tunashirikiana na makabila yote bila kujali ni wasukuma, waha au wangoni. Lakini sio sukuma gang.
Hawa CHADEMA ni wapuuzi sana! Kila leo wanazungumza mabaya na Magufuli na kuponda wasukuma jibu leo wanalo!Urais mtausikia tu redioni na kuuona kwenye TV!!
Tayari wamenyooshwa hapo Furahisha pamoja na kuzunguka mji mzima kwa maandamano na kuleta watu toka nje ya Mwanza. Na bado!!!Hawa CHADEMA ni wapuuzi sana! Kila leo wanazungumza mabaya na Magufuli na kuponda wasukuma jibu leo wanalo!
Laana ya kuwatukana kanda ya ziwa.Tayari wamenyooshwa hapo Furahisha pamoja na kuzunguka mji mzima kwa maandamano na kuleta watu toka nje ya Mwanza. Na bado!!!
Mhuni atatukanwa tu. Sukuma gang haimaanishi wasukuma wote... Bali kundi la washenzi wachache washabiki wa unyama na Kila aina ya ufedhuli !!Dunia inaenda kwa haraka sana. Na mambo yaenda kwa kasi sana.
Tangu mwaka 2019 CHADEMA imekuwa na msemo wa kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang.
Nimekuwa na jiuliza kwa muda mrefu sana ni nini sababu ya hawa watu kuwaita watanzania wenzao majina yenye kuashiria kutugawa watanzania? Mpaka leo natafuta kujua hawa CHADEMA wapo na lengo gani na jambo hili?
Maana ukipitia kwenye mitandao ya kijamii taarifa nyingi wanazieneza na kuwatusi watanzania wa kanda ya ziwa. Sujui lengo kubwa ni nini?
View attachment 2486017
Sasa nawaombeni wenzangu humu JF tujadili suala hili tulimalize. Hawa CHADEMA lengo lao ni nini kuanza kuwasakama watu wa kanda ya ziwa?
Gang maana yake ni nini? Na Sukuma maana yake ni nini?Mhuni atatukanwa tu. Sukuma gang haimaanishi wasukuma wote... Bali kundi la washenzi wachache washabiki wa unyama na Kila aina ya ufedhuli !!
Sent using Jamii Forums mobile app