Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Wachina walio katika nchi yenu ni wapitaji tu,Hiyo hoja ya watu kukimbilia kwenye mataifa ya Magharibi huwa ni moja wapo ya hoja za kipumbavu na sijui ni kwann huwa mnaiendekeza.
Yaani utadhani nchi za Magharibi tu ndo zina wahamiaji tu hapa duniani.
Suala la mtu kutoka nchi moja kwenda nyingine mara nyingi huwa nitafuta furusa hasa za kiuchumi kwani wachina wako Marekani na Ulaya tu? Wachina siwametapakaa mpaka ndani ya nchi yetu?
Mbona Ufilipino na India ni mataifa yanayo jiita ni ya kidemokirasia lakini mamilioni ya raia wake wamejazana mashariki ya kati ambapo mataifa yote yanaongozwa kidkiteta?
Itachukua muda mrefu sana kukueleza sababu Wahindi wamesambaa sehemu kubwa ya dunia lakini kwa wingi zaidi Marekani, Canada, Ulaya Africa na Uarabuni na huku wakiwa hawapo Russia au China.
Jifunze Historia vizuri, Philippines iliyopitia mikononi mwa Ferdinand Marcos bado ni demokrasia changa, pia ni rahisi Wafilipino masikini kwenda uarabuni kuliko Marekani.
Kuna mengi unatakiwa ujifunze.