NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Hapana wanawake wanakonazao za kutupiga pesa kizembe sana,nishajua sasa chupi ni bukubuku tu,Hapana jamani, inategemea ananunua chupi gani na ananunulia wapi.
Wewe ni Muongo,tena wewe utakua unanunua chupi tatu bukuLabda chupi za 1000/= zinauzwa huko kwenu KwaMtogole ,unadhani wote humu shopping tunafanya Karume??Jipime kwanza kabla ujaleta Uzi,hii inaonyesha unaishi mitaa gani.
Nenda pale Mlimani City na baby wako ukamnunulie chupi ya 1000/= kama haujafukuzwa na wale polisi ukawekwe lockup!
Mm huwa namnunulia chupi shemeji yako pale Mcity kitu kama 50,000/= kwa chupi moja na sidiria pia zina range hapo,huwa nanunua duzani nzima kila mwezi.
Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?
Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.
Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.
Tafadhali bwana! Mwaka mzima chupi moja umetuua kabisa! [emoji3][emoji3][emoji3]Kuna sababu moja tuu muhimu.
Chupi kwa mwanamke sio option, lakini mwanaume kubaa chupi ni hiari yako tena wanashauri mwanaume asivae kabisa.
Pili mwanamke chupi anabadilisha zaidi ya mara 1 kwa siku hivo inabidi awe nazo nyingi .. tofauti na mwanaume boxer moja mwaka mzima.
Tafadhali bwana! Mwaka mzima chupi moja umetuua kabisa! [emoji3][emoji3][emoji3]
Kila kitu kwetu ghali..labda ndiyo malipo kwetu sababu hatubebi mimba!Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?
Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.
Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.
Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?
Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.
Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.