Kwanini chupi za kike zinauzwa bei rahisi kuliko za kiume?

Kwanini chupi za kike zinauzwa bei rahisi kuliko za kiume?

boxer inafunika eneo kubwa nyingine hadi mapajani kwahiyo inatumia kitambaa kikubwa, ila chupi za kike zinawaziba sehemu ndogoo na haitumii kitambaa kikubwa
 
hahahaha, we jamaa nimecheka sana kwa sauti. Ni kweli kiuchumi lazima chupi za kike za siku hizi ziwe cheap kwa sababu:-

1. Zinatumia kitambaa kidogo sana, ni nyembamba sana kama kamba fulani tu hata ule mfereji haizibi vizuri;
2. Demand imepungua sana, wanawake wengi hawavai siku hizi kwa sababu ya usumbufu wa kuvua vua mara nyingi. Wanakuja hivyo hivyo unafunua tu unaendelea; na
3. Wengi hawavai tena kwa sababu tight inatosha tu (tight imechukua nafasi ya chupi na ''andasketi''- ile ndefu kama sketi tulikuwa tunaziona kirahisi tukicheza nao shuleni).
Maelezo yamejitosheleza mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?

Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.

Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.
ndo mana tunavaa boxer 1 miezi mitatu
 
Nunua uvae
Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?

Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.

Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.

Sent using Jamii Forums mobile
 
Mdada mmoja anaweza kua na chupi 10. Wakaka nyie mkiwa nazo nyingi basi ni 2 au 3. Hata watengenezaji wanafidia hasara kwa kuweka bei kubwa

Sent From Galaxy S9
 
Back
Top Bottom