Kwanini chupi za kike zinauzwa bei rahisi kuliko za kiume?

Kwanini chupi za kike zinauzwa bei rahisi kuliko za kiume?

Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?

Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.

Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.
unaweza kununua ukavivaa,kwani nani anakuona mkuu?
 
Vaeni zetu basi, cha msingi si mazaga yashikiliwe au?
 
B'cause mzunguko wake ni wa fasta sana unakuta demu mmoja ana chupi zaidi ya 100 but wanaume mf. Mimi ninayo boxer moja tu ikiisha ndo nanunua ingne.
.#Maendeleo hayana vyama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umeona za kiume ghali nunua za kike vaa uokoe gharama
 
Labda chupi za 1000/= zinauzwa huko kwenu KwaMtogole ,unadhani wote humu shopping tunafanya Karume??Jipime kwanza kabla ujaleta Uzi,hii inaonyesha unaishi mitaa gani.

Nenda pale Mlimani City na baby wako ukamnunulie chupi ya 1000/= kama haujafukuzwa na wale polisi ukawekwe lockup!

Mm huwa namnunulia chupi shemeji yako pale Mcity kitu kama 50,000/= kwa chupi moja na sidiria pia zina range hapo,huwa nanunua duzani nzima kila mwezi.
 
Kitu chochote ambacho rotation yake ni ndogo hua kinauzwa bei kubwa na kina margin kubwa pia..........
We Kuna mijanaume mpaka leo inavaa chupi za mwaka Jana wkt KE watakua wamebadirisha sn tuuu......
I THINK!!
 
Labda chupi za 1000/= zinauzwa huko kwenu KwaMtogole ,unadhani wote humu shopping tunafanya Karume??Jipime kwanza kabla ujaleta Uzi,hii inaonyesha unaishi mitaa gani.

Nenda pale Mlimani City na baby wako ukamnunulie chupi ya 1000/= kama haujafukuzwa na wale polisi ukawekwe lockup!
Mm huwa namnunulia chupi shemeji yako pale Mcity kitu kama 50,000/= na sidiria pia zina range hapo.
Kinachofanya ipande bei ni ile ac tu mkuu. Ila kiuhaliasia chupi za kike sio bei kubwa sana
 
Kinachofanya ipande bei ni ile ac tu mkuu. Ila kiuhaliasia chupi za kike sio bei kubwa sana
Sio Air Condition ndugu ila Quality ni tofauti pia mitumba ina grade zake kama haujajua unaweza nunua kiatu cha mtumba au nguo ya mtumba huko Karume mwenzako akanunua pale Mcity akatimbia mpk akawarithisha na wajukuu wake wakati mtumba wa karume hata mwaka hautoboi ,
 
G-String nyingi hivyo bei chee
Sasa pale kwenye G string ndio wanawake wanauziwa nini? Nafuu si bora wajifunge hata nyuzi(kamba) za viatu kuliko kurudi nyumbani unaliona tako kama limevaa ndala![emoji2817][emoji2817][emoji2817]

ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ "ᴷⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ"
 
wananunua bei chee ila mwanaume kuja kuivua lazima utoboke
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ "ᴷⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ"
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ "ᴷⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ"
Ni shidaa mkuu,unawez Muonga hela ya kununua dozen kama 10 iv xo hawana hasara
 
Back
Top Bottom