GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano dazen za chupi ni Tshs ngapi?Mara mbili kama afya yako ni njema ukioga asubui na jioni.
Inategemea na ubora wake au fashion yake unaweza pata kuanzia elfu kumi na mbili na kuendeleaMfano dazen za chupi ni Tshs ngapi?
Kwani wanaume wanavaa chupi hadi leo mzeeee????Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?
Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.
Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.
Wacha weee.Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?
Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.
Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.
Nyuzi kama hizi za paints na boxer hukosekani! Mbona kwenye thread za Corona sikuoni mwenzangu?Boxers zinatumia kitambaa kikubwa bana tofauti na vyupi mfano zile G-strings ni vikamba tu, so lazima boxer iwe bei juu,lkn pia kuna pants ambazo bei ghari kutegemea na quality yake.
Naona wote hatokosekani eeh,tena siyo "paints" ni pants ,mimi hizi nyuzi ndiyo nazipenda huko kwenye Corona ukiniwakilisha wewe siyo mbaya. Kuna mpya gani kwanza huko dawa imepatikana?Nyuzi kama hizi za paints na boxer hukosekani! Mbona kwenye thread za Corona sikuoni mwenzangu?
Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?
Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.
Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.
Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini?
Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera.
Yani boxa zetu zinauzwa ghali mno wakati vichupi vya wadada vinauzwa buku na ukilialia hata jero unauziwa.
hahahaha, we jamaa nimecheka sana kwa sauti. Ni kweli kiuchumi lazima chupi za kike za siku hizi ziwe cheap kwa sababu:-Jiongeze mkuu, kitambaa cha mashono kinauzwa kwa mita za mraba, sasa unataka kulinganisha bei ya vile vikamba na kitambaa cha boxer kweli??
Sent using Jamii Forums mobile app