Kwanini civil war za wazungu ziliitwa world war?

Kwanini civil war za wazungu ziliitwa world war?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Kwanza naanza kwa kuwapa pole Iran kwa kile kitakacho wajia hivi karibuni.

Pili nataka kujua sababu iliyopelekea vita vya wenyewe kwa wenyewe za wazungu kuitwa vita kuu za dunia wakati vita za huku africa zinaitwa civil war licha ya kusababisha maafa makubwa pengine kuliko hata hizo world war.

Sasa wameanza tena vita vyao vya kikabila na kidini wanataka kuvikuza viwe WW3 sisi hatutaki, tutaendelea kutambua vita hivyo kama civil war tu.

Hapo Congo kuna majeshi ya nchi kibao ikiwamo nchi za wazungu na yameshindwa kuleta amani. Hii ndiyo world war sasa maana haiishi na hawataki kuondoa vikosi vyao vya wizi.
 
Hakuna vita ya kidini zaidi ya uwezo wako mdogo maana hutaki kujifunza, check hii bloc ina Iran , Russia, china na North korea ...Kiimani ni nchi tofauti .

Vita ya dunia walipigana wagalatia , hakuna sehemu watu wametukana wakristo .


Wewe na wenzio ndio mnawatukana waislamu wengine kweny ujinga wenu wa vita ....
 
Hakuna vita ya kidini zaidi ya uwezo wako mdogo maana hutaki kujifunza, check hii bloc ina Iran , Russia, china na North korea ...Kiimani ni nchi tofauti .

Vita ya dunia walipigana wagalatia , hakuna sehemu watu wametukana wakristo .


Wewe na wenzio ndio mnawatukana waislamu wengine kweny ujinga wenu wa vita ....
Soma vizuri bandiko
 
Kwanza naanza kwa kuwapa pole Iran kwa kile kitakacho wajia hivi karibuni.

Pili nataka kujua sababu iliyopelekea vita vya wenyewe kwa wenyewe za wazungu kuitwa vita kuu za dunia wakati vita za huku africa zinaitwa civil war licha ya kusababisha maafa makubwa pengine kuliko hata hizo world war.

Sasa wameanza tena vita vyao vya kikabila na kidini wanataka kuvikuza viwe WW3 sisi hatutaki, tutaendelea kutambua vita hivyo kama civil war tu.
Kuna wapumbavu waliokaririshwa huko sekondari wapo wanajambajamba tu hapa watakwambia athari zake zinagusa dunia mzima.
 
Kwanza naanza kwa kuwapa pole Iran kwa kile kitakacho wajia hivi karibuni.

Pili nataka kujua sababu iliyopelekea vita vya wenyewe kwa wenyewe za wazungu kuitwa vita kuu za dunia wakati vita za huku africa zinaitwa civil war licha ya kusababisha maafa makubwa pengine kuliko hata hizo world war.

Sasa wameanza tena vita vyao vya kikabila na kidini wanataka kuvikuza viwe WW3 sisi hatutaki, tutaendelea kutambua vita hivyo kama civil war tu.
Inakuwa vita ya kidunia kwa sababu ya madhara yake. Mifumo mingi ya maisha inaathiriwa kwa mataifa yote ulimwenguni.
 
Hao wanapigana kivyao , ukiwa huelewi ndio utashabiki ..Kiufupi sisi watanzania hatuhusiki kwa namna yoyote ile kama mafuta tutachukua kwa Dangote.
Naam, huu ndiyo ukweli, acha wapigane vita vyao vya kikabila sisi hatuhusiki.
 
Naona Boss la DP umewashitukia wazungu wanataka kukupunguza spidi usinunue bandari nyingi za Afrika 😁
 
Hao wanapigana kivyao , ukiwa huelewi ndio utashabiki ..Kiufupi sisi watanzania hatuhusiki kwa namna yoyote ile kama mafuta tutachukua kwa Dangote.
Dangote nae vifaa vya kuendesha mitambo ya visima na mitambo yake
vyake atanunua wapi?
 
Wana roho mbaya sana hawa watu
Vita ya kwanza ilianza kwa njaa zao
Na sasa ni muendelezo ule ule
 
Kuna wapumbavu waliokaririshwa huko sekondari wapo wanajambajamba tu hapa watakwambia athari zake zinagusa dunia mzima.
Mpumbavu wa kwanza ni wewe. Unajiita "Mr" kwa kukaririshwa lugha ya kigeni ya Waingereza, kwanini usijiite tittle ya kilugha chako ambacho kwingine duniani hakuna anayekijua. Jiite Bwana Q, Laigwenan Q, Chifu Q, Tata Q, n.k.

Kwanini usijiite kwa maandishi ya lugha yako ya asili na uumbaji wenu wa herufi ambao haupo. Kwa mantiki hiyo herufi Q usingetumia sababu najua kilugha chako kwanza hakina standard set of letters kama ilivyo "alphabet".

Unaona ilivyo ngumu kukwepana na kitu kinachoathiri dunia kwa pamoja? Ndivyo na zile vita mbili zilivyokuwa.
 
Back
Top Bottom