Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
- Thread starter
- #21
Hata congo kuna wazungu wa un walikuja kupigana.Okay sawa husikii bongo kuna watu walienda kupigana vita ya pili.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata congo kuna wazungu wa un walikuja kupigana.Okay sawa husikii bongo kuna watu walienda kupigana vita ya pili.?
kwani wachina wanapigana vita?Dangote nae vifaa vya kuendesha mitambo ya visima na mitambo yake
vyake atanunua wapi?
Ni kweli Mkuu uko sahihi. 😊Hata congo kuna wazungu wa un walikuja kupigana.
Bidhaa zao waziuzia wapi kama German wanapigana vita na lile ni soko wanalolitegemea kwaajili ya kuuza bidhaa zao muhimu.kwani wachina wanapigana vita?
German ?
Cha kwanza unatakiwa ujue maana ya neno "World" halafu ujue Africa siyo sehemu ya world-decision-makers. World ni kwa nchi baadhi za Asia, Europe yote na nchi mbili za north America.Okay sawa husikii bongo kuna watu walienda kupigana vita ya pili.?
Hiyo vita haiwahusu kila mtu biashara zake zitaendelea, kwani USA kipind cha vita ya pili alipigana!? Alikuwa ni supplier wa silaha tu .Bidhaa zao waziuzia wapi kama German wanapigana vita na lile ni soko wanalolitegemea kwaajili ya kuuza bidhaa zao muhimu.
Na halikuwa taifa kubwaHiyo vita haiwahusu kila mtu biashara zake zitaendelea, kwani USA kipind cha vita ya pili alipigana!? Alikuwa ni supplier wa silaha tu .
Civil war ni vita vya ndani ya nchi ficha kidogo ujinga wakoKwanza naanza kwa kuwapa pole Iran kwa kile kitakacho wajia hivi karibuni.
Pili nataka kujua sababu iliyopelekea vita vya wenyewe kwa wenyewe za wazungu kuitwa vita kuu za dunia wakati vita za huku africa zinaitwa civil war licha ya kusababisha maafa makubwa pengine kuliko hata hizo world war.
Sasa wameanza tena vita vyao vya kikabila na kidini wanataka kuvikuza viwe WW3 sisi hatutaki, tutaendelea kutambua vita hivyo kama civil war tu.
Hapo Congo kuna majeshi ya nchi kibao ikiwamo nchi za wazungu na yameshindwa kuleta amani. Hii ndiyo world war sasa maana haiishi na hawataki kuondoa vikosi vyao vya wizi.
Nikijua kuna atakaye jibu hivi. Tatizo hapa ni IQ.Civil war ni vita vya ndani ya nchi ficha kidogo ujinga wako
Tuliza munkari kwanza Bw. Mdogo. Bila shaka una details za kutosha juu ya vita kati ya tz na uganda. Kwanini isiitwe angalau vita ya aftika au basi vita ya east afrika kwa sababu ni ngumu kukwepana na madhara ya kidunia kwa pamoja? Yani ukanda fulani wanapigana ninyi huko mnajinyea nyea na kuita vita ya dunia? Kwa nini? Kwa sababu ni dependants wa hao ma bwana wanaopigana?Mpumbavu wa kwanza ni wewe. Unajiita "Mr" kwa kukaririshwa lugha ya kigeni ya Waingereza, kwanini usijiite tittle ya kilugha chako ambacho kwingine duniani hakuna anayekijua. Jiite Bwana Q, Laigwenan Q, Chifu Q, Tata Q, n.k.
Kwanini usijiite kwa maandishi ya lugha yako ya asili na uumbaji wenu wa herufi ambao haupo. Kwa mantiki hiyo herufi Q usingetumia sababu najua kilugha chako kwanza hakina standard set of letters kama ilivyo "alphabet".
Unaona ilivyo ngumu kukwepana na kitu kinachoathiri dunia kwa pamoja? Ndivyo na zile vita mbili zilivyokuwa.
Mwalimu wa historia huyu, amekariri haya tangu chekechea na hataki kutafakari kile alicho ambiwaTuliza munkari kwanza Bw. Mdogo. Bila shaka una details za kutosha juu ya vita kati ya tz na uganda. Kwanini isiitwe angalau vita ya aftika au basi vita ya east afrika kwa sababu ni ngumu kukwepana na madhara ya kidunia kwa pamoja? Yani ukanda fulani wanapigana ninyi huko mnajinyea nyea na kuita vita ya dunia? Kwa nini? Kwa sababu ni dependants wa hao ma bwana wanaopigana?
Wazungu hawaamini kwenye dini wala hawajawahi kufanya jambo kisa imani, wazungu wanaangalia interests and intetests onlyKwanza naanza kwa kuwapa pole Iran kwa kile kitakacho wajia hivi karibuni.
Pili nataka kujua sababu iliyopelekea vita vya wenyewe kwa wenyewe za wazungu kuitwa vita kuu za dunia wakati vita za huku africa zinaitwa civil war licha ya kusababisha maafa makubwa pengine kuliko hata hizo world war.
Sasa wameanza tena vita vyao vya kikabila na kidini wanataka kuvikuza viwe WW3 sisi hatutaki, tutaendelea kutambua vita hivyo kama civil war tu.
Hapo Congo kuna majeshi ya nchi kibao ikiwamo nchi za wazungu na yameshindwa kuleta amani. Hii ndiyo world war sasa maana haiishi na hawataki kuondoa vikosi vyao vya wizi.
Hujazuiwa kuiita unavyotaka wewe. Hujalazimishwa, kama ambavyo ile nyingine unaiita vita ya "Uganda na Tanzania" na jina likaishia hapo hiyo unayokataa kuiita vita ya pili ya dunia iite jina lingine.Tuliza munkari kwanza Bw. Mdogo. Bila shaka una details za kutosha juu ya vita kati ya tz na uganda. Kwanini isiitwe angalau vita ya aftika au basi vita ya east afrika kwa sababu ni ngumu kukwepana na madhara ya kidunia kwa pamoja? Yani ukanda fulani wanapigana ninyi huko mnajinyea nyea na kuita vita ya dunia? Kwa nini? Kwa sababu ni dependants wa hao ma bwana wanaopigana?
Sasa mbona unataka kulazimisha regional wars ziwe WWs? Anacho sema mtoa mada inabidi ukielewe vyemaHujazuiwa kuiita unavyotaka wewe. Hujalazimishwa, kama ambavyo ile nyingine unaiita vita ya "Uganda na Tanzania" na jina likaishia hapo hiyo unayokataa kuiita vita ya pili ya dunia iite jina lingine.
Iite vita ya Germany, France, United Kingdom, Poland, USSR, USA, Canada, Australia, Japan, Egypt, Tunisia, Austria, Italy, Netherlands, Norway, Philippines, Sweden, Belgium. Na nchi chache nilizosahau utakuwa umemaliza.
Unajua ni regions zipi zilishiriki vita ya pili ya dunia?Sasa mbona unataka kulazimisha regional wars ziwe WWs? Anacho sema mtoa mada inabidi ukielewe vyema
Duh!Hiyo vita haiwahusu kila mtu biashara zake zitaendelea, kwani USA kipind cha vita ya pili alipigana!? Alikuwa ni supplier wa silaha tu .
Soma uelewa japan alishambulia mali za Marekani , USA kaingia mwishoni kabisa .Duh!
Ivi katika ile ya vita ya II ya Dunia, Japani alikuwa akipigana na nani?