Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Kumbe alipigana, na siyo ku-supply Vifaa tu.Soma uelewa japan alishambulia mali za Marekani , USA kaingia mwishoni kabisa .
We Bongo zozo? (Kiswahili kinakushinda)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe alipigana, na siyo ku-supply Vifaa tu.Soma uelewa japan alishambulia mali za Marekani , USA kaingia mwishoni kabisa .
Kwa hiyo hakuwa supplier unabisha sio?Kumbe alipigana, na siyo ku-supply Vifaa tu.
We Bongo zozo? (Kiswahili kinakushinda)
Including mamluki? Huko ndiko unataka twende? Mind reader naona unataka kunipeleka hukoUnajua ni regions zipi zilishiriki vita ya pili ya dunia?
Hatuko Kwa ajili ya kubishana hapa.Kwa hiyo hakuwa supplier unabisha sio?
Wewe wakati unataja regional wars ulitaja region ipiIncluding mamluki? Huko ndiko unataka twende? Mind reader naona unataka kunipeleka huko
Mkuu , Je Kuwepo vita mahali flani au nchi flani kwa muda mrefu hiyo ndio maana ya vita ya Dunia ?.Hapo Congo kuna majeshi ya nchi kibao ikiwamo nchi za wazungu na yameshindwa kuleta amani. Hii ndiyo world war sasa maana haiishi na hawataki kuondoa vikosi vyao vya wizi
Wazungu na Waarabu wame brainwashed bongo zetu; ukifatilia mjadara wetu humu kuhusu vita vya middle east utagundua weusi wengi tumeoshwa ubongo wetu na umekua hauna kitu kabisa. Baadhi ya maandishi ya watu humu ukiyasoma unaweza kuhisi kabisa huyu ni muislam na yule mkristo na laiti wakikutana hawa 2 lazima watazichapa kavu kavu kwa kile kinacho endelea mashariki ya kati. Weusi wengi wa hapa bongo wanajua eti pale middle east kuna vita vya kidini, stupid. Hawajui kama kuna idadi kubwa sana ya Wapalestina ambao ni Wakristo, hawajui kama wapo Wayahudi wengi tu ambao bi Waislamu. Nawashauri, waende wakatafute mwanzilishi wa Islamic state alikua Mwarabu Mwislam wa nchi ipi? Majibu yatawashangaza sana. Angalia how Mossaid wana nguvu sana Iran, is because Wa Iran wengi tu na wapo hadi kwenye mifumo ya kijeshi, kiutawala, bungeni hadi misikitini lakini ni Wayahudi. Osama alisajiri Wayahudi wa kutosha kwenye kikundi chake cha Al Qaida na ndio maana siku anaipiga jengo la World center hakuna Myahudi hata mmoja aliyekufa though kulikua na idadi kubwa tu ya Wayahudi kwenye jengo lile. Watu hawa wameanza kupigana wakati Waarabu wana amini katika Mungu Baali, masanamu nk, enzi hakuna kitu kinaitwa Uislam but they were fighting. Wale wanagombea ardhi, sio dini.Kwanza naanza kwa kuwapa pole Iran kwa kile kitakacho wajia hivi karibuni.
Pili nataka kujua sababu iliyopelekea vita vya wenyewe kwa wenyewe za wazungu kuitwa vita kuu za dunia wakati vita za huku africa zinaitwa civil war licha ya kusababisha maafa makubwa pengine kuliko hata hizo world war.
Sasa wameanza tena vita vyao vya kikabila na kidini wanataka kuvikuza viwe WW3 sisi hatutaki, tutaendelea kutambua vita hivyo kama civil war tu.
Hapo Congo kuna majeshi ya nchi kibao ikiwamo nchi za wazungu na yameshindwa kuleta amani. Hii ndiyo world war sasa maana haiishi na hawataki kuondoa vikosi vyao vya wizi.

kule ndio duniani mkuu huku kwetu ni kuzimu tuuKwanza naanza kwa kuwapa pole Iran kwa kile kitakacho wajia hivi karibuni.
Pili nataka kujua sababu iliyopelekea vita vya wenyewe kwa wenyewe za wazungu kuitwa vita kuu za dunia wakati vita za huku africa zinaitwa civil war licha ya kusababisha maafa makubwa pengine kuliko hata hizo world war.
Sasa wameanza tena vita vyao vya kikabila na kidini wanataka kuvikuza viwe WW3 sisi hatutaki, tutaendelea kutambua vita hivyo kama civil war tu.
Hapo Congo kuna majeshi ya nchi kibao ikiwamo nchi za wazungu na yameshindwa kuleta amani. Hii ndiyo world war sasa maana haiishi na hawataki kuondoa vikosi vyao vya wizi.
Bunker Busters 😆Kwanza naanza kwa kuwapa pole Ira
Nimesoma na ninafanya kwenye kituo cha tafiti za kihistoria, unaweza kuni pm nikualike kama una hoja tujadili tuoneshane na evidence. Vita kuu ya dunia ni 1 tu na inaendelea hapo Congo.Umesoma historia kweli ww
Hapa nakubaliana nawewe 100%Maafa ya dunia Yalitakiwa kuwa yale ya Utumwa wa waafrika kipindi waarabu&wazungu walipovamia Afrika.
Hicho ndio kipindi ambacho kulitakiwa angalau kuitwa Vita vya dunia maana kila taifa la watu weupe lilitaka kuitawala afrika, huku maelfu ya waafrika wakifa kwa kujitetea na wengine kuuliwa bila sababu.
Hakuna janga lililomaliza watu wengi kama utumwa wa waafrika, hivyo basi hiyo migogoro ambayo wazungu walipigana na wapumbavu wenzao, haina sifa ya kuitwa vita/maafa ya dunia.
Mfano, wewe na jiran mpotwangana na kuamua kuziba njia za mitaa yenu huku mkiteka baadhi ya raia wa mtaa wenu na kuwalazimisha wapiganie pande zenu, je huo mgogoro wenu utaitwa vita vya mtaa? Ama vita vya fulani na fulani?
Hakuna vita vya dunia na havitawai kuwepo, hao watu weupe ni mambo mengi wameharibu, bahat mbaya hata mifumo ya elimu yetu wameharibu, mijitu tuliyotegemea isome ije kuwafunza waafrika wenzetu ndio hii bado akili zao zinawaza kitumwa, walimu wengi bado wapumbavu, akili zao zinawaza kitumwa.
Si ajabu utumwa wa walimu wanauambukiza hata kwa wanafunzi, kwa kuwafunza elimu ya uoga,uongo na upuuzi, mwisho wa siku tunaendeleza kizazi cha wapuuzi na watumwa wanaojivunia utumwa(wasomi).
Siku ambayo walimu wenyewe wataamka na kuukataa huu utumwa na uzushi wa kutumika kikoloni ktk kuharibu elimu sahihi kwa watoto basi Afrika itachange mazima.
Tumedanganywa mengi sana, na uongo unatumika kuutetea huo uongo, kwa kuita huo uongo eti historia, sayansi na upuuzi mwingine kama facts&points,
Narudia tena, wazungu,waarabu, wachina, wahindi, waajemi, warusi na weupe wote hao ni washenzi wanaojiona Miungu watu hapa dunian, mambo yanayotokea ktk ardhi zao wanayapa promo kupitia media zao na kuyalazimisha yaonekane ni maafa ya dunia, huu ni upuuzi.
Waafrika ndio jamii pekee ambayo inateketea kwa kasi na idadi kubwa kuliko sehemu yoyote ile apa dunian, lkn husikii media zao zikipiga kelele wala kulaani, ila sasa huko kwao wakifa hata raia 100 kelele kila kona ya media&mitandaoni, huku na sisi tukilazimishwa kulaani majanga yao.
Upuuzi mtupu, dunia bila ya uwepo wa watu weupe ingelikuwa sehemu salama sana, bahati mbaya tunaishi na vizazi vya laana(white people).
Hata marekani walikua na civil war za kuunganisha states. Em rudia nots zako za form 2 kama lugha tatizo muazime mtoto wa darasa la saba daftar lake la maarifa ya jamii na uache kusumbua watu humuKwanza naanza kwa kuwapa pole Iran kwa kile kitakacho wajia hivi karibuni.
Pili nataka kujua sababu iliyopelekea vita vya wenyewe kwa wenyewe za wazungu kuitwa vita kuu za dunia wakati vita za huku africa zinaitwa civil war licha ya kusababisha maafa makubwa pengine kuliko hata hizo world war.
Sasa wameanza tena vita vyao vya kikabila na kidini wanataka kuvikuza viwe WW3 sisi hatutaki, tutaendelea kutambua vita hivyo kama civil war tu.
Hapo Congo kuna majeshi ya nchi kibao ikiwamo nchi za wazungu na yameshindwa kuleta amani. Hii ndiyo world war sasa maana haiishi na hawataki kuondoa vikosi vyao vya wizi.