Kwanini Congo haiwapigii kelele Waarabu na Wachina waache kununua madini kutoka Rwanda?

Kwanini Congo haiwapigii kelele Waarabu na Wachina waache kununua madini kutoka Rwanda?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Wateja wakubwa wa bidhaa zote za Rwanda kuanzia madini, kahawa hadi chai kwa nje ya Waafrika ni Waarabu wa UAE na China. Katika kelele zote za Congo kutaka watu wasitishe kununua bidhaa za Rwanda wanazipigia nchi za Ulaya na Marekani! Huu mbona kama ni mkanganyiko!

Kwa nini Congo isiwabane UAE na China kuhusiana na mizigo inayotoka Rwanda wanayoadai ni madini yao badala yake wanalilia kwa watu ambao hawana biashara kubwa na Rwanda?!
Screenshot_20250212-170020_X.jpg
 
Back
Top Bottom