Kwanini CWT inatumia nguvu kubwa kutaka wanachama wake kujaza fomu TUF 15?

Kwanini CWT inatumia nguvu kubwa kutaka wanachama wake kujaza fomu TUF 15?

Joined
Jan 22, 2014
Posts
33
Reaction score
83
Chama Cha walimu Tanzania, kwasasa wanatumia nguvu kubwa kuwashawishi walimu kujaza form ya TUF 15 ambayo ukiisoma inataka mwanachama aijaze ili kuridhia makato yanayokatwa na mwajiri kwenda CWT.

Swali ninalojiuliza kama makato yao yamekuwepo miaka yote Tena wakati mwingine bila ridhaa ya mwalimu kwanini Sasa wanatumia nguvu kubwa kutaka kila mwalimu ajaze form iyo?

Pia naona kuna agizo lililotolewa na chama cha walimu nyamagana kutaka walimu wakusanye salary slip zao, bila kueleza sababu ya kwanini wanazihitaji.
IMG-20220628-WA0008.jpg
 
Chama Cha walimu Tanzania, kwasasa wanatumia nguvu kubwa kuwashawishi walimu kujaza form ya TUF 15 ambayo ukiisoma inataka mwanachama aijaze ili kuridhia makato yanayokatwa na mwajiri kwenda CWT.
Swali ninalojiuliza kama makato yao yamekuwepo miaka yote Tena wakati mwingine bila ridhaa ya mwalimu kwanini Sasa wanatumia nguvu kubwa kutaka kila mwalimu ajaze form iyo?
Pia naona kuna agizo lililotolewa na chama cha walimu nyamagana kutaka walimu wakusanye salary slip zao, bila kueleza sababu ya kwanini wanazihitaji. View attachment 2276564
Mbona wanajichosha wakati CWT ni jini la CCM ndo maana kwenye uchaguzi wao wa kitaifa mwenyekiti wa CCM lazima awepo ili kuhakikisha anasinda chawa wake kwa huo uchaguzi,

Just simple, waende utumishi afisa utumishi awape data zote wanazotaka maana mbuzi wa bwana Heri na shamba la bwana Heri Wala hakuna kinachoshindikana.
 
Vyama vya kazi kwa zama hizi havina kazi. Tangu mwaKa 2015 bila nyongeza ya mshahara, wala watu kupanda madaraja hivyo vyama vilifanya nini? wanakula michango ya bure
piga chini
jitoeni kwenye hivyo vyama kwa wingi vikose uhalali
 
Chama Cha walimu Tanzania, kwasasa wanatumia nguvu kubwa kuwashawishi walimu kujaza form ya TUF 15 ambayo ukiisoma inataka mwanachama aijaze ili kuridhia makato yanayokatwa na mwajiri kwenda CWT.

Swali ninalojiuliza kama makato yao yamekuwepo miaka yote Tena wakati mwingine bila ridhaa ya mwalimu kwanini Sasa wanatumia nguvu kubwa kutaka kila mwalimu ajaze form iyo?

Pia naona kuna agizo lililotolewa na chama cha walimu nyamagana kutaka walimu wakusanye salary slip zao, bila kueleza sababu ya kwanini wanazihitaji. View attachment 2276564

fomu TUF 15 ninashauri walimu msiijaze, unajiingiza kwenye makato yasiyo ya lazima .​

 
Back
Top Bottom