Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16]Mdogo wangu ephen_ umedukuliwa huku...
Ila mm siwezi kuyaongea hayo kwa wanangu mwee...sijui kwakweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16]Mdogo wangu ephen_ umedukuliwa huku...
Ila mm siwezi kuyaongea hayo kwa wanangu mwee...sijui kwakweli
Kwema mtani...😃😃[emoji16][emoji23][emoji23] Mtani kwema
Hayo mambo kikwetu ni mwiko kufundishwa nje ya nyumbani.Habari wanaJf!
Mimi sio mwandishi mzuri lakini naamini tutaelewana tu. Kipindi cha kubalekhe kina dalili nyingi ambazo tunazisikia na zaidi zinafundishwa mashuleni, dalili kama vile kuota matiti, nywele sehemu zilizojificha, kuvunja ungo na kuanza kupata wet dreams, hizi zinafundishwa ili watoto wasijishangae wanapopata mabadiliko, waweze kukabiliana nayo. Mbona dalili moja hawaizungumziii? Awatoi elimu jinsi ya kukabiliana nayo?
KUPATA SANA HAMU YA TENDO LA NDOA!
Kipindi cha balehe hamu ni kubwa sana na ndo watoto wakiume na wake wanapofanya mambo mabaya madhara yake mimba, magonjwa, ushoga.
Zama hizi si za kuficha mambo kwa kigezo cha mila potofu na Aibu.
WATOTO WAPEWE ELIMU!
Umekosea kuandika Cc ephen_Hayi mambo kijwrtu ni nwikonkufundishwa nje ya nyumbani.
Mimi siafiki yafundishwe shuleni mpaka labda kuanzia form III.
. Tuendeleze mila zetu za kuwafunda wanetu majumbani.
naona kama haijalishi vileMdogo wangu ephen_ umedukuliwa huku...
Ila mm siwezi kuyaongea hayo kwa wanangu mwee...sijui kwakweli
shule uliyosoma ndo hawafundishiHabari wanaJf!
Mimi sio mwandishi mzuri lakini naamini tutaelewana tu. Kipindi cha kubalekhe kina dalili nyingi ambazo tunazisikia na zaidi zinafundishwa mashuleni, dalili kama vile kuota matiti, nywele sehemu zilizojificha, kuvunja ungo na kuanza kupata wet dreams, hizi zinafundishwa ili watoto wasijishangae wanapopata mabadiliko, waweze kukabiliana nayo. Mbona dalili moja hawaizungumziii? Awatoi elimu jinsi ya kukabiliana nayo?
KUPATA SANA HAMU YA TENDO LA NDOA!
Kipindi cha balehe hamu ni kubwa sana na ndo watoto wakiume na wake wanapofanya mambo mabaya madhara yake mimba, magonjwa, ushoga.
Zama hizi si za kuficha mambo kwa kigezo cha mila potofu na Aibu.
WATOTO WAPEWE ELIMU!
Hapana unanisingizia tuHata hapa naweza kukusema tabia yako na mahondaw
😂😁Another zombie thread.
😂🤣😁😁Hata hapa naweza kukusema tabia yako na mahondaw