Kwanini dalili hii ya kubalehe haifundishwi hata shuleni?

Kwanini dalili hii ya kubalehe haifundishwi hata shuleni?

Hamu ya kutia kitu ya hatari sana, niliwahi kunyeshewa Mvua kuubwa sana ya mawe iliyoambatana na radi, upepo mkali na dhoruba halafu ni usiku na nimenyoa upara kisa nafukuzia maQu 😆

Daaaaah! ila nilimkula hivo hivo
 
Dunian imebadilika sio ka yakipind kile ss watu unadhan wataishi kama zaman
Sasa huo usasa na hizo elimu mbona hazileti impact ama tija yoyote badala yake ndio kizazi hiki kinazidi kuharibika kimaadili, ngono holela, uzazi wa hovyo hovyo na ongezeko la single mothers
 
Back
Top Bottom