Kwanini dalili hii ya kubalehe haifundishwi hata shuleni?

Hayo mambo kikwetu ni mwiko kufundishwa nje ya nyumbani.

Mimi siafiki yafundishwe shuleni mpaka labda kuanzia form III.

. Tuendeleze mila zetu za kuwafunda wanetu majumbani.
 
shule uliyosoma ndo hawafundishi
madrasa hawafundishi haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…