Nyakisesee2
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 232
- 382
Anogopa kitawaka na Nandy Ila alipita nae HamisaBillnass kishasema hausiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anogopa kitawaka na Nandy Ila alipita nae HamisaBillnass kishasema hausiki
Ila Yule mtoto hana hata kitu chochote cha kufanana na mondi inabidi hamisa awe mkweli mbona mtoto aliyezaa nae majizzo anafanana na majizzoBillnass kishasema hausiki
Tena inakera mno ikiwa unalea huku ukiwa unajua unasingiziwaHakuna kitu kibaya kama kulea Kojo la jamaa mwingine
Hii kawaida kwa sisi wanaume tunalea sana cha muhimu ni tusijue wakojoaji halisi iendelee kubakia Siri 😂😂😂Hakuna kitu kibaya kama kulea Kojo la jamaa mwingine
Mitandao ya kijamii bado hujaijua, kwani wengi wanakuonyeshea wanachotaka ukione kile ambacho hawataki hawa kuonyeshei.Sio alivyokuwa mwanzo, we haupo insta mbona Mambo yake yapo live tu, mitandaoni huoni show zake, anavyohojiwaga na wanahabari mbona vitu vinajionyesha tu, na Wala hamsumbui Tena Ela ya mtoto ya penseli sijui ada wala Mara ustawi wa jamii, na kasema vingine Kama baraka sio Kama alivyokuwa mwanzo mungu anamakusudi ndomana milango imefunguka ya riziki.
Anafanana sana na huyuAnogopa kitawaka na Nandy Ila alipita nae Hamisa
Wewe una uhakika Yule mtoto ni wake?Kama kweli yule Ni mwanae ana anamkomesha sababu ya Mambo ya mama yake bhasi Diamond hana akilii na kama Karogwaa ili Historia ijirudiee bhasii well ITAJIRUDIA TU.
Ndo maana nimesema kama Sio wake bhasi all is well yeye kashtuka mapema bhasi unyamaa tu kila mtu abebe msalaba wakeWewe una uhakika Yule mtoto ni wake?
Kaka umeongea kishabiki hadi sijaamini kama ni wewe. Kwanini umeiita “obsession “ na sio mapenzi? Sisi kama watz haturuhusiwi kumchagua wa kumpenda regardless ni mtz au sio mtz?Alifanyiwa nini ambacho yeye hajawahi kuwafanyia wengine. Inshort ile situation ilisaidia kubalance ego yake
By the way watanzania walio obsessed na Zari huwa nawashangaa sana. That woman anawadharau watanzania sana sanaaa, ingekuwa ni hata Kenya, angekuwa cancelled muda sanaaa
Haya yote umeyajuaje? Billnass wa Nandy?Mtoto wa billnass huyo mondi sio mjinga na hayupo tayari kulea kiumbe kisicho damu yake.
Period thread ifungwe.
Si Inawezekana akafanana na mama yake? Maana yake mtoto wa Hamisa na Diamond anaweza akafanana na Hamisa kwa 100%Ila Yule mtoto hana hata kitu chochote cha kufanana na mondi inabidi hamisa awe mkweli mbona mtoto aliyezaa nae majizzo anafanana na majizzo
Nasimama na zari🤣🤣Kaka umeongea kishabiki hadi sijaamini kama ni wewe. Kwanini umeiita “obsession “ na sio mapenzi? Sisi kama watz haturuhusiwi kumchagua wa kumpenda regardless ni mtz au sio mtz?
Halafu what again? Anawadharau watz ukimaanisha na bibi na babu yangu walioko kitinku? Come on? Sema anawadharau na kuwatukana wanao mtukana. Thats very fair, Zari anajidefend mwenyewe, anawatukana wanaomtukana sababu hawezi nyamaza, our own Hamisa akitukanwa anaenda kumwambia Mange anamsaidia kuchamba/kutukana sababu yeye amesema hawezi gombana ila anaweza kutafuta wa kumsaidia ugomvi! Kwahiyo futa hiyo waTz tunadharauliwa na Zari, sote kwa pamoja? No!!!!
Walau kati ya mabinti wa bongo, Hamisa amejitahidi zingatia alikotokea, no education no career, na ameweza kusogea alipo sogea. Tofauti na wenzio kwanza wenzio hata familia walizotokea zina unafuu ukimuondoa wolper. AmeJitahidi binti wa watu, hana vingi ila ana vitu.Mitandao ya kijamii bado hujaijua, kwani wengi wanakuonyeshea wanachotaka ukione kile ambacho hawataki hawa kuonyeshei.
Wema,Anti,Wolper walikuwa na wanaume wenye hela,kila siku kutrend kwenye mitandao, sasa hivi wa nini.
Trend na show off za wadangaji, huwaga ni za mda baadae atakaa juu ya mawe.Kwani wengi wao hawana akili ya utafutaji, hawana nidhamu ya kutunza hela,wanawaza mashindano na matumizi ya vitu vya kipuuzi.
Amejitahidi kwa mda gani? Hivi trend ya wadada wadangaji wa intagram huzijui, kwani Wema ilikuwaje na yule jamaa waIkulu,mpaka kafunguliwa kampuni ya production then ikawaje......? Wolper na yule dogo muuza Poda........? Anti nae...........?Walau kati ya mabinti wa bongo, Hamisa amejitahidi zingatia alikotokea, no education no career, na ameweza kusogea alipo sogea. Tofauti na wenzio kwanza wenzio hata familia walizotokea zina unafuu ukimuondoa wolper. AmeJitahidi binti wa watu, hana vingi ila ana vitu.
Ngoja uje utukanwee na wenye timu zao kakaaHuyo ni wa hovyo tu Mdangaji aliyeji update anajifanya hajui kiswahili .
Ataishia kutoka na Vibenten kama kile cha sasa hivi nani sijui.
Wabongo ndio tulivyo hatupendi vyetu tunapenda vya watu.
Zari ana nini cha maana sasa?
Hakuna aliyeolewa kati ya Zari na Hamissa,wote wazinzi TUHiyo moral of the story mbona ipo one side tu, mbona na yy hamisa inamtafuna kwa aliyoyafanya kwa Zari? Au kwa vile ni mTz mwenzetu tufunike kombe mwanaharamu apite
KarmaYeye mwenyewe si kuna madai alisuswa na baba yake?
Hiyo spirit inatembea bado ktk familia yao anaendeleza kile kile alichokifanya baba yake kumkataa yeye.
Kuhusu majizo usiwe na shaka labda abadilike baadae ana pre nuptial agreement,Yuko makini mnoo na mwanawe, Fantasy tayari ameshajengewa vya kwake pale alipo ana nyumba yake na Hamisa aliondolewa kwenye nyumba ya Majay baada ya kuruhusu Mondi awe anaenda kulala pale Nadhani ndo Daimond akaenda mpangishia Kule mbweni sijui bahari beach....!!!ila Mohammed Chiza kashahakikisha kajipanga vzr tue Kwa watoto wake aluowapata kabla ya ndoa vzr tuDiamond hawezi kukataa mtoto sio rahisi kwa matajiri kukataa mtoto hususani Diamond hana ndoa watoto wote kazaa nje ....Yule Hamisa anazaa na matajiri ili apate chochote kile kama alivyozaa na majizzo .
Diamond inasemekana kuna walakini maana DNA za bongo ni utapeli na alitak kwenda south alikataa eti mtoto anadhalilishwa kupimwa DNA...yule mwanamke angekuwa labda ana uhakika wasingepelekana mahakamani
.. Diamond na Hamisa wote vicheche na hakuna mtu anamuamini mwenzie.
Mfumo anatumia kuzaa na matajiri ajiandae tunawajua jamii fulani ambayo kaoa huyo Majizzo watakuja kusumbuana kweny urithi ..
Ukweli tuseme mabeto kajitahidi hata dada wa taifa alimwambia zari ulivyokuwa na umri wa mabeto ulikuwa na Nini? hiyo inaitwa bariki ubarikiwe, anatembelea Nini,? kapanda jet la kukodi kulifata ndinga la haja, Sasa hivi sio yule wa kwenda ustawi wa jamii, Mara kuvuliwa wigi limetupwa kwenye pool, Sasa hivi China , dubai, USA, mtoto mdogo, wazee tupo jf tunamjadili, mungu anaweza kumuinua masikini aliye shushuka live.Walau kati ya mabinti wa bongo, Hamisa amejitahidi zingatia alikotokea, no education no career, na ameweza kusogea alipo sogea. Tofauti na wenzio kwanza wenzio hata familia walizotokea zina unafuu ukimuondoa wolper. AmeJitahidi binti wa watu, hana vingi ila ana vitu.