Kwanini dini hizi UYAHUDI, UKRISTO na UISLAMU zinatofautiana siku ya kusali wakati chimbuko lao Moja (Abrahamic Religions)

Kwanini dini hizi UYAHUDI, UKRISTO na UISLAMU zinatofautiana siku ya kusali wakati chimbuko lao Moja (Abrahamic Religions)

Una Uhakika Kuwa Wengine hawatii wudhu?

Wayahudi kabla ya Kufanya Ibada yoyote Takatifu kkiwemo Kuingia Hekaluni au Sinagogini au Kula Hunawa Baadhi ya Viungo vyao Ikiwemo Mkono huku wakitamka Maneno ya Baraka kitendo Kile cha Kunawa Huitwa Netilat Yadayim (נטילת ידיים),

na wanatumia Chombo maalumu na Utaratibu maalumu kama Inavyofanywa kwenye Wudhu..

Wakristo Hawafanyi Ila waliamrishwa Kufanya Na Yesu!
Soma Yohana 13:5-10
View attachment 3265310

Hapo Mpaka Yesu anafundisha Kuhusu Utofauti wa Wudhu (Kutawadha) na Kuoga (Kogo la wajibu) na anasema aliyeoga hana Haja ya Kutawadha.. nahisi Hata Waislamu wengi badi hawajui Ukioga Kogo la wajibu Si lazima Tena Uchukue Udhu..

Nahisi unaweza Kuniuliza Tena Kuhusu Kuoga Kulifundishwa Wapi..ndyo kuoga Janaba Kulifundishwa Zamani za Musa na Ndiyo ilikuwa Desturi..

Mambo ya Walawi 15:16-18
View attachment 3265312

NA kwa Kusema Hayo Bado hujaniambia kuhusu Tamaduni ya Kiislamu au Dini yoyote kama Nilivyosema hapo Juu....
Sawa,naleta lingine
Waislamu hugeukia upande maalum muda wa ibada(qibla)
Na pia wakristo kutumia alama ya msalaba
 
Waza vitu vya maendeleo vitakavyokua na msaada kwenye maisha yako, achana na hizo hadithi za sungura na fisi.
 
Sawa,naleta lingine
Waislamu hugeukia upande maalum muda wa ibada(qibla)
Na pia wakristo kutumia alama ya msalaba
Kwani Quran Inasemajr Sheikh?
Kwanini Qibla Iligeuka Kutoka Baitil Muqadas Kwenda Makka?
Soma Quran Sheikh Iko wazi Lengo ni kujitofautisha na Mayahudi ambao wao walikuwa na Qibla Cha Baitil Muqadas..
Na Ndo Qibla Kikageuka..

Mabadiliko ya Kibla kutoka Bayt al-Maqdis (Jerusalem) kuwa Makkah ukisoma Tarekh Yalifanyika Mwaka wa Pili wa Hijria (approximately 624 CE)...

Na kwenye Quran Ukisoma Utapata Kitu..

Screenshot_20250310_082518_Quran Swahili.jpg


Wakristo Hutumia Msalaba Kama Alama (Japo Si wakristo wote) na Waislamu Hutumia Nyota Na Mwezi wakati wayahudi hutumia Nyota yenye NCHA sita..

So mfanano Bado upo
 
Kwani Quran Inasemajr Sheikh?
Kwanini Qibla Iligeuka Kutoka Baitil Muqadas Kwenda Makka?
Soma Quran Sheikh Iko wazi Lengo ni kujitofautisha na Mayahudi ambao wao walikuwa na Qibla Cha Baitil Muqadas..
Na Ndo Qibla Kikageuka..

Mabadiliko ya Kibla kutoka Bayt al-Maqdis (Jerusalem) kuwa Makkah ukisoma Tarekh Yalifanyika Mwaka wa Pili wa Hijria (approximately 624 CE)...

Na kwenye Quran Ukisoma Utapata Kitu..

View attachment 3265328

Wakristo Hutumia Msalaba Kama Alama (Japo Si wakristo wote) na Waislamu Hutumia Nyota Na Mwezi wakati wayahudi hutumia Nyota yenye NCHA sita..

So mfanano Bado upo
Sawa
 
Back
Top Bottom