Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Sawa,naleta lingineUna Uhakika Kuwa Wengine hawatii wudhu?
Wayahudi kabla ya Kufanya Ibada yoyote Takatifu kkiwemo Kuingia Hekaluni au Sinagogini au Kula Hunawa Baadhi ya Viungo vyao Ikiwemo Mkono huku wakitamka Maneno ya Baraka kitendo Kile cha Kunawa Huitwa Netilat Yadayim (נטילת ידיים),
na wanatumia Chombo maalumu na Utaratibu maalumu kama Inavyofanywa kwenye Wudhu..
Wakristo Hawafanyi Ila waliamrishwa Kufanya Na Yesu!
Soma Yohana 13:5-10
View attachment 3265310
Hapo Mpaka Yesu anafundisha Kuhusu Utofauti wa Wudhu (Kutawadha) na Kuoga (Kogo la wajibu) na anasema aliyeoga hana Haja ya Kutawadha.. nahisi Hata Waislamu wengi badi hawajui Ukioga Kogo la wajibu Si lazima Tena Uchukue Udhu..
Nahisi unaweza Kuniuliza Tena Kuhusu Kuoga Kulifundishwa Wapi..ndyo kuoga Janaba Kulifundishwa Zamani za Musa na Ndiyo ilikuwa Desturi..
Mambo ya Walawi 15:16-18
View attachment 3265312
NA kwa Kusema Hayo Bado hujaniambia kuhusu Tamaduni ya Kiislamu au Dini yoyote kama Nilivyosema hapo Juu....
Waislamu hugeukia upande maalum muda wa ibada(qibla)
Na pia wakristo kutumia alama ya msalaba