Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini ya Kirumi hiyo....Makanisa mengine kama Lutheran na Anglican divai Huwa watu wanashiriki lkn Kwa catholic Huwa wanakunywa wenyewe tena wanazinywea kitimito kabisa kwenye makazi yao
Oh utakuwa unaongelea tukio la kiibada lakusema "Hii ni damu ya Yesu Kristo kunyweni ili mpate uzima wa milele." Mimi nimeshakunywa sana divai nilipokuwa ministrant/ mtumishi wa padre madhabahuni.Makanisa mengine kama Lutheran na Anglican divai Huwa watu wanashiriki lkn Kwa catholic Huwa wanakunywa wenyewe tena wanazinywea kitimito kabisa kwenye makazi yao
Ina alcohol piaDivai ni Wine ,Divai ni Mvinyo.....Tofautisha na Alcohol.
Ina alcohol pia
FOod Taboos hadi makanisaniMakanisa mengine kama Lutheran na Anglican divai Huwa watu wanashiriki lkn Kwa catholic Huwa wanakunywa wenyewe tena wanazinywea kitimito kabisa kwenye makazi yao
Wa kanisani una alcohol, tumeupiga sana kwa wakatoliki sijui huko wengineDistilled? Au Fermented? Kuna Mivinyo haina alcohol.
Dini zingine ni kua na Imani tu, ukitumia reasoning katika Dini ya catholics utaikaidi tu, lazima kwa kiasi kikubwa uwe kama kondo kufuata tu kila kitu, ili usikosane nao.Makanisa mengine kama Lutheran na Anglican divai Huwa watu wanashiriki lkn Kwa catholic Huwa wanakunywa wenyewe tena wanazinywea kitimito kabisa kwenye makazi yao
Ina alcohol 18%Divai ni Wine ,Divai ni Mvinyo.....Tofautisha na Alcohol.