cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Na kipaimara.Madhabahuni ya kwetu tulikunywaga enzi za kumnio. Sahivi zamu yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kipaimara.Madhabahuni ya kwetu tulikunywaga enzi za kumnio. Sahivi zamu yao
Kama kitu haujui majbu ni heri unyamaze.....kwasabu ni imani ya mtuIli wawakanyake vizuri masista.
Sifa za kijingaIle mikate na divai tumekunywa sana home, mama angu mdogo alikua anadate na padre, bas anavibeba tunakula wee.
Gari ya parokia ilikua inampeleka mam mdogo shule wakati wa kufungua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo Ni utaratibu wao walio jiwekea. Hata wewe unaweza ukaanzisha taasisi yako na kujiwekea masharti ya kukunufaisha wewe.Makanisa mengine kama Lutheran na Anglican divai Huwa watu wanashiriki lkn Kwa catholic Huwa wanakunywa wenyewe tena wanazinywea kitimito kabisa kwenye makazi yao
Ndio maanaIle mikate na divai tumekunywa sana home, mama angu mdogo alikua anadate na padre, bas anavibeba tunakula wee.
Gari ya parokia ilikua inampeleka mam mdogo shule wakati wa kufungua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na zaidi hanywii padre pekee mara nyingi.Oh utakuwa unaongelea tukio la kiibada lakusema "Hii ni damu ya Yesu Kristo kunyweni ili mpate uzima wa milele." Mimi nimeshakunywa sana divai nilipokuwa ministrant/ mtumishi wa padre madhabahuni.
Ni kweli! Lakini hayo yapo na yanafanyika.Kama kitu haujui majbu ni heri unyamaze.....kwasabu ni imani ya mtu
Daa alikua anakula kondooIle mikate na divai tumekunywa sana home, mama angu mdogo alikua anadate na padre, bas anavibeba tunakula wee.
Gari ya parokia ilikua inampeleka mam mdogo shule wakati wa kufungua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zipii? Kwani uongo? Akati ni kweli.Sifa za kijinga
Nn? [emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana
Ila yule padre Malaya, kaacha watoto wawili pale mtaani kwa wanawake tofauti.Daa alikua anakula kondoo
🤣Nn? [emoji23][emoji23][emoji23]
Divai ni Wine ,Divai ni Mvinyo.....Tofautisha na Alcohol.