Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
- Thread starter
- #21
Nashukuru kwa ufafanuzi huu ila najaribu kuangalia viongozi wengi wa dini zote wanatumia naapa kwamba, je ni kutokujua? Je jeshini napo wanaapa au wanathibitisha?
Pale wanapoapa kiapo kimoja mtu zaidi ya mmoja mbona sijawahi kusikia wakithibitisha? Rejea viapo vya kijeshi,
Pale wanapoapa kiapo kimoja mtu zaidi ya mmoja mbona sijawahi kusikia wakithibitisha? Rejea viapo vya kijeshi,