Dr. Bashiru leo Bungeni badala ya kusema MIMI BASHIRU ALLY KAKURWA NAAPA KWAMBA...........ameasema MIMI BASHIRU ALLY KAKURWA NATHIBITISHA KWAMBA........
Wakati huohuo na kwa kipindi hicho hicho na kiapo kilekile Balozi Mulamula amesema Mimi....NAAPA KWAMBA....
Kwanini Dr. Bashiru aseme anathibitisha kwamba asiseme anaapa kwamba? Je kuthibitisha na kuapa ni neno moja? Au aliitega mamlaka ya Bunge?
Jeshini kuna dini?Kwenye viapo majeshini mbona hakuna kuthibitisha ni kuapa wote?
Ndo hapo sasaKwenye viapo majeshini mbona hakuna kuthibitisha ni kuapa wote?
Atakuwa ni MkweliHv kosa la huyu mtu Ni lipi mpk watu wamefirahi hvyo
Dr. Bashiru leo Bungeni badala ya kusema MIMI BASHIRU ALLY KAKURWA NAAPA KWAMBA...........ameasema MIMI BASHIRU ALLY KAKURWA NATHIBITISHA KWAMBA........
Wakati huohuo na kwa kipindi hicho hicho na kiapo kilekile Balozi Mulamula amesema Mimi....NAAPA KWAMBA....
Kwanini Dr. Bashiru aseme anathibitisha kwamba asiseme anaapa kwamba? Je kuthibitisha na kuapa ni neno moja? Au aliitega mamlaka ya Bunge?
Siyo kweli, mama ni mwisilamu mbona aliapa?Bashiru ni muislamu, haapi
Visasi dhidi ya JPM na unafiki. Rafiki wa adui yako ni adui yako......Bashiru (kwa maoni yangu), anabebeshwa na mizigo mingi isiyo yake au 'kuadhibiwa' kwa dambi za JPM.Hv kosa la huyu mtu Ni lipi mpk watu wamefirahi hvyo
Zoezi zima ni upuuzi mtupu, iwe ni kuapa au kuthibitisha.Dr. Bashiru leo Bungeni badala ya kusema MIMI BASHIRU ALLY KAKURWA NAAPA KWAMBA...........ameasema MIMI BASHIRU ALLY KAKURWA NATHIBITISHA KWAMBA........
Wakati huohuo na kwa kipindi hicho hicho na kiapo kilekile Balozi Mulamula amesema Mimi....NAAPA KWAMBA....
Kwanini Dr. Bashiru aseme anathibitisha kwamba asiseme anaapa kwamba? Je kuthibitisha na kuapa ni neno moja? Au aliitega mamlaka ya Bunge?
Huyo Bashiru si ndiye alishirikishwa na kusimamia zoezi la wabunge wote wawe wa CCM?visasi dhidi ya JPM na unafiki. Rafiki wa adui yako ni adui yako......Bashiru (kwa maoni yangu), anabebeshwa na mizigo mingi isiyo yake au 'kuadhibiwa' kwa dambi za JPM.
Mh. Samia S. H. neya alisema anathibitisha?Muslim hawaapi ,Hudhibitisha
Bashiru ni Nyerererist.Hv kosa la huyu mtu Ni lipi mpk watu wamefirahi hvyo
Kwani mama siyo mwislamu!Bashiru ni muislamu, haapi
Kweli hadi mtani anamsanifuAcheni kumsumanga Bashiri kipigo alichopigwa kinatosha [emoji16]
Inawezekana. Sikuona uapisho wa wabunge, ila nimemsikia katibu mkuu kiongozi naye alisema kuthibitisha.Bashiru ni muislamu, haapi
Huyu Dk. Bashiru amewakosea Nini baadhi ya watu? Mbona anasemwa Sana?Dr. Bashiru leo Bungeni badala ya kusema MIMI BASHIRU ALLY KAKURWA NAAPA KWAMBA...........ameasema MIMI BASHIRU ALLY KAKURWA NATHIBITISHA KWAMBA........
Wakati huohuo na kwa kipindi hicho hicho na kiapo kilekile Balozi Mulamula amesema Mimi....NAAPA KWAMBA....
Kwanini Dr. Bashiru aseme anathibitisha kwamba asiseme anaapa kwamba? Je kuthibitisha na kuapa ni neno moja? Au aliitega mamlaka ya Bunge?
Kweli kabisa. Hata walimu Waislamu wakati wa usimamizi wa mitihani ya Taifa huwa "wanathibitisha" na "hawaapi". Beatrice Kamugisha ni suala la kujishughulisha tu kuelewa mambo haya!Bashiru ni muislamu, haapi
Misimamo, Msafi hana doa, kikubwa zaidi hanaga utani na raslimali za umma. Ccm kila aliyeiba mali ya chama aliitapika.Hivi kosa la huyu mtu Ni lipi mpaka watu wamefurahi hivyo