Uchaguzi 2020 Kwanini Dkt. Magufuli anakwepa mdahalo wa ana kwa ana?

Uchaguzi 2020 Kwanini Dkt. Magufuli anakwepa mdahalo wa ana kwa ana?

msipende kukariri maisha kuwa kila kitu ni porojo. Kile kilichokuridhisha wewe pengine kinamkwaza mwingine. Mwisho wa siku kinachohitajika ni usawa wa kuweza kujieleza. Kama vile Lissu alivyokuwa na haki katika kuhoji na kushutumu basi halkadhalika Magufuli ana haki ya kujibu kila hoja na shutma.
Sasa wakifanya mdaharo usawa ndo unapatikana? Sisi wapiga kura ndo tutaamua
 
Kwani hilo jambo lishawahi kuwepo katika nchi hii??

Unajuaje anaogopa wakati hiki kitu hakipo??

Jaman tupo Tanzania, sio kwa kina Trump..ambapo uchaguzi wao maamuzi yapo kwa senators na sio raia wa kawaida wa U.S.A
Hawajui hawa mbumbumbu! Midaharo kitu gani bwana!
 
Mgombea wa CCM hata kiswahili kinampa shida hivyo hawezi kufanya mdahalo
Watanzania hawatibiwi na mdahalo wala kula mdahalo wali kuvuka kwenye mdahalo au ata kutembea juu ya mdahalo.mwambieni lissu amtafute bwege mwenzie ambaye ana muda wakutosha kufanya huo upuuzii wa kupotezeana muda.
 
Kwani hilo jambo lishawahi kuwepo katika nchi hii??

Unajuaje anaogopa wakati hiki kitu hakipo??

Jaman tupo Tanzania, sio kwa kina Trump..ambapo uchaguzi wao maamuzi yapo kwa senators na sio raia wa kawaida wa U.S.A
Sasa inakuwaje hiyo midahalo hutangazwa mubashara ili watu wote waone. kama ilidhamiriwa kuwa kwa ajili ya senators tu basi ingefanywa kwenye House of Senate ili kuwafikia wahusika tu.

Hakuna sehemu imeandikwa kuwa midahalo ni kwa ajili ya USA tu, hii dhamira yake kubwa ni moja kuondoa dhana ya kuwa mgombea mmoja anamshutumu mwenzie uongo maana hapa anapata nafasi ya kujibu ana kwa ana na pili kuwapa wananchi uwezo wa kujua mgombea ni mtu wa aina gani.

Uwezo wa kujibu swali si wa kila mtu. Inawezekana ukawa na akili sana lakini usiwe na uwezo wa kujenga hoja ya jibu. Mfano mzuri ni mdahalo wa Biden na Trump. Wote waliona jinsi Trump alivyoshindwa tetea hoja zake kwa hoja. Pengine na kwetu kungekuwepo na mambo kama hayo kuna mengi tungeyajua kuhusu wagombea wetu.

Hili lisitazamwe kisiasa ya nani bora kuliko mwingine bali kimantiki ya kuwa kiasi gani kila mmoja anaweza kujibu na kutetea misimamo yake.

SAHIHISHO: Hakuna sehemu nimeandika Dr. Magufuli anaogopa nimesema anakwepa. Kuna tofauti hapo.
 
Yule kamwe hawezi

Nileteni Gwajima
Nileteeeni Gwajima
Nileteeeeeeeni Gwajima
Nileeeeeteeeeni Gwajima
Nimeona hiyo clip,kwa kweli ile tone yake inatuambia mambo hayapo sawa.
Kujikakamua kule kote ni dalili ya kuona hali si shwari kama alivyojiaminisha.
 
Kama anaona midahalo ni tishio sana kwake basi atenge siku moja wananchi wa democratic republic of Jamiiforum wamuulize maswali mawili matatu ya papo kwa papo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
isije ikawa hana majibu ya uchafu uliopo. Hoja hujibiwa na hoja na si vibonzo.
Wamekodi watu ili wawachoree vibonzo vya kuichafua Chadema wakati huo huo wanapiga mkwara masoud kipanya asifanye kazi yake
 
Itakuwa ngumu kwa watawala wetu wa ki Africa ikiwemo Tanzania kukubali midahalo kirahisi. Watawala (sio viongozi) wa kiafrica wanapenda kusujudiwa, kauli zao wanataka ziwe sheria...
Nimekuelewa vizuri sana, tatizo la kimfumo la utawala la kumfanya kiongozi kuhisi kila wakati yupo sahihi na kuona kuwa mdahalo ni sawa na kumshusha chini.

Ila siasa za Afrika zinashangaza maana mwaka 2016, mgombea urais wa upinzani wakati huo Nana Akufo Addo alikataa kuhudhuria mdahalo bila kutoa sababu ya msingi.

Naona jirani zetu Kenya wao inaelekea sasa ni kawaida kuwa na Mdahalo wa wagombea Urais. Kwa ndugu zetu Uganda, Yoweri Kaguta Museven yeye ndio hataki wala kusikia habari za Mdahalo. Nakumbuka pia Ivory Coast mwaka 2010 walifanya Mdahalo wa wagombea Urais kwa dakika 75 ambapo aliyekuwa rais wakati huo Laurent Gbagbo na aliyekuwa mpinzani wake Alassane Ouattara
 
Inawezekana ikawa sikubaliani moja kwa moja na kila analolihubiri Tundu Lissu ila kwa kiasi kikubwa naheshimu sana uwezo wake wa kujenga hoja. Zaidi ya mara moja Tundu Lissu ameomba mdahalo na mgombea wa CCM ambae ndie rais lakini ombi hilo ni kama vile Bw. Magufuli hajalisikia, ila nina yakini kalisikia maana hoja nyingine za Lissu amejaribu kuzijibu kwenye kampeni zake...
Siku hizi simsikii tena Magufuli akiongelea ndege na yale madaraja ya ubungo na tazara
 
"Nileteeni Gwajima" huku analia ni bora kakataa katakata kama ferry ya Ukerewe anaweza kumrushia mangumi mpenzi chetu Lissu the greatest
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Hamnionei hata huruma sauti hadi inakauka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
baada ya kuiona clip ya nileteeni Gwajima iiiiiiiih
nikajua huyu dingi anahitaji kupumzika. ana shida
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Hamnionei hata huruma sauti hadi inakauka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Hamnionei hata huruma sauti hadi inakauka

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una ile Video iliyowafanya watu wakimbie mkutano
 
Nimekuelewa vizuri sana, tatizo la kimfumo la utawala la kumfanya kiongozi kuhisi kila wakati yupo sahihi na kuona kuwa mdahalo ni sawa na kumshusha chini....
ukichunguza sana utakuta kuna "pattern" inayoshabihiana aidha kihulka ama kiutendaj (aina ya utawala wao) baina ya wale wote wanaokataa/kukwepa midahalo na hao wanaokubali.

Mara nyingi wanaoukubali ukichunguza wana katiba ambazo zinamkumbusha kwa kila kipengele kuwa yeye ni kiongozi na si mtawala. Museveni alishadiriki kusema kuwa yeye si mfanyakazi wa mtu yeyote kusahau kuwa anapaswa kuwa raisi wa watu ikimaanisha mwisho wa siku anapaswa kuripoti kwa umma.
 
Back
Top Bottom