Uchaguzi 2020 Kwanini Dkt. Magufuli anakwepa mdahalo wa ana kwa ana?

Uchaguzi 2020 Kwanini Dkt. Magufuli anakwepa mdahalo wa ana kwa ana?

Inawezekana ikawa sikubaliani moja kwa moja na kila analolihubiri Tundu Lissu ila kwa kiasi kikubwa naheshimu sana uwezo wake wa kujenga hoja. Zaidi ya mara moja Tundu Lissu ameomba mdahalo na mgombea wa CCM ambae ndie rais lakini ombi hilo ni kama vile Bw. Magufuli hajalisikia, ila nina yakini kalisikia maana hoja nyingine za Lissu amejaribu kuzijibu kwenye kampeni zake....
Mkuu for your information hakuna kiumbe kinamuogopa Mungu kama shetani. Yaani ukivisoma vitabu vikuu viwili vya Mungu kwa maana ya Bible na Quran utagundua kuwa sisi binadamu hatumuogopi Mwenyezi Mungu kama ambavyo shetani anamuogopa.

Shetani anafahamu fika ukuu wa Mungu kwa sababu alikuwa karibu naye kabla ya kuhasi. Sina sababu ya kukutajia Mungu ni nani na shetani ni nani katika hao viumbe wawili unaotaka wafanye mdahalo!

Ahsante!
 
Inawezekana ikawa sikubaliani moja kwa moja na kila analolihubiri Tundu Lissu ila kwa kiasi kikubwa naheshimu sana uwezo wake wa kujenga hoja. Zaidi ya mara moja Tundu Lissu ameomba mdahalo na mgombea wa CCM ambae ndie rais lakini ombi hilo ni kama vile Bw. Magufuli hajalisikia, ila nina yakini kalisikia maana hoja nyingine za Lissu amejaribu kuzijibu kwenye kampeni zake...
Rais hawezi kuongea/kufanya mdahalo na mtu lofa.
 
Kamagufuli hakajui hata Kiswahili kataweza wapi mdahalo.

Na venye kanapenda kufoka na mihasira yake uchwara tutajuta kuusikiliza huo mdahalo.
 
Rais Magufuli hana muda mchafuView attachment 1600984
Ona hii
JamiiForums427068232.jpg
 
Kichuguu hakiwezi kusogea pembeni ya mlima Kilimanjaro. Tofauti ni kubwa mtu. Watu watagundua. NEC wakilazimisha mdahalo, Magufuli atajitoa. Wamwache tu akashindwe huko kwenye sanduku la kura.
 
Ni sawa anvyokataa mdahalo, maana itakuwa kuwaonea wagombea wengine wao hawajapata nafasi ya kuwa Rais wa nchi hivyo hawajafanya chochote na vilevile itakuwa ni kumshushia heshima mheshimiwa Rais kumuweka kwenye mdahalo na mtu kama lissu karibia miaka mitatu yuko wodini sasa atajadiliana nae nini mtu kama huyo? nyinyi kama mnahitaji sana mdahalo mchukueni mgombea wenu mpelekeni moi atakuta wenzake huko wa kufanya nae mdahalo.
 
Rais hawezi kuongea/kufanya mdahalo na mtu lofa.
Utakuja kustaajabu anaedhaniwa kuwa Lofa kihalali si lofa ukilinganisha na huyo mnaemuona si lofa.
Kama kipimo cha ulofa ni uwezo wa kujenga hoja, kujibu maswali na hata kupambanua mambo bila ya kutegemea vitisho basi hakika Lissu ni lofa mkubwa; sasa tujiulize huyo anaetumia nguvu kubwa sana kuaminisha watu kuwa yeye ni bora zaidi tumuite nani?
 
Nimeona hiyo clip,kwa kweli ile tone yake inatuambia mambo hayapo sawa.
Kujikakamua kule kote ni dalili ya kuona hali si shwari kama alivyojiaminisha.


Yes niliona nilicheka mno haswa sio kwa ile tone utadhani Gwajima kumwibia bibi
 
Magufuli hata 2015 hakutaka mdahalo japo mdahalo ulikuwepo ila yeye pamoja na aliyekuwa mgombea wa chadema wakati huo wote wawili hawakushiriki mdahalo huo,sasa sijui kwanini sasa hivi ndio iwe issue kwa Magufuli kutotaka mdahalo!
 
Hajui kiswahili na kiingereza vizuri ataongea nini?
 
Back
Top Bottom