Uchaguzi 2020 Kwanini Dkt. Magufuli anakwepa mdahalo wa ana kwa ana?

#NIYEYE2020
 
Hawajui hawa mbumbumbu! Midaharo kitu gani bwana!
Kuna mwajiri yeyoye anaeajiri bila interview? Nimewahi kufanya kazi kwenye kampuni flani hivi kwa miaka 7, kazi ikaisha. Baada ya mwaka na nusu kazi zikafunguka tena na nikaomba position ile ile. Ila sikuingia tu hivi hivi kwa vile hiyo position nimeifanya miaka 7, nilifanya tena interview. Sasa Huyu Magu ni nani asifanyiwe interview?
 
Aje tumfanyie interview tumuulize ni kwa nini tumpe mi5 tena na sio mwingine. Kwani tatizo hapo ni nini? Hata professor lipumba akitaka kuajiriwa lazima afanyiwe interview. CV tu haitoshi
Kwani ni nini maana ya kampeni hizi za kila siku??

Kila siku anahubiri sababu ya kuichagua CCM na yeye kama mgombea wa urais huku akimwaga sera zake kuwa atawafanyia nini wananchi wake.
 
Labda waombe mzee Shivji na Ulimwengu wawasaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…