Pre GE2025 Kwanini Dkt. Slaa, Msigwa wanatajwa kuwa kampeni Meneja wa Lissu? Mbona juzi tu waliitwa wasaliti?

Pre GE2025 Kwanini Dkt. Slaa, Msigwa wanatajwa kuwa kampeni Meneja wa Lissu? Mbona juzi tu waliitwa wasaliti?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuua mtu unajua wewe?kuteka mtu anaweza kuteka mbowe halafu akaachiwa tu na serikali? Mambo mengine muwe seriously
Mkuu tuliwaambia miaka mingi sana kuuwa Mbowe yupo upende wa TISS miaka yote tangu ujana wake alipo maliza Form six .
Mtei ni usalama
Makani ni usalama.
Mrema ni usalama ,
Zito kabwe ni usalama
Maalim Seifu ni usalama
Lipumba alikua mpaka mshauri wa Rais Mwinyi wa uchumi pale Ikulu .

Siku zote Wapinzani wa kweli wanaonekana kama Wahaini na mara nyingi wanapata nguvu ya wananchi lakini sio mfumo .Wakifanikiwa kuingia madarakani panatokea mabadliko makubwa sana.
Mbowe kuna makubaliano hawezi kuyakiuka wala kutoa siri zake . Mfumo ukimwambia jambo hawezi kupinga mana wataweza wakafuta hata chama chake ,ndio hofu yake .

Kwa akili yako unafikiri pale Bilkanas Mbowe aliwekwa ili auze shisha?
Ile Bilkanas ilikua ni mali ya serikali na ilikua inafanya kazi maalumu kwa ajili ya wageni na kupata taarifa za wahalifu wakubwa wa ndani na nje na Mbowe alikua ni moja ya waliowekwa kama wamiliki kwa sura ya nje . Michango ya madawa ilikua inapatikana pale na wahalifu wengine.
Magufuli aliona kuwa Mbowe hana msaada uliokusudiwa na akajaribu kumrejesha kwenye majukumu yake akawa anagoma kutokana na kutaka pesa alizokuwa anazipata kiholela . JPM akalkazia na kuamua kumpiga pini mana alijua kuwa anatumiwa na mafisadi kuhujumu mipango ya seikali. Ndani ya mifumo kuna pia upinzani wa chini kwa chini kutokana na maslahi hasa kwenye nchi za kidemokrasia zinazopokea utawala Tofauti na nchi za kidikteta ambapo kiongozi ni wa kudumu kama mbowe na Chadema na ukimpinga unaliwa kichwa.

Chacha ni mfano hai wa kazi ya kiharamia ya Mbowe na genge lake kufifisha nguvu ya umma kushika mamlaka .

Usilwamini mwanasiasa kama Mbise anayetoa matamko ya kuandamana halafu akiwekwa gerezani anapambana kutoka yeye mwenyewe na familia yake wengine wasubiri wanasheria wa kujitolea.
 
Mkuu tuliwaambia miaka mingi sana kuuwa Mbowe yupo upende wa TISS miaka yote tangu ujana wake alipo maliza Form six .
Mtei ni usalama
Makani ni usalama.
Mrema ni usalama ,
Zito kabwe ni usalama
Maalim Seifu ni usalama
Lipumba alikua mpaka mshauri wa Rais Mwinyi wa uchumi pale Ikulu .

Siku zote Wapinzani wa kweli wanaonekana kama Wahaini na mara nyingi wanapata nguvu ya wananchi lakini sio mfumo .Wakifanikiwa kuingia madarakani panatokea mabadliko makubwa sana.
Mbowe kuna makubaliano hawezi kuyakiuka wala kutoa siri zake . Mfumo ukimwambia jambo hawezi kupinga mana wataweza wakafuta hata chama chake ,ndio hofu yake .

Kwa akili yako unafikiri pale Bilkanas Mbowe aliwekwa ili auze shisha?
Ile Bilkanas ilikua ni mali ya serikali na ilikua inafanya kazi maalumu kwa ajili ya wageni na kupata taarifa za wahalifu wakubwa wa ndani na nje na Mbowe alikua ni moja ya waliowekwa kama wamiliki kwa sura ya nje . Michango ya madawa ilikua inapatikana pale na wahalifu wengine.
Magufuli aliona kuwa Mbowe hana msaada uliokusudiwa na akajaribu kumrejesha kwenye majukumu yake akawa anagoma kutokana na kutaka pesa alizokuwa anazipata kiholela . JPM akalkazia na kuamua kumpiga pini mana alijua kuwa anatumiwa na mafisadi kuhujumu mipango ya seikali. Ndani ya mifumo kuna pia upinzani wa chini kwa chini kutokana na maslahi hasa kwenye nchi za kidemokrasia zinazopokea utawala Tofauti na nchi za kidikteta ambapo kiongozi ni wa kudumu kama mbowe na Chadema na ukimpinga unaliwa kichwa.

Chacha ni mfano hai wa kazi ya kiharamia ya Mbowe na genge lake kufifisha nguvu ya umma kushika mamlaka .

Usilwamini mwanasiasa kama Mbise anayetoa matamko ya kuandamana halafu akiwekwa gerezani anapambana kutoka yeye mwenyewe na familia yake wengine wasubiri wanasheria wa kujitolea.
Wewe pia usalama
 
Halafu huyo Tundu Antipass Lissu eti ndio anaitwa mpinzani wa kweli! Chadema will be hit by something that they won't be able to describe if they choose Lissu!
The chances are 50/50, believing any politician is one sign of stupidity. Anaweza akakisambaratisha chama deliberately lakini pia anaweza akawa na nia genuine ya kukiimarisha, nia hasa ya intentions zake anaijua mwenyewe.
 
The chances are 50/50, believing any politician is one sign of stupidity. Anaweza akakisambaratisha chama deliberately lakini pia anaweza akawa na nia genuine ya kukiimarisha, nia hasa ya intentions zake anaijua mwenyewe.
Wacha tusubiri maana siku zote muda husema ukweli.
 
Jadilini hoja ya mleta hoja anauliZa je nisahihi kumkbidhi chama Mtu ambaye walipembeni mwake niwale waliokishariti chama?
 
Dkt. Slaa ni mwana CCM, aliwasambaratisha chadema kwa kuwakimbia wakati UKAWA wakikaribia sana kuikamata nchi. Slaa akapelekwa hotelini Rwanda akapewa mabinti wa kihima, baadae ubalozi. Leo Dk Slaa ndio kampeninmeneja wa Lissu na Mtunza fedha.

Anashinda mitandaoni na genge lake ambalo linalipwa kwa ajili ya kuandaa mada. Kuna siku nilimsikia wajukuu zake wanamwambia babu piga mswaki unywe chai, bahati Mbaya alikuwa hajatoka online, sauti ikasikika

Pembeni kuna Msigwa, na yeye ni mtu wa ndani wa kampeni za Lissu, akiwa anasomba fedha kutoka sehemu mbali mbali anampa Lissukwa nia ya kuibomoa chadema.

Mtu anayezungukwa na watu wa aina hii ndio akabidhiwe chama?
Nakumbuka mlipika jambo kama hili dhidi ya Salim Ahmed Salim ili asipite mchujo wa urais CCM.

Na ulivyo CCM lia lia, haya unayoyasema ni utamaduni wa ndani kwenu kipindi cha uchafuzi wa mchujo
 
Nakumbuka mlipika jambo kama hili dhidi ya Salim Ahmed Salim ili asipite mchujo wa urais CCM.

Na ulivyo CCM lia lia, haya unayoyasema ni utamaduni wa ndani kwenu kipindi cha uchafuzi wa mchujo
Mimi mwanachadema mkuu, acha kuweweseka na mapigo mnayopata kutoka team Mbowe
 
Dkt. Slaa ni mwana CCM, aliwasambaratisha chadema kwa kuwakimbia wakati UKAWA wakikaribia sana kuikamata nchi. Slaa akapelekwa hotelini Rwanda akapewa mabinti wa kihima, baadae ubalozi. Leo Dk Slaa ndio kampeninmeneja wa Lissu na Mtunza fedha.

Anashinda mitandaoni na genge lake ambalo linalipwa kwa ajili ya kuandaa mada. Kuna siku nilimsikia wajukuu zake wanamwambia babu piga mswaki unywe chai, bahati Mbaya alikuwa hajatoka online, sauti ikasikika

Pembeni kuna Msigwa, na yeye ni mtu wa ndani wa kampeni za Lissu, akiwa anasomba fedha kutoka sehemu mbali mbali anampa Lissukwa nia ya kuibomoa chadema.

Mtu anayezungukwa na watu wa aina hii ndio akabidhiwe chama?
Slaa akichukua lini kadi ya ccm?
 
CCM wanapambana mchana kutwa kuhakikisha wanaisambaratisha chadema na ndo wanapambana mbowe awe mwenyekiti
 
Mkuu tuliwaambia miaka mingi sana kuuwa Mbowe yupo upende wa TISS miaka yote tangu ujana wake alipo maliza Form six .
Mtei ni usalama
Makani ni usalama.
Mrema ni usalama ,
Zito kabwe ni usalama
Maalim Seifu ni usalama
Lipumba alikua mpaka mshauri wa Rais Mwinyi wa uchumi pale Ikulu .

Siku zote Wapinzani wa kweli wanaonekana kama Wahaini na mara nyingi wanapata nguvu ya wananchi lakini sio mfumo .Wakifanikiwa kuingia madarakani panatokea mabadliko makubwa sana.
Mbowe kuna makubaliano hawezi kuyakiuka wala kutoa siri zake . Mfumo ukimwambia jambo hawezi kupinga mana wataweza wakafuta hata chama chake ,ndio hofu yake .

Kwa akili yako unafikiri pale Bilkanas Mbowe aliwekwa ili auze shisha?
Ile Bilkanas ilikua ni mali ya serikali na ilikua inafanya kazi maalumu kwa ajili ya wageni na kupata taarifa za wahalifu wakubwa wa ndani na nje na Mbowe alikua ni moja ya waliowekwa kama wamiliki kwa sura ya nje . Michango ya madawa ilikua inapatikana pale na wahalifu wengine.
Magufuli aliona kuwa Mbowe hana msaada uliokusudiwa na akajaribu kumrejesha kwenye majukumu yake akawa anagoma kutokana na kutaka pesa alizokuwa anazipata kiholela . JPM akalkazia na kuamua kumpiga pini mana alijua kuwa anatumiwa na mafisadi kuhujumu mipango ya seikali. Ndani ya mifumo kuna pia upinzani wa chini kwa chini kutokana na maslahi hasa kwenye nchi za kidemokrasia zinazopokea utawala Tofauti na nchi za kidikteta ambapo kiongozi ni wa kudumu kama mbowe na Chadema na ukimpinga unaliwa kichwa.

Chacha ni mfano hai wa kazi ya kiharamia ya Mbowe na genge lake kufifisha nguvu ya umma kushika mamlaka .

Usilwamini mwanasiasa kama Mbise anayetoa matamko ya kuandamana halafu akiwekwa gerezani anapambana kutoka yeye mwenyewe na familia yake wengine wasubiri wanasheria wa kujitolea.
Maelezo mengi alafu ujinga tupu.ukiambiwa leta ushahidi utaanza kubwabwaja.Kutumia jina badia sio sababu yakuonyesha ujinga wako mitandaoni.
 
Dk Slaa hakuisaliti CHADEMA, CHADEMA ndio kilimsaliti DK Slaa Kwa kumleta Hayati Edward Lowasa na kumfanya mgombea wa Urais.
 
Back
Top Bottom