Kwanini DP World wamewakimbia watangazaji? Mpemba huyu ni msemaji wa DP? Hawa waandishi warudishe hela za watu?

Kwanini DP World wamewakimbia watangazaji? Mpemba huyu ni msemaji wa DP? Hawa waandishi warudishe hela za watu?

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Maulid Kitenge na wenzie walitamba mitandaoni kuwa wanakwenda kufanya mahojiano na DP world na kuleta majibu juu ya maswali ya watanzania!

Maswali makubwa mawili yakikuwa!

1. Mkataba ni wa muda gani?
2. DP world wamewekeza kiasi gani kwenye mradi huu?

Lakini cha kushangaza wamekwenda kumuhoji mpemba sijui ni kuli au msemaji wa Dp world?

Katika mahojiano yao hakuna aliyeweza kuhoji hata nusu ya kile watanzania wanahitaji kujua…

Inawezekana watangazaji wamegharamiwa safari kuwahoji DP world lakini wahusika wakagoma hivyo wakamtuma kuli kuwawakilisha!

Ni wazi serikali imepoteza tena hela kwani kazi waliyowatuma hawa watangazaji wameshindwa kuifanya zaidi watanzania wamewaona ni kichekesho kikubwa cha duni?

Huyu Mpemba ndio msemaji wa DP World?

IMG_0718.jpeg
 
Maulid Kitenge na wenzie walitamba mitandaoni kuwa wanakwenda kufanya mahojiano na DP world na kuleta majibu juu ya maswali ya watanzania!

Maswali makubwa mawili yakikuwa!

1.Mkataba ni wa muda gani?
2.Dp world wamewekeza kiasi gani kwenye mradi huu?

Lakini cha kushangaza wamekwenda kumuhoji mpemba sijui ni kuli au msemaji wa Dp world?

Katika mahojiano yao hakuna aliyeweza kuhoji hata nusu ya kile watanzania wanahitaji kujua…

Inawezekana watangazaji wamegharamiwa safari kuwahoji DP world lakini wahusika wakagoma hivyo wakamtuma kuli kuwawakilisha!

Ni wazi serikali imepoteza tena hela kwani kazi waliyowatuma hawa watangazaji wameshindwa kuifanya zaidi watanzania wamewaona ni kichekesho kikubwa cha duni?

Huyu Mpemba ndio msemaji wa DP world?

Kingine usipende kuzungumza assumptions kama fact..
Umeanza sijui ni kuli Yule
Mwisho umemuita kuli kama vile ulishathibitisha...
 
Back
Top Bottom