screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Nimekuwa nikimsikia mara kwa mara akijigamba hivyo kwenye media, na sielewi anamaanisha nini maana maandiko mbalimbali ya historia ya bongofleva hayatambui hilo. Kama anamaanisha 'kuimba' mbona kina Unique Sisters, Mr Paul, Jide, n.k walikuwepo kabla yake?!