Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jd kaanza Kuimba miaka ya 2000 kuanzia 2001 na Kuendelea Dully nyimbo yake ya Kwanza ya Mwaka 1998Unique Dadas na Jd walitangulia
Hakurap Ile Inaitwa Mwanasesere Sio Rap sio Hiphop wala sio R&BJulieta uliitangulia Nyambizi, halafu kwani Nyambizi aliimba ama alirap?
Julieta uliitangulia Nyambizi, halafu kwani Nyambizi aliimba ama alirap?
Albam yao iliitwaje hii ya 1998Unique Sister wametoa Album 1998, Julieta ambao ndio wimbo uliomtoa Dully umetoka kwenye 2000 hivi
Alirap bwana, kwenye chorus ndio aliimba. Halafu Nyambizi umetoka kwenye 2001 hivi nakumbuka nilikuwa darasa la7 wala sio 98[emoji16][emoji16]Hakurap Ile Inaitwa Mwanasesere Sio Rap sio Hiphop wala sio R&B
Hiyo ni aina Ya Mziki alioanzisha Dully walikuwa wanaiita Jina la Utani Mwanasesere
Hapana Nyambizi Imetoka 98 na Julieta Imetoka 1999..Alirap bwana, kwenye chorus ndio aliimba. Halafu Nyambizi umetoka kwenye 2001 hivi nakumbuka nilikuwa darasa la7 wala sio 98[emoji16][emoji16]
Bahati mbaya mtandaoni sijaona sehemu inapoonyesha hit yake ya kwanza katoa mwaka gani ila inaonesha Album yake ya kwanza iliyotoka 2002. Japo hata kama ni kweli Nyambizi imetoka 98, binafsi mule sioni kama kuna Bongofleva anayoizungumzia, naiona rap nyepesi iliyochombezwa na chorus ya kuimbaHapana Nyambizi Imetoka 98 na Julieta Imetoka 1999..
Duh ulikuwa Unamaliza Darsa la Saba?
Nilikuwa nina mwaka Mmoja Nimemaliza Intern Nasubiria Ajira Serikalini..
Mzee Unaangalia Mtandaoni Mimi nakwmbia kwa sababu nilikuwepo na Nina historia na hiyo nyimbo..Bahati mbaya mtandaoni sijaona sehemu inapoonyesha hit yake ya kwanza katoa mwaka gani ila inaonesha Album yake ya kwanza iliyotoka 2002. Japo hata kama ni kweli Nyambizi imetoka 98, binafsi mule sioni kama kuna Bongofleva anayoizungumzia, naiona rap nyepesi iliyochombezwa na chorus ya kuimba
Mwanasesere ni jina tu kutokana na aina ya rap kuwa tofauti wenzie ila sio kwamba ile ni bongofleva, ni Sawa na kina GangweMobb walivyokuwa categorized kwamba wanafanya Rap Katuni, but still ni rapMzee Unaangalia Mtandaoni Mimi nakwmbia kwa sababu nilikuwepo na Nina historia na hiyo nyimbo..
Hiyo haikuitwa Rap iliitwa mwanasesere
JuliethaNitajie wimbo wa Dully alioimba 1998 namimi nikutajie wa msanii mwingine
Sijui Kama Umenielewa Nilichosema..Mwanasesere ni jina tu kutokana na aina ya rap kuwa tofauti wenzie ila sio kwamba ile ni bongofleva, ni Sawa na kina GangweMobb walivyokuwa categorized kwamba wanafanya Rap Katuni, but still ni rapView attachment 3188594
Nyimbo ya juzi hiyo!".....hunifahamu sikufahamu mama, iweje Leo unipakazie...."
Huo ni wa mwaka gani.
JuliethaJulietha
Asante mkuu Kwa kunikumbusha.Nyimbo ya juzi hiyo!
Hapo tayari alishatoa ladies free!
Alishatoa nyimbo ya Hi!
Aliahatoa ile nyimbo aliyotoa na mtoto wa kiarabu.
Alishatoa Salome! n.k
Alishatoa nyambizi!
Alishaimba na wale wanawake wawili sijui raha ya tunda.