Kwanini Dully Sykes anasema yeye ndiye Mwanzilishi wa Bongofleva?

Bongo flavour Ile ambayo ilianza kushika Sana usukani 2004 ya kubana pua ilianza na dully, wakina unique sister, lady jay Dee na Mr Paul walikuwa wanaimba pure R&B

Mwanafalsafa: Angeimba nini Sister P, asingekuwepo Zay B?
Mr II: Na ingekuwa wapi R&B asingekuwepo Jay D ?
x2

Huu ni mstari WA ungekuwa VP ya mwana fa kuhusu JD, na WA kuhusu dully huu hapa

Ingekuwa vipi Dully Sykes angeimba Hardcore?
Mashairi kama Jay Mo?
Neno wanasesere n'na imani lisingekuwepo.
Mauzo ya Rap ya bongo yangefika Platinum tano.


Huu mstari unaonyesha jinsi alivyokuwa anarap ilikuwa ni tofauti

Na pia baadhi ya wasanii WA hip hop husema bongo flavour sio hip hop mfano kikosi cha mizinga na Nash MC. Kwa kifupi dully alikuja kufanya modifications Kwa kuleta genre ya sasa inayoonekana kama bongofleva za kina mb dog, matonya, Ali kiba, etc

Ndio maana wimbo kama Julietta na historia ya kweli ziko tofauti,
 
Hao walikuwa wakiifanya mziki wa kufoka dully sykes akaja na bongoflava ambayo ni fussion ya dancehall na hiphop.
 
Sema hizi nyimbo na tasnia nzima ya nyimbo za Bongo ilionekana ni uhuni tu na sio ajira. Wazazi wengi hawakupenda watoto wao waingie huko as a results tukakosa vipaji vingi sana. Waliokwenda huko ni wale waliokosa options kabisa za connections au ajira rasmi.
Na ndio maana akina MR Paul NA Solo Thang walionekana ni wasomi kisa tu walimaliza FORM 6 na wakaopt kuimba, but wasanii wengine wote walikuwa zero brain kwa maana ya vidato
 
Hivi Kati ya Dully na Jide Na Unique sisters Nani Alianza Natamani Kujua Kuhusu Hilo kwako weewe
 
WAlikuwa wakiimba Rap sio Bongofleva
 
Na hata Nyambizi Kabla ya Nyimbo kama ya Hi na Handsome au lady's free za miaka ya 2000 na 2001
 
Hivi wakati wa Julieta hao uliowataja walikuwa na nyimbo zipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…