This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Huyo Muajemi Iran anawadanganya Sana hao Wapalestina na hiyo Hamas yao ili afanye biashara ya silaha.Na malengo binafsi mengine.Yah hao Hammas ni wapalestina na waungwa mkono na serikal ya palestina na nchi zote za kiarabu ili kum-defeat mu Israel
Kale kakitabu ka kishirikina (Kuran) ndicho kinawafundisha wao ni dini bora na wengine ni makafiri.Wanadanganywa sana.Acha wabondwe kisawa sawa Hadi akili ziwakae sawa.In short nchi za Kiarabu vita wamefanya kama sehem ya maisha yao. Bila shaka pia nahis vita ni sehemu ya imani yao. Haiwezkan nchi za kiarabu miaka yote zenywe ziwe na vita tu.
Adui mkubwa wa Allah sio shetani ila Myahudi [emoji56][emoji56]inafikirisha yaani hadi Allah anawahofia wayahud had kawawekea aya. si kawaumba mwenyewe.. kwa nini atuonye kuhusu myahud..
yaan sawasawa Allah atuonye kuhusu Msukuma
au mkenya.. inamaana wayahud wote by default wanazaliwa na roho mbaya na makatili..
and there is nothing Allah can do about it?
mh inafikirisha sana kitabu kitakatifu kuwa single out jamii fulan kwa kuwataja kuwa jiepushen nao.. maana navyojua tabia za binadam zinafanana kama kuna mzinz na jamabz afrika atakuwepo pia mwarabu,myahud, mzungu hadi msomali ..
anyway ndo tuliyoyakuta tulivyozaliwa acha maisha yaendelee
hio link niliyoweka ni kambi ya wakimbizi chini ya UNHCR nayo ni magaidi?Jamaa (hamas)wanahifadhi silaha kambini,hospitalini na hata misikitini. Sasa Israel wanachofanya kama roketi zimefyatuliwa toka shule au hospital au popote wao wanapiga hapo. Shida ndo inaanzia hapo
Wabondwe tu hamna namnahio link niliyoweka ni kambi ya wakimbizi chini ya UNHCR nayo ni magaidi?
kuna video nyengine jengo la AL jazeera na association press yamepigwa mabomu, hawa nao ni magaidi?
unahitaji kipaji cha level za mirembe kuamini wanapigana na Hamas
Hamas siyo Wapalestina??Parestina wanaonewa Sana af anakuja mmasai mmoja anawasifia Israel kuwa ni taifa teule... parestina hawapgan na Israel Bali wanaandamana, wanaopgana na Israel ni gammas na sio parestinaView attachment 1786087hilo enoleo lote kilikuwa la parestina mwaka 1919 now wamekuwa wakimbizi , Hawa wapuuzi Bora wangeletwa Uganda tu Kama ilivokuwa imepangwa
Ni kundi dogo Sana huwez ku generalize
Kujua kusoma sio kuelewa kilichoandikwa. HopelessNani mpingaji kati ya Mimi na wewe kwenye haya maandiko ya biblia
Ufunuo wa yohana 2:9 na 3:9View attachment 1787912View attachment 1787913
Ngoja wapukutike kwanza wanajifanyaga wahuni kuvaa tubomu kuuwa wengine. Wamekutana na wababe wacha tuwaangalie sasa
Suluhu ni hiyari ya wagombanao siyo dunia kuwaamuru wapatane. Jumuia ya kimataifa imejitahidi sana kutoa matamko na kuandaa mikutano ya usuluhishi camp david nk nk matokeo yake waziri mkuu wa Israel aliyetaka suluhu na waarabu sijui Yitzak Rabin aliuwawa. Haya ya waarabu na wayahudi tuwaachie wenyewe huko Somalia na EThiopia Jimbo la Tigray waafrika wenzetu wanauwawa tu tumekaa kimyaHabari wadau..!
Nimewaza hivi kwa nn dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea huko Gaza..?
Binafsi toka nazaliwa nimekuwa nikisikia Gaza mpaka nakuwa mtu mzima na watoto na watoto wanaelekea kupata nao watotot bado wimbo ni Gaza .
Je kwa nini dunia haitaki kabisa kujihusisha wala kutafuta suluhu ya Gaza katika mgogoro wa Palestinians na Israel?
Tangu nimezaliwa juzi tu ndio nimesikia Waislam wa Kenya wakiandamana kupinga kile kinachotokea Gaza ,je kwa nini wengine hawapazi sauti wala kutoa pole ?
Suluhu ni hiyari ya wagombanao siyo dunia kuwaamuru wapatane. Jumuia ya kimataifa imejitahidi sana kutoa matamko na kuandaa mikutano ya usuluhishi camp david nk nk matokeo yake waziri mkuu wa Israel aliyetaka suluhu na waarabu sijui Yitzak Rabin aliuwawa. Haya ya waarabu na wayahudi tuwaachie wenyewe huko Somalia na EThiopia Jimbo la Tigray waafrika wenzetu wanauwawa tu tumekaa kimya
Wabondwe tu hamna namna
Kuna taasisi na watu wanapata pesa nyingi kutokana na huo mgogoro na ukiisha watakula wapi? suluhisho ni kufuata ramani ya nchi ya israel na wengine wataishi kama wahamiaji, Ni kama USA wenye hati miliki ya Nchi ni wahindi wekundu ila wahamiaji wanaruhusiwa kuishi na kuongoza taifa.Habari wadau..!
Nimewaza hivi kwa nn dunia haitaki kujihusisha na yanayotokea huko Gaza..?
Binafsi toka nazaliwa nimekuwa nikisikia Gaza mpaka nakuwa mtu mzima na watoto na watoto wanaelekea kupata nao watotot bado wimbo ni Gaza .
Je kwa nini dunia haitaki kabisa kujihusisha wala kutafuta suluhu ya Gaza katika mgogoro wa Palestinians na Israel?
Tangu nimezaliwa juzi tu ndio nimesikia Waislam wa Kenya wakiandamana kupinga kile kinachotokea Gaza ,je kwa nini wengine hawapazi sauti wala kutoa pole ?
Na hiki ndicho wengi wasichokijua na ndiyo sababu hutoweza kuona vitabu vya dini vya kiyahudi vikiuzwa kwa wazi kama Qur'an na Biblia.eneo la msikiti hata hakuna fujo sana mostly ni watalii, na hata kukiwa na fujo ni mabomu ya machozi hutumika.
huko Gaza ndio wanakouliwa, kifupi mkuu ma zionist wanaamini dunia nzima ni mifugo, si wapalestina tu, watu weusi, wachina, waarabu na wengineo kwao ni second citizen, wao peke yao ndio wanastahili kutawala dunia.
Au kingine wajiulize Urusi ya Kisovieti viongozi wengi walikuwa ni Wayahudi lakini hawakuiva hata kidogo na Wayahudi wa West mpaka kuingia kwenye mgogoro mkubwa wa vita baridi. Kuna nini?mkuu kabla ya hapo jews kibao waliokimbia ulaya walikuwa wanaishi palestina, wapalestina hawana tabu na ma jews, ila hawa mazionist si watu wa dini, na kama wana dini basi ni ya shetani.
wapo jews wa kawaida wengi israel ila hawana nguvu na decision za kufanya tofauti na hawa zionist.
hebu angalia hivi wanavyofanya niambie kwako unaona ni dini? nitajaribu kuweka source za kimagharibi zaidi
1. israel sasa hivi ndio paradise ya pedopholia, yaani watu wanaofanya mapenzi na watoto ambao hawaja baleghe, wanashtakiwa nchi nyengine wao wanawapokea na kuwakinga
Israel becoming 'safe haven for paedophiles,' activists claim
Jewish Community Watch says 32 paedophiles moved from countries around the world to Israel over past decadewww.independent.co.uk
2.wana blackmail viongozi na watu makubwa duniani kingono, wana makampuni ya kusafirisha watoto na wanawake kufanya kazi za umalaya, viongozi wao wanabaka etc
Woman says Epstein forced her to have sex with former PM Barak
Claim revealed in court filings from celebrity US lawyer Dershowitz, who was accused as well; associates of both men deny the allegationwww.timesofisrael.com
3. rabbi mkuu, kiongozi wa dini wa israel anawarefer watu weusi wa marekani kama nyani wazi wazi tena
Chief rabbi calls black people ‘monkeys’
Rabbi Yitzhak Yosef uses pejorative term 'kushi' for African Americans in weekly sermonwww.timesofisrael.com
4.wanawake wa ki africa ama wachina wanahasiwa wasizae ama kuingia mikataba wasishiriki tendo la ndoa wakiwa kule,
Chinese workers in Israel sign no-sex contract
Chinese workers at a company in Israel have been forced to agree not to have sex with or marry Israelis as a condition of getting a job.www.theguardian.com
5.israel wanataka kuja africa ili tu wa Africa wasiende israel msemo ambao ulimaanisha hawataki watu weusi waende kwao
Israel wants to be ‘in Africa’ but to keep Africans out of Israel
Israel wants to exploit the benefits of a potential relationship with Africa. But it does not want Africans to come to Israel.www.trtworld.com
6. baadhi ya watu wanaowaua wanaiba viungo vya mwili
7. walikuwa wanalipua sinagogi za nchi za kiarabu ili jews wakimbie waende israel, wapo tayari kuuwa wenzao sababu ya politics
Now it can be told
Yehuda Tager, an Israeli agent who operated in Baghdad, sheds new light on a 55-year-old mystery: Who carried out the bombing of the Masuda Shemtov synagogue.www.haaretz.com
8.bilionea wao ndie anaehusika na congo, kuiba madini, alifukuzwa USA
Treasury Sanctions Fourteen Entities Affiliated with Corrupt Businessman Dan Gertler Under Global Magnitsky
Washington – Today, the U.S. Department of the Treasury’s Office of Foreign Assets Control (OFAC) sanctioned 14 entities pursuant to Executive Order (E.O.) 13818, which targets serious human rights abuse and corruption, for being affiliated with designated Israeli businessman and billionaire Dan...home.treasury.gov
9.Rabbi Ovadia aliwahi sema hivi
“There was a tsunami (Hurricane Katrina) and there are terrible natural disasters, because there isn’t enough Torah study…Black people reside there [New Orleans]. Blacks will study the Torah? [God said] let’s bring a tsunami and drown them...“Hundreds of thousands remained homeless. Tens of thousands have been killed. All of this because they have no God.”
10. mlipuko wa juzi juzi hapa beirut uliotokea bandarini na kuua mamia ya watu kiongozi wao wa kisiasa alipost fb kusherehekea
Former MK celebrates Beirut blast, calls it 'spectacular pyrotechnics show'
Firebrand activist claims Hezbollah missiles that 'could reach any strategic point in Israel' and allegedly stored in chemical depot created gigantic explosion that flattened large swaths of Lebanese capitalwww.ynetnews.com
kuna maelfu ya crime wanafanya hawa jamaa na kama unaamini ni vita ya kidini unahitaji kuwajua zaidi.
Huwezi ukawaona hapa ukitoa ushahidi kama huu kwa komenti mfano kama wa kwako au kwa Uzi zilizojitosheleza zenye mfano kama wa kwako. Huwa wanaziacha tu kwa sababu wanajua hawana ukweli bali wamebaki na hisia.jews walikwenda palestina hata kabla ya kuundwa israel na uingereza kufika, ushahidi upo wa kutosha.
hii video ya mwaka 1896 ikionesha jews na wapalestina wengine
wazayuni ndio waliokwenda hio 1940s kwa kupelekwa na waingereza video inayooneshwa wakishushwa
mkuu ukipata muda pitia hapa, kifupi hakuna alieachwa, si mwarabu, si mchina, si wayahudi wenzao, si Wa africa, wote waziwazi jamaa wanawatukana na kuonyesha ubaguzi wa wazi wazi.Na hiki ndicho wengi wasichokijua na ndiyo sababu hutoweza kuona vitabu vya dini vya kiyahudi vikiuzwa kwa wazi kama Qur'an na Biblia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waafrika mmegomea kujihusisha na yanayotokea Msumbiji mnayawaza ya Uarabuni.. Tabia za kimbea mmezitolea wapi
Na anagawa kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha Israel aendelee kugawa dozi