Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
nikiangalia mataifa yote yaliyoendelea kama japan, china, uingereza, s.korea, taiwani, hispania na ufaransa wote hutumia lugha zao za asili kujifunzia. ukweli ni kuwa mtu akijifunzia lugha mama anaelewa sana na kwa kasi zaidi. pia inaondoa tatizo la kukariri na kuongeza ubunifu..
kama miaka kumi iliyopita nilisomaga kitabu cha Alex Haley kinaitwa Roots(kunta kinte)lakini kilichotafsiriwa kwa kiswahili kikiitwa asili. nilikiinjoi sana na nilikisoma kwa muda mfupi sana. mdingi alikuwa anavitabu vingi vya kiingereza lakini ngeli ilikuwa haipandi. bila shaka kingekuwa nacho cha kiingereza nisingekisoma. hapa nataka kusema kiingereza kinanyima watu wengi haki ya kujisomea. imagine kitabu cha rich daddy na poor daddy kingekuwa cha kiswahili?
mi napendekeza kiingereza tungejifunza kama lugha ya kimataifa lakini jiografia, uraia, kemia, biolojia, hisabati na historia tujifunze kwa kiswahili mpaka chuo kikuu. pengine waafrika ni maskini kwa sababu tunajifunzia lugha tusizoelewa vizuri. we mdau unamaoni gani kuhusu wazo ili?.
kama miaka kumi iliyopita nilisomaga kitabu cha Alex Haley kinaitwa Roots(kunta kinte)lakini kilichotafsiriwa kwa kiswahili kikiitwa asili. nilikiinjoi sana na nilikisoma kwa muda mfupi sana. mdingi alikuwa anavitabu vingi vya kiingereza lakini ngeli ilikuwa haipandi. bila shaka kingekuwa nacho cha kiingereza nisingekisoma. hapa nataka kusema kiingereza kinanyima watu wengi haki ya kujisomea. imagine kitabu cha rich daddy na poor daddy kingekuwa cha kiswahili?
mi napendekeza kiingereza tungejifunza kama lugha ya kimataifa lakini jiografia, uraia, kemia, biolojia, hisabati na historia tujifunze kwa kiswahili mpaka chuo kikuu. pengine waafrika ni maskini kwa sababu tunajifunzia lugha tusizoelewa vizuri. we mdau unamaoni gani kuhusu wazo ili?.