Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
toka mwaka 90 alikua mzee tu?Huyu mzee alikuwa anaishi Magomeni miaka ya 90 mwanzoni ni mpuuzi mmoja hivi
Katiba za klabu za michezo zinapitishwa na BMT siyo Rita, ingawa rita wanaweza kupata nakala, lakini chombo kinachosimamia vilabu vya michezo ni BMT.Wametumia katiba ya 2020 kumchagua eng hersi mobeto wakati Rita Kuna katiba ya 2011.
CUF wakati wanagombana hayati Maalim Seif Rita walienda kutoa ushahidi......sasa sijajua yanga na Rita nani wapo sahihi, cha msingi katiba iliyomuweka madarakani eng hersi mobeto haikusajiriwa sehemu husika hao wanasheria wenyewe wa yanga hawakuikana Rita walichosema muda wa kukata rufaa umepita watapambana na fojari kama ipo.Katiba za klabu za michezo zinapitishwa na BMT siyo Rita, ingawa rita wanaweza kupata nakala, lakini chombo kinachosimamia vilabu vya michezo ni BMT.
Eng. Hersi Mabeto ndio nani tena jamani?CUF wakati wanagombana hayati Maalim Seif Rita walienda kutoa ushahidi......sasa sijajua yanga na Rita nani wapo sahihi, cha msingi katiba iliyomuweka madarakani eng hersi mobeto haikusajiriwa sehemu husika hao wanasheria wenyewe wa yanga hawakuikana Rita walichosema muda wa kukata rufaa umepita watapambana na fojari kama ipo.
huwezi kua huna ela ukaenda kuishitaki kamati ya gsm ukashinda uyu ana ela wendo ukoo wenu wote haunaNchi inawazee baadhi wa Hovyo Sanaa,vimejaa njaa vimeshindwa kutafuta pesa ujanani kazi kuhonga tu Sasa vinaleta fitina Ili vipate ulaji(njaa) tupu. Viva Hersie
Duh nimejichanganya silijui jina lake la pili kwani anaitwa eng hersi nani?Eng. Hersi Mabeto ndio nani tena jamani?
Ila katika hili mzee Magoma sio wa kulaumu bali kuongezwa maana kasaidia kupata tafsiri ya kisheria kuwa Huyo Hersi na wenzake hawapo kisheria
Rita ni watunza rekoru tu siyo wanapitisha rekodi hizoCUF wakati wanagombana hayati Maalim Seif Rita walienda kutoa ushahidi......sasa sijajua yanga na Rita nani wapo sahihi, cha msingi katiba iliyomuweka madarakani eng hersi mobeto haikusajiriwa sehemu husika hao wanasheria wenyewe wa yanga hawakuikana Rita walichosema muda wa kukata rufaa umepita watapambana na fojari kama ipo.
Hapo pambaneni na ritaRita ni watunza rekoru tu siyo wanapitisha rekodi hizo
Kwahiyo yanga rekodi zao wanazitunza maktaba??Rita ni watunza rekoru tu siyo wanapitisha rekodi hizo
Swali la kijinga sana hilo kama hujui kutofautisha kati ya kutunza rekodi na kupitisha document kuwa rekodi. Kimsingi ukiachilia mbali mamlaka ya kutayarisha documents za vuzazi, vifo, ndoa, talaka na kuasili watoto RITA ni maktaba ya kutunza documents zilizotayarishwa na mamlaka nyingine. RITA haina mamlaka ya kutayarisha au kupitisha katiba za vyama au vilabu vya michezo.Kwahiyo yanga rekodi zao wanazitunza maktaba??
Swali rahisi sana unakuja na majibu yasiyoendana na swali rudia kusoma swali tena.Swali la kijinga sana hilo kama hujui kutofautisha kati ya kutunza rekodi na kupitisha document kuwa rekodi. Kimsingi ukiachilia mbali mamlaka ya kutayarisha documents za vuzazi, vifo, ndoa, talaka na kuasili watoto RITA ni maktaba ya kutunza documents zilizotayarishwa na mamlaka nyingine. RITA haina mamlaka ya kutayarisha au kupitisha katiba za vyama au vilabu vya michezo.
Soma kwanza Sheria zionazoongoza RITA, ziko hapa Sheria ZinazoongozaSwali rahisi sana unakuja na majibu yasiyoendana na swali rudia kusoma swali tena.