Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
halmashauri kuu ya CCM imeshapitisha zamani soorrrrrryKuchelewa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halmashauri kuu ya CCM imeshapitisha zamani soorrrrrryKuchelewa wapi?
Kutoka kwenye Magazine Chamber au sio?umefyatuka kama risasi
Kwa nini nipoteze muda wangu kusikiliza takataka zisizohusiana na jambo tunalojadili hapa?Of course utaona tofauti kwani hata hujasikiliza hata clip moja , umefyatuka kama risasi unasema haya mambo hayahusu mada.
Umesha amua kuwa zile ni takataka kabla hata hujasikiliza , haya, poteza muda wako kujadiliana na mimiKwa nini nipoteze muda wangu kusikiliza takataka zisizohusiana na jambo tunalojadili hapa?
Mzanzibar yule.Dogo boya
✍️
Ndio boya na kuna maboya wamewekwa kwenye wizara nyeti pia mfano Mambo ya Ndani kawekwa ......Mzanzibar yule.
Ntafyatua kaulimi hakoSawasawa😛😛😛
Nitajadili na wewe kuhusu uhuru wa waZanzibari toka kwa wakandamizaji kama ulivyoeleza toka mwanzo.Umesha amua kuwa zile ni takataka kabla hata hujasikiliza , haya, poteza muda wako kujadiliana na mimi
Samia hana uwezo wowote chini ya huu mfumo kristo na nimekuwekea hapo video kuthibitisha hilo na hutaki kusikiliza , sasa nikufanye kitu gani ??Nitajadili na wewe kuhusu uhuru wa waZanzibari toka kwa wakandamizaji kama ulivyoeleza toka mwanzo.
Na mimi kuhusu hili ninakubaliana kabisa na wewe, na ninakukumbusha tena, sasa hivi Samia ndiye mwenye uwezo wa kuwaondolea tatizo hilo kwa haraka sana bila ya kuhojiwa na yeyote.
"Mfumo" tena?Samia hana uwezo wowote chini ya huu mfumo kristo na nimekuwekea hapo video kuthibitisha hilo na hutaki kusikiliza , sasa nikufanye kitu gani ??
Ushahidi ninaokuwekea hutaki kuusikiliza unanilaumu kitu gani ??"Mfumo" tena?
Ni nani mwenye madaraka yote ndani ya nchi hii, anapoamua kufanya jambo hakuna wa kumhoji?
Hivi visingizio unavitoa wapi wewe?
Kuna ushahidi gani kuushinda unaoonekana wazi kwa kila mtu yeyote kuhusu madaraka makubwa aliyonayo rais wa nchi hii?Ushahidi ninaokuwekea hutaki kuusikiliza unanilaumu kitu gani ??
Kuna ushahidi gani kuushinda unaoonekana wazi kwa kila mtu yeyote kuhusu madaraka makubwa aliyonayo rais wa nchi hii?
Emu leta clipHayo unayaona wewe kwani hutaki kusiliza clip , baki na hiyo imani yako
Uhalisia upo wazi, kwa kila mtu kuuona, lakini wewe hilo hutaki unakwenda kutafuta visingizio vingine ambavyo hakuna anayejua usahihi wake ulivyo.Hayo unayaona wewe kwani hutaki kusiliza clip , baki na hiyo imani yako
Wewe sema unalopenda , nimeshakuwekea ukweli wa Mfumo Kristo unaoitesa nchi , sasa hayo mengine unayayoyawaza ni yako mwenyewe, Baki nayo mwenyeweUhalisia upo wazi, kwa kila mtu kuuona, lakini wewe hilo hutaki unakwenda kutafuta visingizio vingine ambavyo hakuna anayejua usahihi wake ulivyo.
Kama huna jipya, tafadhali usinipotezee muda wangu.
Mzanzibar katika ubora wako! Waandaeni kisaikolojia ndugu zenu. soon tunawatimua TanganyikaUmekuwa msemaji wa Eric? mnahangaika na kajibandari lakini mnajifanya hamjui kuwa hii nchi yetu zanzibar mliivamia na mumeikalia kwa mabavu toka 1964 na mumetuulia maelfu ya ndugu na wazee wetu , na mnaendelea kutuuwa kila ufikapo uchaguzi , mumeuchukuwa uhuru wetu na kiti chetu UN yote hayawaumi , mnaumwa na kajibandari chenu
Mkuki kwa nguruwe tu ?+
Leta clipMfumo Kristo unaoitesa nchi
Zilipendwa.Duru za kweli zinatabanaisha aliyekuwa boss wa Mamlaka ya BANDARI alifutwa kazi kwa sababu zilizodaiwa kutoonyesha ushirikiano na wawekezaji kule Dubai alipokuwa ameambatana na ujumbe wa Rais.
Jamaa walidai hawaonyeshwi ushirikiano wa haja na boss wa TPA kwa waziri na hazikupita siku mbili Erick akatolewa TPA.
Tatizo la Eric alihisi ule ulikuwa mtego na hakufahamu wakubwa na wale lao moja ndiyo maana alisita kufanya baadhi ya maamuzi kwa upande wake alihisi atanasa.
Kama yupo Mtanzania mwenye kuyafahamu mengi kuhusu huo MKATABA Eric yumo sema yule jamaa mwoga sana hata hawezi kutoa japo ABC kwalo.
Duru.
Pia soma