Kwanini Erick Hamissi alifutwa kazi bandarini?

Kwanini Erick Hamissi alifutwa kazi bandarini?

Of course utaona tofauti kwani hata hujasikiliza hata clip moja , umefyatuka kama risasi unasema haya mambo hayahusu mada.
Kwa nini nipoteze muda wangu kusikiliza takataka zisizohusiana na jambo tunalojadili hapa?
 
Kwa nini nipoteze muda wangu kusikiliza takataka zisizohusiana na jambo tunalojadili hapa?
Umesha amua kuwa zile ni takataka kabla hata hujasikiliza , haya, poteza muda wako kujadiliana na mimi
 
Umesha amua kuwa zile ni takataka kabla hata hujasikiliza , haya, poteza muda wako kujadiliana na mimi
Nitajadili na wewe kuhusu uhuru wa waZanzibari toka kwa wakandamizaji kama ulivyoeleza toka mwanzo.
Na mimi kuhusu hili ninakubaliana kabisa na wewe, na ninakukumbusha tena, sasa hivi Samia ndiye mwenye uwezo wa kuwaondolea tatizo hilo kwa haraka sana bila ya kuhojiwa na yeyote.
 
Nitajadili na wewe kuhusu uhuru wa waZanzibari toka kwa wakandamizaji kama ulivyoeleza toka mwanzo.
Na mimi kuhusu hili ninakubaliana kabisa na wewe, na ninakukumbusha tena, sasa hivi Samia ndiye mwenye uwezo wa kuwaondolea tatizo hilo kwa haraka sana bila ya kuhojiwa na yeyote.
Samia hana uwezo wowote chini ya huu mfumo kristo na nimekuwekea hapo video kuthibitisha hilo na hutaki kusikiliza , sasa nikufanye kitu gani ??
 
Samia hana uwezo wowote chini ya huu mfumo kristo na nimekuwekea hapo video kuthibitisha hilo na hutaki kusikiliza , sasa nikufanye kitu gani ??
"Mfumo" tena?

Ni nani mwenye madaraka yote ndani ya nchi hii, anapoamua kufanya jambo hakuna wa kumhoji?

Hivi visingizio unavitoa wapi wewe?
 
"Mfumo" tena?

Ni nani mwenye madaraka yote ndani ya nchi hii, anapoamua kufanya jambo hakuna wa kumhoji?

Hivi visingizio unavitoa wapi wewe?
Ushahidi ninaokuwekea hutaki kuusikiliza unanilaumu kitu gani ??
 
Ushahidi ninaokuwekea hutaki kuusikiliza unanilaumu kitu gani ??
Kuna ushahidi gani kuushinda unaoonekana wazi kwa kila mtu yeyote kuhusu madaraka makubwa aliyonayo rais wa nchi hii?

Naona unatafuta tu kunichosha na hii mizunguko yako mingi.
 
Hayo unayaona wewe kwani hutaki kusiliza clip , baki na hiyo imani yako
Uhalisia upo wazi, kwa kila mtu kuuona, lakini wewe hilo hutaki unakwenda kutafuta visingizio vingine ambavyo hakuna anayejua usahihi wake ulivyo.

Kama huna jipya, tafadhali usinipotezee muda wangu.
 
Uhalisia upo wazi, kwa kila mtu kuuona, lakini wewe hilo hutaki unakwenda kutafuta visingizio vingine ambavyo hakuna anayejua usahihi wake ulivyo.

Kama huna jipya, tafadhali usinipotezee muda wangu.
Wewe sema unalopenda , nimeshakuwekea ukweli wa Mfumo Kristo unaoitesa nchi , sasa hayo mengine unayayoyawaza ni yako mwenyewe, Baki nayo mwenyewe
 
Umekuwa msemaji wa Eric? mnahangaika na kajibandari lakini mnajifanya hamjui kuwa hii nchi yetu zanzibar mliivamia na mumeikalia kwa mabavu toka 1964 na mumetuulia maelfu ya ndugu na wazee wetu , na mnaendelea kutuuwa kila ufikapo uchaguzi , mumeuchukuwa uhuru wetu na kiti chetu UN yote hayawaumi , mnaumwa na kajibandari chenu

Mkuki kwa nguruwe tu ?+
Mzanzibar katika ubora wako! Waandaeni kisaikolojia ndugu zenu. soon tunawatimua Tanganyika
 
Duru za kweli zinatabanaisha aliyekuwa boss wa Mamlaka ya BANDARI alifutwa kazi kwa sababu zilizodaiwa kutoonyesha ushirikiano na wawekezaji kule Dubai alipokuwa ameambatana na ujumbe wa Rais.

Jamaa walidai hawaonyeshwi ushirikiano wa haja na boss wa TPA kwa waziri na hazikupita siku mbili Erick akatolewa TPA.

Tatizo la Eric alihisi ule ulikuwa mtego na hakufahamu wakubwa na wale lao moja ndiyo maana alisita kufanya baadhi ya maamuzi kwa upande wake alihisi atanasa.

Kama yupo Mtanzania mwenye kuyafahamu mengi kuhusu huo MKATABA Eric yumo sema yule jamaa mwoga sana hata hawezi kutoa japo ABC kwalo.

Duru.

Pia soma
Zilipendwa.
 
Back
Top Bottom