StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Acha mizahaisije ikawa nyoka anaezungumziwa ni huyu hapa chini. Maana akiamua kukuingiza kwenye msala. Utakujaju juta akisha haribu ananywea anajifanya tukio halimhusu kabisa.
Anakuponza mazima wakati asali alikula yeye. Na sometimes wewe ulikuwa huhitaji ni kiherehere chake.
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app