Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Wanatuchora tu. Biblia yenyewe inasema Nyoka walikuwa na akili kuliko wanyama wote.Siku hizi wameacha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatuchora tu. Biblia yenyewe inasema Nyoka walikuwa na akili kuliko wanyama wote.Siku hizi wameacha?
Ushahidi?
Hapo ni kitu gani kigumu kwa Mungu kufanya? Unless kama hauamini uwepo wa Mungu mwenye uwezo wote.Hekaya ni Nyoka kuongea,, na Kula tunda halafu unakuwa Uchi...ilihali ni vitu visivyowezekana.
Neno la Mungu (Yoote yaliyomo kwenye Biblia Takatifu). Hayo ndo huitwa 'Neno la Mungu'.Neno lipi lililotakiwa kutimia?
Nimekuelewa mkuu.Neno la Mungu (Yoote yaliyomo kwenye Biblia Takatifu). Hayo ndo huitwa 'Neno la Mungu'.
Sasa unadhani angekuja kwenye umbile la binadamu eva angeshangaa sana maana walikuwa binadamu wawili tuu Adam na Eva, sasa binadamu wa Tatu katokea wapi?Wewe unadhani alikuja kwenye umbile la nyoka
Angeenda kama binadamu Eva angeshangaa binadamu huyu katoka wapi wakati walikuwa wawili tuu?Nyoka na binadamu waliwahi zungumza wakaelewana haijawahi tokea maandishi ya kwenye vitabu vitakatifu ni fumbo ili kuelewa utulize akili.kumbuka chetani asili yake ni nyoka ila anauwezo kujibadilisha na kuwa kwenye muonekano wa binadamu.
Neno la Mungu ni kweli tupu. Ishu hapa ni kwanini bibi yetu hakushtuka.Stori tu hizo
Hakuwa nyoka kama tunavyo aminishwa alikuwa ni mwanamke alieumbwa pamoja na Adam na ndio maana kwenye maandiko adamu anasema nahuyu Sasa ndio nyama katika nyama zangu na mifupa katika mifupa yanguNi kwamba kipindi hicho wanyama walikuwa wanaongea au?
Kama sivyo, kwanini huyo bibi yetu hakushtuka na kukimbia kwa Adamu kuomba msaada?
Nyoka aliongea na Eva mpaka akaishia kuchuma tunda alilokatazwa.Hakuwa nyoka kama tunavyo aminishwa alikuwa ni mwanamke alieumbwa pamoja na Adam na ndio maana kwenye maandiko adamu anasema nahuyu Sasa ndio nyama katika nyama zangu na mifupa katika mifupa yangu View attachment 2242004
Nyoka aliadhibiwa kwasababu aliruhusu shetani atumie mwili wake kuongea na Eva.Hv kwa akili yako nyoka anaweza ongea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mungu alivyoyumba baada ya kumuadhibu shetani akamwambia nyoka ukose miguu usote kwa tumbo
Hapo ni kitu gani kigumu kwa Mungu kufanya? Unless kama hauamini uwepo wa Mungu mwenye uwezo wote.
Nani aliumba dhambiScenario ni ileile, mtawala ambaye ni mwanadamu ameasi makao makuu sasa madhara yameenda kwenye eneo lote alilokabidhiwa kutawala.
1. Hivi kama kweli wanyama walikuwa wakiongea kama binadamu kwenye biblia kuna mstari unaoeleza kukoma kwa uwezo wao wa kuongea?Biblia imeandika kweli tupu. Hapa tunajaribu kutafuta uhalisia wa kipindi hicho. Kwanini yule mama hakushtuka kusemeshwa na mnyama.
Inawezekana kipindi kabla dhambi haijaingia ulimwenguni Adam na Eva walikuwa na uwezo wa kuwasiliana na wanyama kwa lugha zao.1. Hivi kama kweli wanyama walikuwa wakiongea kama binadamu kwenye biblia kuna mstari unaoeleza kukoma kwa uwezo wao wa kuongea?
2. Ni nyoka tu "mwerevu kuliko wanyama wote" ndiye alikuwa na uwezo wa kuongea au wanyama wote?
3. Hata wadudu kama sisimizi nao walikuwa na uwezo wa kuongea? Kwa udogo wake sisimizi sauti yake ilikuwa na ukubwa gani ili aweze kusikika?
Ila kiukweli kuna mengi katika imani zetu tusiyo na majibu yake.