Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
- #41
Ule ni ukweli mkuu. Tunatakiwa kutafuta uelewa wa mazingira ya kipindi hicho.Kampeni ya Sidanganyiki ilikuwa bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule ni ukweli mkuu. Tunatakiwa kutafuta uelewa wa mazingira ya kipindi hicho.Kampeni ya Sidanganyiki ilikuwa bado.
Uko sahihi sana.Sasa nyoka alikua katika umbile gan? La mtu?
Kama la mtu si ndio ilipaswaashtuke zaid maana wao wanajijua bustanini wako wawil tu!!?
Aliweka mti kama ishara ya kumkumbusha amri ya Mungu. Aliwafukuza kwasababu kulikuwa na mti wa uzima pale na kama wangeenda kula matunda yake basi wangeishi milele katika mwili.Kama Mungu alifahamu nyokaa au shetani ata washawishi wale tunda(maana yeye anafahamu sasa na yajayo). Ikiwaje akaweka mti wa tunda la kati. Iweje akawafukuza bustanini
Kweli, nyoka alicheza na ufahamu wa Eva.If this myth is anything to go by, wanawake na wanadamu kwa ujumla ni watu wa kuogopa sana. Nyoka alichofanya ni kutoa ushauri, hakumlazimisha mtu kitu, ila bado analaumiwa.
Ni tunda la mwituni. Mungu alikuwa ameshatoa kibali na baraka kwa Adamu na mkewe wazaliane hata kabla ya nyoka kumdanganya Eva.Wakisema tunda la kati wewe unaelewa nini ? Unadhani ni tunda la mwituni ?
Mdogo angu sanaaaa....kuna siku moja ulijichanganya vibaya sana ukaji expose kwanye michango ya nyuz nyuz hiz hapa jukwaan..kuwa makin kila unapopita watu wanamulika af wanatulia..nikitulia ntafukua hilo kaburiUnanikosea adabu kwanza mi si mjinga pili mi sio mdogo wako!
Twende taratibu we ni me au ke..?Mdogo angu sanaaaa....kuna siku moja ulijichanganya vibaya sana ukaji expose kwanye michango ya nyuz nyuz hiz hapa jukwaan..kuwa makin kila unapopita watu wanamulika af wanatulia..nikitulia ntafukua hilo kaburi
Ahahahaha...would it matter chief, considering age is about numbers not gender????Twende taratibu we ni me au ke..?
Aisee mbona wajiona hivyo mkuu! Wewe ndo mdogo wangu tuliza hilo komwe takudusua!Ahahahaha...would it matter chief, considering age is about numbers not gender????
And hilo kulifaham ni rahis hata nisipokupa jibu...u can have that mdogo ang 😂😂
Mkuu hili la kuwasiliana nao umelitoa wapi? Na la sulemani ni jipya kwangu.Mungu alimpa ADAMU UTAWALA juu ya viumbe vyote,so hapakuwa na kiumbe cha kumtisha kwani na alikuwa anawasiliana nao, kumbuka huu uwezo pia alikuwa na mfalme SULEIMAN
Ushahidi?Hekaya
Scenario mbili tofauti. Amri ilikuwa ni "wasile tunda watakufa" wanyama waliingiaje kifoni.Kukitokea mapinduzi halafu vita ifuatie na watoto na wanawake wafe, je wanakuwa wamekufa kwasababu wana makosa?
Scenario ni ileile, mtawala ambaye ni mwanadamu ameasi makao makuu sasa madhara yameenda kwenye eneo lote alilokabidhiwa kutawala.Scenario mbili tofauti. Amri ilikuwa ni "wasile tunda watakufa" wanyama waliingiaje kifoni.
Mkuu imani yoyote haitaki sana akili.🤣 Hata hivyo hilo tukio ni la kweli. Kinachoshangaza ni kwanini bibi yetu hakushtuka.Hizi stori kuziamini inabidi uweke ubongo pembeni
Ukiona kitu hakihitaji akili jua ni upigaji. Utapigwa tu. Huyo aliyeandika stori za adamu na eva tuna uhakika gani hakuwa anaota ndoto?? BTW Subiri wana wa Israeli kutoka nanjilinji watakupa majibuMkuu imani yoyote haitaki sana akili.🤣 Hata hivyo hilo tukio ni la kweli. Kinachoshangaza ni kwanini bibi yetu hakushtuka.
Siku hizi wameacha?Ndiyo ujue kuwa nyoka wanaongea.