Kwanini familia ya Kikwete inapendekeza mishahara kwa wake wa viongozi wakati tayari wengi wao wako serikalini?

Jiwe alitaka aue watu wote abakie yeye tu shetani yulee
 
Siku Mungu akituondolea huyu baba mwenye tamaa ya mali nchi itapona!! Yaani JK, Makamba, Kinana, Zito na Mbowe wakifa hii nchi itasonga mbele
 
Yule Bi mkuu alianzia Mchakato wa WENZA WALOPWE MAFAO huku akiwa Mbunge anayelipwa Mamilioni na Posho lukuki
 
Siku Mungu akituondolea huyu baba mwenye tamaa ya mali nchi itapona!! Yaani JK, Makamba, Kinana, Zito na Mbowe wakifa hii nchi itasonga mbele
Kaa hapo ukisubiri kifo, ushaambiwa "Wema hawafi". Kuna kina Makamba Jr, Ridhiwani wataendeleza. Halafu tatizo la kifo ni hakichagui. Kama upo serious unataka mabadiliko usisubiri kifo, fanya jambo.
 
Ok, hebu tufanye leo hii Mungu anaiondosha familia nzima ya JK, je ndo mishahara itaongezeka?
Je ndo pension zitalipwa vizuri?
Je ndo nchi yetu itakuwa tajiri?
Kwa mawazo yako unaamini shida zote za watz ni kutokana na uwepo wa familia ya JK.
Una ROHO YA KIMASIKINI!!
 
Hili la mama Salma Kikwete kujenga hoja ya kujenga ubinafsi kwa gharama za wananchi limemuweka hata Kikwete katik nafasi ya ufisadi.
Wanawatumikia wananchi kwa malipo, si kwa moyo.
Ikija tena....... ooooh Tanzania nakupenda......... tutasema kwa msingi upi?
 
Huyo mzee si kuna cheo anagombea huko AU.
Kukaa unamuwazia mabaya JK ni kujitesa nafsi tu

Ukiyajibu maswali hayo hutokaa kuhangaika na JK.
Shika hamsini zako
 
Uzi umejaa sindano huu, ukidumu basi JF itakuwa imeanza kutekeleza Ile slogan yake ya "Where we dare to speak openly"
 
Sanaaaaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…