Kwanini familia ya Kikwete inapendekeza mishahara kwa wake wa viongozi wakati tayari wengi wao wako serikalini?

Kwanini familia ya Kikwete inapendekeza mishahara kwa wake wa viongozi wakati tayari wengi wao wako serikalini?

Moja kati ya makosa makubwa yaliyowahi kufanyika nchi hii ni kumpa Jakaya Kikwete madaraka ya uraisi. Pamoja na mapungufu makubwa aliyoonyesha kiungozi bado aliingiza familia nzima katika urais huku wakipigana vikumbo kutafuta fursa na kujipenyeza.

Mengi yanajulikana, lakini kinachoniuma zaidi ni familia yake kupeleka hoja ya kuwalipa pensheni wake wa viongozi. Kwa wasiofahamu hoja hii ilipelekwa bungeni na Mama Salma Kikwete ambaye ni mke wa Rais Kikwete. Hiki ni kiwango kikubwa zaidi cha tamaa zaidi hata tamaa ya fisi. Bila shaka hiki ndio legacy anayoacha Kikwete kwa familia yake, kutotosheka.

Pamoja na kufuja rasilimali za nchi katika kipindi chake, pamoja na mauwekezaji rasmi na yasiyo rasmi katika familia yake bado watu hawa hawatosheki?

Familia inakosa utu kabisa. Nchi ina ukata kutwa kuchwa kupokea misaada. Lakini kuna watu baba raisi, mama mbunge, kaka waziri bado hawatosheki wakaja na pensheni kwa wake wa viongozi.

Familia hii haikuona kabisa pesheni ndogo wanazolipwa watumishi wa umma, pengine ipeleke hoja bungeni na kutia ushawishi kwa Rais. Haikuona mishahara midogo yenyewe ikaona walichonacho waongezewe maradufu.

Kuna wakati Rais Magufuli alionyesha chuki ya wazi kwa Kikwete, pengine alichukia sana tamaa za Kikwete na familia yake.
Magufuli wakati alipokuwa yuko hai alikuwa akilalamika sana kwamba 'mniombee, kuna watu wanaona Mimi ninakwamisha sana mambo yao'
 
Sio kikwete tu Magufuli na ikulu, airport chato

Samwel sitta na ofisi ya bunge urambo

Samia na pesa za watanganyika kuzipeleka Zanzibar

Kiufupi Ccm ina viongozi wabinafsi sababu kuu ni kuzaliwa kwenye umasikini!!

Anachokipeleka Samia Zanzibar ni stahiki yao, kwanini munalazimisha Muungano halafu hamutaki kutoa mgao wa muungano?
 
Jiwe alikuwa shetan,chuki zenu kwa kikwete sababu ni muislam wapuuzi nyie,

Wapuuzi wenzenu wamepiga kelele kuhusu DP WORLD serikali makini ya samia iliwapuuzilia mbali,
Mlivyo matahila mkasema eti Vatcan inaendesha dunia,lazima serikali itaufyata,

Mmbwa nyie
Dini ni ugonjwa wa akili na kilevi kibaya sana cheki kama huyu mLevi anayeogelea kwenye wine la dini
 
Hakuna sukuma gang yeyote ama mtoto wa jiwe atakuja kunusa ikulu
Hujui lolote kuhusu sukuma gang, wapo kila kona dunia hii, hawapendi madaraka Ila wakiamua kuchukua madaraka hakuna wa kuwazuia.

Kwa taarifa yako Magufuli hakuwa msukuma, hivyo kaa ukijua kwamba sukuma gang hawajawahi kuongoza hii nchi kwa sababu hawanaga tamaa ya urais.
 
Jiwe alikuwa shetan,chuki zenu kwa kikwete sababu ni muislam wapuuzi nyie,

Wapuuzi wenzenu wamepiga kelele kuhusu DP WORLD serikali makini ya samia iliwapuuzilia mbali,
Mlivyo matahila mkasema eti Vatcan inaendesha dunia,lazima serikali itaufyata,

Mmbwa nyie
Duh!! Ndiyo maana nchi inapata tabu kubwa kwasababu za watu kama nyinyi.

Kwanini hujadili hoja ya msingi,badala yake unaingiza udini na marehemu???
 
Hili la mama Salma Kikwete kujenga hoja ya kujenga ubinafsi kwa gharama za wananchi limemuweka hata Kikwete katik nafasi ya ufisadi.
Wanawatumikia wananchi kwa malipo, si kwa moyo.
Ikija tena....... ooooh Tanzania nakupenda......... tutasema kwa msingi upi?
Salma Kikwete ni mwanamke mbinafsi,mwenye tamaa na roho mbaya sana.
 
Nchi ilikua changa wasomi walikua wachache na hawakutosha mpaka tukawa tunaazima wataalam nje ya nchi.

Babu zenu walikua hawapendi shule kutwa kuruka na ungo na mafisi tu kulogana.

Matokeo yake ndio haya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa hiyo mambo ya katiba mpya na tume huru yanaishia jalalani, sio?
 
🤔🤔🤔🤔🤔🤔Kuna watu na mambo yao ni mishangazo kwa jamii yenye kutafakari.Na ukiwaza kama mleta uzi utaulizwa maswali ya kijinga sana.
-Kwani hawana haki ya kuwa viongozi?
-Una wivu wa kike?
-Kwa nini baba yako hakuwa raisi ili mama yako awe first-lady mwenye ubunge na wewe ukawa mbunge mwenye uwaziri?
-Nini maana ya demokrasia na haki kwa kila mmoja bila upendeleo?
-Kwani sheria hutungwa na kupitishwa na mbunge mmoja tu?
-Ni dhambi mtu kueleza na kuomba hitaji lake kwa kutoa mawazo huru?
..and the blah blah questions go on and on!
Jipige kifuani Mara tatu ukijiiambia Maneno haya .

"Mimi moisemusajiografii ni mjinga na Mpumbavu"
 
Kukaa unamuwazia mabaya JK ni kujitesa nafsi tu



Ukiyajibu maswali hayo hutokaa kuhangaika na JK.
Shika hamsini zako
Mjinga Mmoja wee, kumbe ndio maana Nchi haiendelei sababu ya majuha na matahira kama wewe .


Mama yako alikubebea mimba, ikafikisha miezi Tisa kweli??..
Sina shaka kama ilifika ulipata tatizo wakati wa kuzaliwa, tatizo liloathiri Ubongo wako.



Wewe ni mpuuzi Mmoja ambaye ukija kupata watoto, hata kuwafundisha nyumban hesabu za darasa la tatu, hutoweza Kwa sababu ya ujinga uloujaza kichwan kwako.
 
JF ifike wakati mtu avune alichopanda , kurekebisha heading ya uzi huu kumeondoa uhalisia , uzi ulihusu Tamaa ya hiyo familia na kiukweli wanayo tamaa iliyopitiliza , kitu ambacho na nyinyi mnajua , sasa mnapomsitiri mnakuwa mnalenga kuokoa nini ?

Acheni nyeusi iitwe kwa rangi yake halisi
 
JF ifike wakati mtu avune alichopanda , kurekebisha heading ya uzi huu kumeondoa uhalisia , uzi ulihusu Tamaa ya hiyo familia na kiukweli wanayo tamaa iliyopitiliza , kitu ambacho na nyinyi mnajua , sasa mnapomsitiri mnakuwa mnalenga kuokoa nini ?

Acheni nyeusi iitwe kwa rangi yake halisi
Walichofanya ni uhuni kamili.
 
Back
Top Bottom