Kwanini familia ya Kikwete inapendekeza mishahara kwa wake wa viongozi wakati tayari wengi wao wako serikalini?

Familia ya mzee Mwinyi nayo imeingiza timu nzima kwenye shughuli za kisiasa.
 
Dini za mashetani bwanaa kutukana Ni sifa yenu... Ushetani kwenu Ni sifa.
 

kama yeye anafikiria hivyo ulivyoandika basi ana matatizo kichwani labda ni psycho kwani anaichongea familia yake mwenyewe na hata ishi milele ataondoka familia itabakia na haitakuwa na uraisi, wataishije kama wanachukiwa hivyo ? muulizeni uhuru kenyata kilichompata na familia yake ktk kwa Ruto mpaka aliomba poo na kukimbilia kwenye media kulia na hapa naongelea familia ya Uhuru Kenyata inayojulikana Dunia nzima siyo ya huyo mr. no body, hivyo haya mambo ni kuwa mwangalifu power comes power goes kama kweli unaipenda familia yako utakuwa mnyenyekevu na kuilinda …
 
Familia ya mzee Mwinyi nayo imeingiza timu nzima kwenye shughuli za kisiasa.
Na huko Uganda jamaa ameweka mkewe na sasa anamtayarisha mwanaye amuachie Nchi !
Kazi kweli kweli !
Koo za Kifalme zinarudi tena Barani !!
Lakini kama watakuwa wanatawala kwa Uadilifu na maendeleo ya kweli ya watu wao na Nchi yao ni sawa tu !

Ila kama nia ni kujilimbikizia tu mimali na kula Bata hiyo itakuwa sio poa !

Nasema hivi kwa sababu naona hii kitu inaitwa demokrasia imeshashindikana !!
Mifano ipo mingi na mingine ni ya hivi punde tu !!
 
Mama wa kiongozi flani na mstaafu afungwe break , hana sifa za kupanda bodaboda akiwa amevua mpaka viatu, analiabisha taifa , na mstaafu wa nchi hii, nimetokea kumchukia uyu mama,

Naamini hafanyi hivi kwa kutojiua ,wenda ni mbinu flani ambazo mzee karidhika , sasa ni mda wangu muhona Mzee Kikwete aanijibu kwa nini anaruhusu ujinga wa namna hii
 
Tusimlaumu mzee wa Msoga! Tujilaumu sisi wananchi! Tumebaki na nani amfunge Paka kengele!
 
Dua la kuku hilo.
Utasubiri sana
 
Kikwete kalimiliki bunge? Kama ni hivyo basi wakulaumiwa sio yeye. Ni nyinyi watz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…