Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
😂 😂 😂 😂 😂 😂Huyo mwenye tisheti 12 ujue ipo bidhaa ya 13 anayouza ambayo ni tupu yake
Sasa mkuu location ni nzuri Lakini hakuna biasharaLocation...... Location..... Location..... Location..... Niendelee au niishie hapo.....
Mimi hii naweza kubaliana na wewe japo sikuwa na mawazo hayo kabla, Kuna sehemu nimekaa tokea asubuhi mpaka saa 6 wameingia watu wawili tu.store za sinza na kino, nyuma ya pazia ni poda
frem ni geresha tu
Mimi mwenyewe hili Jambo lishanishagaza siku nyingi sana hasa Dar Frame ya laki 3. MTU an pair 15 za viatu seriouslyKuna dogo mmoja yupo Hapo sinza kwa remmy dukani kwake Kuna t-shirt kama 12 Lakini analipa Kodi laki 3 kwa mwezi, kiukweli mjini ingia na yanayokuhusu yasiyokuhusu achana nayo...