Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Ushajiuliza kwa nini kinondoni maduka ya nguo mengi na kila muhudumu ana tumia iphone na siku za ijumaa tupo nao bichi kidimbwi.
Makonda aliona mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushajiuliza kwa nini kinondoni maduka ya nguo mengi na kila muhudumu ana tumia iphone na siku za ijumaa tupo nao bichi kidimbwi.
Makonda aliona mengi sana
BmwOyaa ila Kuna ukweli hapo. Sawa na maduka ya iPhone makumbusho. Utakuta anauza simu moja tu kwa wiki lakini nje ya duka kapaki Toyota crown.
😳Wivu
Hii ndio Genuine. Badala ya mwanamke kushinda nyumbani unamweka busy kwenye biashara yake unampunguzia muda wa kuzurura na kukucheat na hata kukufuatilia pia since yuko kwenye biashara zake na akili yake inakuwa na jambo la kuiweka attention.Frame nyingi sana huko zinafunguliwa na Mafisadi kufungulia watu wao ili tu wasiitwe Mama wa Nyumbani hivyo auze asiuze Duka lazima lifunguliwe
noma sanaMimi hii naweza kubaliana na wewe japo sikuwa na mawazo hayo kabla, Kuna sehemu nimekaa tokea asubuhi mpaka saa 6 wameingia watu wawili tu.
Ndevu, iPhone, Crocs
Hizo fremu zimejaa misukule na vibwengoo,
Niliiba jeans week iliyopita, humu ndani Unga haukai na sipiki Kesho nairudisha
Nitakufa kwa mawazo ya maishaNdevu, iPhone, Crocs
😃😃😃😃Acha utani mkuuHizo fremu zimejaa misukule na vibwengoo,
Niliiba jeans week iliyopita, humu ndani Unga haukai, usiku ukishtuka unaona vimbilikimo vinatembea Kesho nairudisha,
Uongo nini sasa? Mi nakuambia nimeiba wewe unabisha,Uongo
Uongo nini sasa? Mi nakuambia nimeiba wewe unabisha,
Unataka uambiwe wewe ndio umeiba? Wabongo kila kitu mnataka mshinde.
nimecheka kinomaNdevu, iPhone, Crocs