Kwanini frame za Sinza Kodi ipo juu Lakini sioni muingiliano wa watu madukani?

Kwanini frame za Sinza Kodi ipo juu Lakini sioni muingiliano wa watu madukani?

Wakat naanza duka sinza 2014 nilikuwa nalipa 450 frem yangu kubwa tu aisee biashara ilipochanganyia sinza Vunjabei/usiendekariakoo/frank knows watu wakadhan sinza kuna biashara.

Ukitengeneza frem watu wanagombania nakumbuka mwaka juzi jiran hapa frem ilikuwa laki nne ila watu wakapandiana kodi mpk akalipa mtu laki 8.

Cha ajabu wanakaa mwaka wanaachia.

Sinza hakuna biashara kama hauna jina ila kama unajima biashara ipo nzur tu.

Sasa kurupuka uje uchukue frem laki 8 au 1m then baada ya mwaka ndo utabaki kujiuliza usiendekariakoo/ vunjabei wanaroga au! [emoji23][emoji23][emoji23]

Wenye frem hawapandishi frem ila wanaotaka kupanga wanaodhan sinza kuna biashara ndo wanasababisha zipande

Saa hizi Sinza kuna frem 2m frem moja [emoji23][emoji23]
 
Kama unaenda kufanya biashara serious Sinza mwaka mmoja tu hutoboi na utarudisha frem....jamaa yangu alichukua frem barabarani Sinza akafunga biashara baada ya mwaka, sasa toka aiachie hiyo frem kila mwaka ina biashara mpya ya mtu mwingine...nilichogundua biashara nyingi Sinza ukiona inadumu zaidi ya miaka miwili ujue huyo mtu hapo kajiegesha ana mambo yake mengine......hata kwa akili ya kawaida kodi ulipe laki 5 hadi 8 unavitu vichache na hakuna movements ya watu kuingia dukani una malengo kweli ya kufanya biashara au kuna mengine? Its better hiyo kodi ukalipe kariakoo ufanye biashara ya uhakika.

Pia mnaoponga frem za barabarani Sinza tafuteni historia ya baadhi ya nyumba , kuna nyumba hapo mitaa karibu na sinza madukani na nyingine iko karibu na palestina ukifuatilia historia zake wote wanaopanga hizo frem lazima wafilisike au kushindwa biashara...its true wenye nyumba wengine walishafanya yao hapo......
 
Wakat naanza duka sinza 2014 nilikuwa nalipa 450 frem yangu kubwa tu aisee biashara ilipochanganyia sinza Vunjabei/usiendekariakoo/frank knows watu wakadhan sinza kuna biashara
Ukitengeneza frem watu wanagombania nakumbuka mwaka juzi jiran hapa frem ilikuwa laki nne ila watu wakapandiana kodi mpk akalipa mtu laki 8
Cha ajabu wanakaa mwaka wanaachia
Sinza hakuna biashara kama hauna jina ila kama unajima biashara ipo nzur tu
Sasa kurupuka uje uchukue frem laki 8 au 1m then baada ya mwaka ndo utabaki kujiuliza usiendekariakoo/vunjabei wanaroga au! [emoji23][emoji23][emoji23]

Wenye frem hawapandishi frem ila wanaotaka kupanga wanaodhan sinza kuna biashara ndo wanasababisha zipande

Sahiz sinza kuna frem 2m frem moja [emoji23][emoji23]
Wewe ni tajiri mkuu, safi sana
 
Kama unaenda kufanya biashara serious Sinza mwaka mmoja tu hutoboi na utarudisha frem....jamaa yangu alichukua frem barabarani Sinza akafunga biashara baada ya mwaka, sasa toka aiachie hiyo frem kila mwaka ina biashara mpya ya mtu mwingine...nilichogundua biashara nyingi Sinza ukiona inadumu zaidi ya miaka miwili ujue huyo mtu hapo kajiegesha ana mambo yake mengine......hata kwa akili ya kawaida kodi ulipe laki 5 hadi 8 unavitu vichache na hakuna movements ya watu kuingia dukani una malengo kweli ya kufanya biashara au kuna mengine? Its better hiyo kodi ukalipe kariakoo ufanye biashara ya uhakika.

Pia mnaoponga frem za barabarani Sinza tafuteni historia ya baadhi ya nyumba , kuna nyumba hapo mitaa karibu na sinza madukani na nyingine iko karibu na palestina ukifuatilia historia zake wote wanaopanga hizo frem lazima wafilisike au kushindwa biashara...its true wenye nyumba wengine walishafanya yao hapo......
Kiufupi naona sinza hakuna watu kabisa, Bora kariakoo unaona movement inatia Matumaini.
 
Hii ndio Genuine. Badala ya mwanamke kushinda nyumbani unamweka busy kwenye biashara yake unampunguzia muda wa kuzurura na kukucheat na hata kukufuatilia pia since yuko kwenye biashara zake na akili yake inakuwa na jambo la kuiweka attention.
Sheta anawatia sana hawa wadada wa sinza pale. Wengi ni vyakura-misosi
 
Wakati nataka kufungua biashara nilijaribu kuulizia fremu..fremu unayoambiwa laki 8 unabaki unashangaa.
Ila wengi huwa zinawashinda ndani ya miezi 6 au mwaka! Fremu ya kulipa milion kwa mwezi uwe na mzunguko si haba, otherwise hiyo iwe biashara ya kuzugia tu!
 
Sema usiogope hata kwa mafumbo sema
Kifupi watangulizi hapo juu wengi wao wamemaliza kila kitu, ila kifupi ambacho naomba niseme hapa kwa mfanyabiashara serious ukifungua duka hutoboi, kifupi zile wengi wao ni sehemu za kuzugia tu, kuna mmoja hapo juu amesema kuwa mtu ana makavaa ya simu 25 na anaishi vizuri kodi laki na 8 na ana gari gari ya kutembelea hiyo ndo sinza.
Kifupi wengi ni mission town na pale ni kama sehem ya kupumzikia tu.
 
Kifupi watangulizi hapo juu wengi wao wamemaliza kila kitu, ila kifupi ambacho naomba niseme hapa kwa mfanyabiashara serious ukifungua duka hutoboi, kifupi zile wengi wao ni sehemu za kuzugia tu, kuna mmoja hapo juu amesema kuwa mtu ana makavaa ya simu 25 na anaishi vizuri kodi laki na 8 na ana gari gari ya kutembelea hiyo ndo sinza.
Kifupi wengi ni mission town na pale ni kama sehem ya kupumzikia tu.
Mkuu nakuunga mkono 100%. Kwa biashara ya nguo ndo % za kutoboa zinakuwa ndogo zaidi. Sinza maduka ya nguo ni mengi kuliko wateja na ubaya zaidi ni uwepo wababe kama kina Vunjabei. Ninchojua hata kina Vunjabei na wao kuweza kupata ile running expense ya duka sio lelemama.
 
Sinza kule kuna michezo michafu sana, nina jamaa yangu yuko mitaa ile aliwahi nielezea kwa upana sana. Kifupi hii dunia kuna watu na viatu, we jali yako haya ya wengine ukiyasikia ama kuyaona unaweza kufa.
 
Wakat naanza duka sinza 2014 nilikuwa nalipa 450 frem yangu kubwa tu aisee biashara ilipochanganyia sinza Vunjabei/usiendekariakoo/frank knows watu wakadhan sinza kuna biashara.

Ukitengeneza frem watu wanagombania nakumbuka mwaka juzi jiran hapa frem ilikuwa laki nne ila watu wakapandiana kodi mpk akalipa mtu laki 8.

Cha ajabu wanakaa mwaka wanaachia.

Sinza hakuna biashara kama hauna jina ila kama unajima biashara ipo nzur tu.

Sasa kurupuka uje uchukue frem laki 8 au 1m then baada ya mwaka ndo utabaki kujiuliza usiendekariakoo/ vunjabei wanaroga au! [emoji23][emoji23][emoji23]

Wenye frem hawapandishi frem ila wanaotaka kupanga wanaodhan sinza kuna biashara ndo wanasababisha zipande

Saa hizi Sinza kuna frem 2m frem moja [emoji23][emoji23]
Hujaeleweka Hata kidogo. Kama Biashara hamna how comes frame ziwe expensive.

Unless wafanyabiashara hawajui wanachokifanya. Unachukuaje frame ya la 5 afu uweke T Shirt 10. Tukueleweje Kwa mfano
 
Back
Top Bottom