Kwanini frame za Sinza Kodi ipo juu Lakini sioni muingiliano wa watu madukani?

Kwanini frame za Sinza Kodi ipo juu Lakini sioni muingiliano wa watu madukani?

Kuna dogo mmoja yupo Hapo sinza kwa remmy dukani kwake Kuna t-shirt kama 12 Lakini analipa Kodi laki 3 kwa mwezi, kiukweli mjini ingia na yanayokuhusu yasiyokuhusu achana nayo.

Hapa frame ni laki saba kwa mwezi kwa mwaka ni million 8 na laki 4.

Maeneo kama kariakoo unaweza shawishika kulipa hata million 1 kwa mwezi kwa sababu ya movement ya watu iliyopo, watu wa sinza mnawezaje kulipa Kodi kubwa hivyo?

N.B kwahiyo basi tu conclude hapa kwamba mtu yoyote mwenye frame sinza sio wa mchezo mchezo?

Nikimaanisha pesa ipo kweli kweli?

View attachment 2701606
Nimepitia comments hapa nimegundua wachangiaji wengi Wana mawazo hasi Sana..

Tujaribu kufikiria pamoja.. vijana wengi waliopanga frem maeneo ya sinza na makumbusho wamechanga Pesa pamoja mpaka watatu au Zaidi kutokana na aina ya biasha..

Kutoka na aina ya soko linalo patikana makumbusho na maeneo kama sinza na kinondoni yaani wateja kuwa aina flani ya watu wenye kipato cha juu.. walicho fanya kupata soko Lao bidhaa zao wamepandisha bei mpaka Mara mbili..

Kwa mfano nguo ambayo unapata kariakoo Kwa 25k sinza unaweza uziwa mpaka 50k au Zaidi..

Kingine wengi wanaweka bidhaa chache kwasababu now days watu wanafanya biashara mitandaoni unakuta Kuna duka kkoo anakuwa anaaguza Hilo la sinza Ni pambo tu..

Kwa kifupi biashara Ni ubunifu..

Kama frem ya sinza Ni Laki Tano that means per day unahitaji faida kama 30k hivi.. ambayo hiyo inapatikana Kwa mteja mmoja tu makini na Zaidi..

So tusiwe waoga WA biashara.. ingawa pia sikatai kwamba wapo wenye deal nyingine nyeusi lakini tusisahau kwamba wengine wamezaliwa Kwa Pesa wamezikuta na huko ndo maeneo yao
 
Hii ndio Genuine. Badala ya mwanamke kushinda nyumbani unamweka busy kwenye biashara yake unampunguzia muda wa kuzurura na kukucheat na hata kukufuatilia pia since yuko kwenye biashara zake na akili yake inakuwa na jambo la kuiweka attention.

Hapo kwenye 'kucheat' sababu haina mashiko mkuu.

Kama ni tabia yake atafanya tu.
 
Mkuu nikutumie picha ya huyo mwenye t-shirt 12 shop na Kodi ni laki 3?..utanambiaje huyo anafanya online na mzigo Hana? Ofisini kwake Kuna masofa na urembo mwingiii, inatia mashaka
Mkuu huwezi kutoa hitimisho kwa kumtizama mtu mmoja. Yaani duka moja ndio likupe sababu ya kutolea ushahidi suala inayohusu mamia ya maduka!?

Wewe una mjua mmoja mwenye tshirt 12 mm nikikuambia ninawajua 50 wenye mizigo ya maana madukani mwao je!? Nani ambaye sample yake walau walau inamake sense!?

Tujifunze kudhania kheri mara nyingi. We ukimuona mtu anafanya kitu unashindwa kuelewa anafanyafanyaje vzuri uliza kama unataka kujua au kama huwezi kuuliza basi piga kimya wachana na hiyo habari kbs. Sio unaanza kufikiri yule atakuwa mchawi tu!!
 
Hizo fremu zimejaa misukule na vibwengoo,
Niliiba jeans week iliyopita, humu ndani Unga haukai, usiku ukishtuka unaona vimbilikimo vimeshikana vinatembea, Kesho nairudisha nikainunue upya.
Fala-si wewe [emoji23] [emoji23]
 
Wewe ndo uko nyuma ya muda. Tunaosema money laundering na michezo mingine michafu tuna uhakika 100%. Na uhakika wetu unachangiwa na kuwahi kufanya biashara huko pia. Ingawa wapo wanaofanya biashara halali pia. Ndugu yangu haya mambo ni tofauti unavyoona. Miaka ya 2000 kuna fundi wetu mmoja mzuri sana pale Sanawari Arusha alikuwa akitutengenezea magari. Yule kijana alikuwa smart na msikivu kinyama hana shida na mtu. Tulipigwa surprise ya mwaka tulivyosikia kashiriki tukio la ujambazi ubungo kupora hela za nmb.
Ebhnaee hilo tukio lilikuwa bob kubwa la aina yake kumbe ulikuwa unamjua huyo fundi
 
Wanaosema habari za kujiuza sijui money laundering mara madawa ni wivu tu na wengi pengine hawajawahi kufanya biashara. Hivi watu biashara ya madawa wanaivhukulia poa sana kiasi hata mtu yeyote tu anaweza kuifanya eeh!?

Wafanyabiashara wengi wa sinza ni legit kbs na wapambanaji wenye style yao tofauti ya biashara. Ukija kuchunguza utagundua hata kkoo mzunguko umepungua sio km ule wa miaka 10 iliyopita na moja ya sababu ni pamoja na kuongezeka maduka sehemu nyinginezo kama sinza nk.

Kama mtu anauza mf. nguo na anaagiza mwenyewe mzigo unafika loose cargo yake pc 1k, 2k, mpk 5k na anaweza kuusukuma wote dukani jumlisha online ndani ya miezi mi2 au chini ya hapo atashindwaje kulipa kodi ya laki 5 kwa mwezi!? Kama unajua profit margin wanazoweka/pata hao watu wa sinza ni kitu kidogo sana hiyo kodi. Ktk miezi 12 mtu kashusha mzigo mara 6 au 7 na zote umeisha km lbd ulikwama mmoja akauza sale sio mbaya still hela ya kodi hakosi na faida ya kuendeshea mambo yake mengine anakuwa nayo. Nendeni kwenye ofisi za mabasi pale shekilango muone parcel zinavyosafirishwa kila siku kwenda mikoani na hao wafanyabiashara ndio mtajua kuwa hamjui kitu.

Kushindwa na kurudisha frem ni kawaida hata kkoo inatokea sana. Haimaanishi wote wanashindwa au wote wanafanikiwa. Tusipende kuhitimisha mambo bila kufanya udadisi wa kutosha. Tujifunze kujifunza! Mwisho kuchunguza fulani anafanikiwaje bila ya tamaa ya kutaka kujifunza ni dalili za mwanzo kbs za UCHAWI
Nani amekwambia mizigo inayosafirishwa na mabasi shekilango inatokea sinza? Asilimia 90 ni kariakoo..? Kwasababu ya ukaribu wa shekilango na sinza usidhani inatokea sinza...watu wengi wa kariakoo wanaleta hapo shekilango kwasababu ndio Kuna mabasi ya kwenda almost mikoa yote.
Watu waliolezea habari za sinza usidhani wametunga , wengi tumeishi Sinza miaka nenda Rudi na wengine tumekuwa na biashara....pita Leo kuanzia shekilango Hadi bamaga note maduka yote next year utakuta mengi mapya...watu wengi wakiona hizo frem na biashara wanajua biashara ipo at the end wanafungua after a year wanafunga , wachache wapo wanaokamaa ku try mwaka mwingine ,wapo pia wanaokuja kuzugia na kupoteza muda ..inshort sinza hakuna biashara Kwa mfanyabiashara serious ...wanaofanya biashara na kumake money ni almost 10% ya biashara zote...wengine waliosali ni kujaribu biashara ,kuzugia, Dili chafu etc ..

Ukishawahi kujiuliza watu wafanyao biashara haramu huwa wanajificha kwenye biashara gani?
 
Mi kila nikipita sinza lazima nitiazme frame zotee alafutaa nyekundu inawaka kichwani yani haiingii akilini ata kidgo, nahichukuliaga mfano tu ndo mimi naanzisha biashara nakula nini nalipaje kodi
Kuna kitu natamani kusema ila moyo unakataa kuhusu frem za sinza japo sio sinza tu kuna maeneo mengine..
Siku nikipata muda nitaleta uzi.
 
Wanaosema habari za kujiuza sijui money laundering mara madawa ni wivu tu na wengi pengine hawajawahi kufanya biashara. Hivi watu biashara ya madawa wanaivhukulia poa sana kiasi hata mtu yeyote tu anaweza kuifanya eeh!?

Wafanyabiashara wengi wa sinza ni legit kbs na wapambanaji wenye style yao tofauti ya biashara. Ukija kuchunguza utagundua hata kkoo mzunguko umepungua sio km ule wa miaka 10 iliyopita na moja ya sababu ni pamoja na kuongezeka maduka sehemu nyinginezo kama sinza nk.

Kama mtu anauza mf. nguo na anaagiza mwenyewe mzigo unafika loose cargo yake pc 1k, 2k, mpk 5k na anaweza kuusukuma wote dukani jumlisha online ndani ya miezi mi2 au chini ya hapo atashindwaje kulipa kodi ya laki 5 kwa mwezi!? Kama unajua profit margin wanazoweka/pata hao watu wa sinza ni kitu kidogo sana hiyo kodi. Ktk miezi 12 mtu kashusha mzigo mara 6 au 7 na zote umeisha km lbd ulikwama mmoja akauza sale sio mbaya still hela ya kodi hakosi na faida ya kuendeshea mambo yake mengine anakuwa nayo. Nendeni kwenye ofisi za mabasi pale shekilango muone parcel zinavyosafirishwa kila siku kwenda mikoani na hao wafanyabiashara ndio mtajua kuwa hamjui kitu.

Kushindwa na kurudisha frem ni kawaida hata kkoo inatokea sana. Haimaanishi wote wanashindwa au wote wanafanikiwa. Tusipende kuhitimisha mambo bila kufanya udadisi wa kutosha. Tujifunze kujifunza! Mwisho kuchunguza fulani anafanikiwaje bila ya tamaa ya kutaka kujifunza ni dalili za mwanzo kbs za UCHAWI
Ni sawa iyo ipo ila kw sinza na makumbusho never huwezi niaminish ivo kirahisi never
 
Wakat naanza duka sinza 2014 nilikuwa nalipa 450 frem yangu kubwa tu aisee biashara ilipochanganyia sinza Vunjabei/usiendekariakoo/frank knows watu wakadhan sinza kuna biashara.

Ukitengeneza frem watu wanagombania nakumbuka mwaka juzi jiran hapa frem ilikuwa laki nne ila watu wakapandiana kodi mpk akalipa mtu laki 8.

Cha ajabu wanakaa mwaka wanaachia.

Sinza hakuna biashara kama hauna jina ila kama unajima biashara ipo nzur tu.

Sasa kurupuka uje uchukue frem laki 8 au 1m then baada ya mwaka ndo utabaki kujiuliza usiendekariakoo/ vunjabei wanaroga au! [emoji23][emoji23][emoji23]

Wenye frem hawapandishi frem ila wanaotaka kupanga wanaodhan sinza kuna biashara ndo wanasababisha zipande

Saa hizi Sinza kuna frem 2m frem moja [emoji23][emoji23]
Kuna ukweli wowote kwamba kuna watu kwenye izo fremu wanazuga tu wana miahe tofauti ambazo ni illegal.
 
Nani amekwambia mizigo inayosafirishwa na mabasi shekilango inatokea sinza? Asilimia 90 ni kariakoo..? Kwasababu ya ukaribu wa shekilango na sinza usidhani inatokea sinza...watu wengi wa kariakoo wanaleta hapo shekilango kwasababu ndio Kuna mabasi ya kwenda almost mikoa yote.
Watu waliolezea habari za sinza usidhani wametunga , wengi tumeishi Sinza miaka nenda Rudi na wengine tumekuwa na biashara....pita Leo kuanzia shekilango Hadi bamaga note maduka yote next year utakuta mengi mapya...watu wengi wakiona hizo frem na biashara wanajua biashara ipo at the end wanafungua after a year wanafunga , wachache wapo wanaokamaa ku try mwaka mwingine ,wapo pia wanaokuja kuzugia na kupoteza muda ..inshort sinza hakuna biashara Kwa mfanyabiashara serious ...wanaofanya biashara na kumake money ni almost 10% ya biashara zote...wengine waliosali ni kujaribu biashara ,kuzugia, Dili chafu etc ..

Ukishawahi kujiuliza watu wafanyao biashara haramu huwa wanajificha kwenye biashara gani?

99%
 
Back
Top Bottom