Kwanini frame za Sinza Kodi ipo juu Lakini sioni muingiliano wa watu madukani?

Kwanini frame za Sinza Kodi ipo juu Lakini sioni muingiliano wa watu madukani?

Kwani kusema kile ulichoona ni wivu na husda?? Aloandika kua wanadanga ni nani? Mbona una makasiriko kijana au na wewe una frem yako sinza hapo, unauza nini huko mtandaoni tukuungishe, si mnafanya biashara kidigitali maduka ni gelesha tu [emoji1][emoji1]
Tabia za kichawi ni kujadili mitikasi ya wenzio kwa mrengo wa kuponda na kukebehi. Umeshindwa hoja sasa unamjadili mtoa hoja.

Hakuna mtu aliyekuomba umchangie kodi ya fremu wala mtaji sasa anachofanya/pata kwenye biashara yake wewe kinakuhusu nini!? Mbona wewe mshahara unaolipwa hauendani na kazi unayoifanya na bado umekomaa tu hapo ofisini na wengine hawasemi!? Mbn wao hawajadili jinsi wewe ulivyogeuzwa msukule na muajiri!? Wewe kwa huo mshahara wa tgskunani utaweza kununua hata boxer tu hapo Sinza kweli!?

Kutoka nilipo mpka Sinza kuna maelf ya maili katikati. Sihitaji kuwa na biashara Sinza ili nichukie wivu na husda mlizonazo wachawi dhidi ya mikimbio ya vijana wanaojaribu kutafuta riziki kihalali kusogeza siku za maisha. Mtu yeyote mwenye nia njema na moyo safi atapenda kuona vijana wanajaribu na kuwatia moyo na ikiwezekana kuwapa ushauri ili kuwasaidia. Sio kuwaponda na kuwasingizia mambo machafu kama biashara haramu mara umalaya nk. Ndio maana tunakemea mapepo kama nyie kwa jina la mwamposa!

Vijana na wapambanaji popote pale mlipo endeleeni kukaza buti iwe sinza au mahali pengine. Msikatishwe tamaa na hawa 'loosers' wa mitandaoni ambao hawanaga jema kwa mtu yeyote. Wachawi tu hawa!!!
 
Tabia za kichawi ni kujadili mitikasi ya wenzio kwa mrengo wa kuponda na kukebehi. Umeshindwa hoja sasa unamjadili mtoa hoja.

Hakuna mtu aliyekuomba umchangie kodi ya fremu wala mtaji sasa anachofanya/pata kwenye biashara yake wewe kinakuhusu nini!? Mbona wewe mshahara unaolipwa hauendani na kazi unayoifanya na bado umekomaa tu hapo ofisini na wengine hawasemi!? Mbn wao hawajadili jinsi wewe ulivyogeuzwa msukule na muajiri!? Wewe kwa huo mshahara wa tgskunani utaweza kununua hata boxer tu hapo Sinza kweli!?

Kutoka nilipo mpka Sinza kuna maelf ya maili katikati. Sihitaji kuwa na biashara Sinza ili nichukie wivu na husda mlizonazo wachawi dhidi ya mikimbio ya vijana wanaojaribu kutafuta riziki kihalali kusogeza siku za maisha. Mtu yeyote mwenye nia njema na moyo safi atapenda kuona vijana wanajaribu na kuwatia moyo na ikiwezekana kuwapa ushauri ili kuwasaidia. Sio kuwaponda na kuwasingizia mambo machafu kama biashara haramu mara umalaya nk. Ndio maana tunakemea mapepo kama nyie kwa jina la mwamposa!

Vijana na wapambanaji popote pale mlipo endeleeni kukaza buti iwe sinza au mahali pengine. Msikatishwe tamaa na hawa 'loosers' wa mitandaoni ambao hawanaga jema kwa mtu yeyote. Wachawi tu hawa!!!
Bila shaka we ni kijana wa sinza kama sio kinondoni, maelezo yote hayo ni kwasababu gani, ningelikuona mwerevu sana kama ungeignore bila hii risala yako.

Hii risala haifuti ukweli kua watu wengi(sio vijana tu kama ulivyoandika hapo) wenye frem hapo sinza wengi wao(ukiwemo wewe) ni wafanyabiashara haramu.

Kubali, kataa, panga pangua ndio iko hivyo.

Uuze pair 2 za viatu kwa siku halafu ulipe kodi ya laki 6 kila mwezi si utakua mwehu.
 
Huu uzi majobles wanafarijiana badala ya kuinuka na kupambana... me sifanyi boashara hizo lkn siku hizi biashara zinafanyika mitandaoni kwa watu wanaojua biashara.

Watu wanajielewa wanajua wanavofanya biashara sio kama nyie wavimba macho mnaoshinda JF wachawi nyie.
Akh mchawi mwenyewe bwana.
 
SABABU NI HIZI:-

• Maduka mengi ya Sinza - Kinondoni- Makumbusho na yale ya Bagamoyo road hadi Mwenge.. Wengi maduka yao mbali na kulipa kodi kubwa.. wengi wanayatumia kama sehemu ya window shop ((Bidhaa zinazo wekwa huko Ni Sample tu )).. hivyo basi lazima yapo maduka/biashara zingine Maeneo mengine kwa ajili ya back up pale inapo bidi.

• Wanauza Luxury goods zenye Profit margin kubwa kwa pisi moja:-
Bidhaa zinazouzwa kwenye maduka ya sehemu hizo, mengi yanauza zile Bidhaa luxury, ghali a Zina profit margin kubwa(( iPhone, Nguo classic, Viatu classic,.. nk )).. Kiasi ya kwamba mtu akiuza pisi moja ya iPhone per day.. faida yake ni mara mbili+ ya mtu aliyekata Baloo ya Nguo pale Karume & Boma.

• Wanawajua wateja wao:-
Mzunguko wa bidhaa zao sio mkubwa ila wahitaji wapo. (( kutokana na nature ya Bidhaa zao ni Luxury & Ghali )).. hivyo wanaweka Bidhaa Kulingana na mzunguko wao na wala sio kwa ajili ya maenesho.. kuonesha duka limejaa Mzigo ukicheki mauzo 1pc/day.

• Maduka mengi ya hayo maeneo Yanauza Kupitia Mitandao ((Instagram & Fb.. nk )):- Tunawaita mawinga.. wanatumia maduka yao kama sehemu ya ku-gain trust & tention kwa wateja wao.. Endapo wateja wamekutana nao Mtandaoni na akahitaji bidhaa lakini pia akahitaji kujua/kufika dukani.. hapa ndio nafasi ya maduka ya Maeneo hayo utaiona.

• Yanaweza Kuwa Ni Branch ya Biashara Nyingine:- Wamiliki wengi wa maduka wa Kko (( mfano vunjaBei )) wanatumia maduka ya mtaani kama means ya kutanua masoko yao.. lakini duka hilo linaendeshwa na duka jingine inapobidi.

• Ni sehemu zinazotumuka kupanga, kukamilisha na kufanikisha madili kadha kadhaa nje ya biashara/Bidhaa aliyopo Dukani.. Sio dili haramu tu Hapana na madili halali.

• Kuna model flani huwa dsm kko wanaitumia Sana.. nayo Ni Kukuta Mtu anamiliki flemu (( Chumba tu )) bila ya bidhaa.. na wapo watu wenye Bidhaa lakini hawana flemu (( Supplier )) hivo wanaungana pamoja under the umbrella of Trustfulness.



NB:- Maduka ya Maeneo hayo yana connection kubwa 80%+ na maduka na wafanya Biashara wa Kko.

[emoji2398]Chuman.com
 
SABABU NI HIZI:-

• Maduka mengi ya Sinza - Kinondoni- Makumbusho na yale ya Bagamoyo road hadi Mwenge.. Wengi maduka yao mbali na kulipa kodi kubwa.. wengi wanayatumia kama sehemu ya window shop ((Bidhaa zinazo wekwa huko Ni Sample tu )).. hivyo basi lazima yapo maduka/biashara zingine Maeneo mengine kwa ajili ya back up pale inapo bidi.

• Wanauza Luxury goods zenye Profit margin kubwa kwa pisi moja:-
Bidhaa zinazouzwa kwenye maduka ya sehemu hizo, mengi yanauza zile Bidhaa luxury, ghali a Zina profit margin kubwa(( iPhone, Nguo classic, Viatu classic,.. nk )).. Kiasi ya kwamba mtu akiuza pisi moja ya iPhone per day.. faida yake ni mara mbili+ ya mtu aliyekata Baloo ya Nguo pale Karume & Boma.

• Wanawajua wateja wao:-
Mzunguko wa bidhaa zao sio mkubwa ila wahitaji wapo. (( kutokana na nature ya Bidhaa zao ni Luxury & Ghali )).. hivyo wanaweka Bidhaa Kulingana na mzunguko wao na wala sio kwa ajili ya maenesho.. kuonesha duka limejaa Mzigo ukicheki mauzo 1pc/day.

• Maduka mengi ya hayo maeneo Yanauza Kupitia Mitandao ((Instagram & Fb.. nk )):- Tunawaita mawinga.. wanatumia maduka yao kama sehemu ya ku-gain trust & tention kwa wateja wao.. Endapo wateja wamekutana nao Mtandaoni na akahitaji bidhaa lakini pia akahitaji kujua/kufika dukani.. hapa ndio nafasi ya maduka ya Maeneo hayo utaiona.

• Yanaweza Kuwa Ni Branch ya Biashara Nyingine:- Wamiliki wengi wa maduka wa Kko (( mfano vunjaBei )) wanatumia maduka ya mtaani kama means ya kutanua masoko yao.. lakini duka hilo linaendeshwa na duka jingine inapobidi.

• Ni sehemu zinazotumuka kupanga, kukamilisha na kufanikisha madili kadha kadhaa nje ya biashara/Bidhaa aliyopo Dukani.. Sio dili haramu tu Hapana na madili halali.

• Kuna model flani huwa dsm kko wanaitumia Sana.. nayo Ni Kukuta Mtu anamiliki flemu (( Chumba tu )) bila ya bidhaa.. na wapo watu wenye Bidhaa lakini hawana flemu (( Supplier )) hivo wanaungana pamoja under the umbrella of Trustfulness.



NB:- Maduka ya Maeneo hayo yana connection kubwa 80%+ na maduka na wafanya Biashara wa Kko.

[emoji2398]Chuman.com
triga njoo upate maarifa hapa kutoka kwa huyu bingwa hapa.
Sio kukazana kuita watu wana wivu, wachawi na wana husda.

Kongole sana mkuu, malezo yako yamenyooka sana hata sie tuliokua na jakamoyo sasa tumeelewa.
 
Huyo mwenye tisheti 12 ujue ipo bidhaa ya 13 anayouza ambayo ni tupu yake
Acha kuwa negative kiasi hicho mkuu,mtu amelipa kiasi kikubwa cha fedha pango lake la frame,Hela iliyobaki kidogo ameifanya kimtaji kidogo cha kuanzia na viji t-shirt 12,wakati huo anatarajia kukopa mahali fedha akaongeze mtaji wa duka lake,halafu unasema eti anauza tupu,na wewe unauza nini? Ni heri huyo ameonyesha uthubutu wa kuanza na t-shirt 12.
 
Back
Top Bottom