Rais anaratiba zake,mchana alikuwa na baraza la mawaziri.Simple, aliitwa aende usiku, simple! Swali lingekuwa Kwanini Samia haraka haraka akamuita Mbowe Ikulu Tena usiku?
Nimekupa like kwa hili tu, "after all ni mtoto wa mpigania uhuru wa taifa letu".Mama ni Raisi mwenye hekima, lazima amjulie hali mwenyekiti after all ni mtoto wa mpigania uhuru wa taifa letu
who Gets What, When, howHuwa naikumbuka sana picha ya Rais Samora Machel aliyopiga na P W Botha ,Wazir Mkuu wa Africa Kusini,tarehe 13 March 1984.
Wakati huo nilikuwa darasa la Tatu.Baba alikuwa akienda mjini anarudi na Gazeti la Mfanyakazi hata kama ni la wiki tatu!
Picha ile inamionesha Rais Samora akisaini Mkataba wa Amani na Ujirani mwema na Makaburu!
Samora alikuwa amekunja sura ,na hali ya mwili kutokubaliana na moyo!
Mkataba huu,ulikuwa ni Mkatabauliolenga kupunguza uhasama baina ya nchi mbili!
Samora alifanya jambo hili Kwa shingo upande,hata nchi zilizokuwa Mstari wa mbele na SADC hazikukubaliana.
Lakini Samora alifanya Yale kulinda maslahi ya Msumbiji na SI vinginevyo!
Kumbuka Siasa za Dunia miaka ile ndipo zilipoanza kugeuka kwa Kasi!
Ninachotaka kusema hapa kwenye Siasa hakuna maslahi ya kudumu!
Kuna wakati unasukumwa na Upepo na upepo wakati hio ndio Siasa Yenyewe
TaiFa letu limepitia kipinddi kigumu Cha kufanya Siasa Kwa kipindi Cha miaka mitano.
Vyama vua Upinzani vimekendamizwa Kwa kiwango kikubwa ,ilihitaji wenye Mioyo ya ziada kuhimili
Mbowe ni mojawapo ya waliopitia magumu,sio ktk Chama chake TU ,hata maisha take Binafsi.
Hatuwezi kusema yeye n Shujjaa wakuweza kuhimili yote.
Kuna wakati kwenye mapambano unaweza kurudi nyuma ,kupima upepo!
Siasa hutafsiriwa kuwa...Who ,Gain What,When and How.
Mnafikiri Mandela alitoka Gerezani ,bila ku'compromise.
Mabadiliko ya Kisera zaa Uwekezajji ktk nchi za Afrika ilikiwa ni mojawapo ya masharti na Makubaliano ya Mmandela ,Makaburu ,na wakubwa wngine'.Ndio maana hata sisi Tanzania tuligeuka ghafla tukaanza kuwaita Makaburu ...Wawekezaji[emoji23]
Hii ndio Siasa !
Msione ajabu Mh.Mbowe kwenda Kwa mama Usikuusiku!
Mbowe is there to Stand !
Na Yehova atasimama naye!
Sijui agenda ilikuwa ni nini!? Ila ninachojua ni kuwa, Mbowe hakwenda Ikulu bila kuitwa na Mwenye Ikulu.
Kikubwa ni kuwa, Mwenyekiti Mbowe aliitikia wito. Na muungwana huwa hakatai wito.
Kama Rais wa jamuhuri akikuhitaji leo unaweza kugomea wito!!?Mi japo kuwa ni mpenzi wa chadema, bado nawaza kwanini alikubali kwenda ikulu siku hiyohiyo tena usiku usiku. Kulikuwa na haraka gani? Kwanini? Kufanya nini?
😂😂🤣Ikulu yupo mama,na Mbowe ni baba we ulitakaje?
Safari ya kurudi jamaa wale wale waliomuita kumsainisha MKATABA WA amani, wakaitungua Ile ndege iliyombeba, Rwanda nayo ilikuwa hivyo hivyo, nafikiri Ukraine anaogopa kutoka maana historical facts zinaonyesha kutunguliwa angani ni rahisi kuliko ardhi!Dah! Umenikumbusha Nkomati Accord
Haya maneno ya nimekosa mm nimekosa sana ni maneno yanaweza semwa na mwana ccm pekee, huwezi msikia Mbowe akitamka hayo asilani!!
Hukuelewa mada ,na wala hutaelewaRais anaratiba zake,mchana alikuwa na baraza la mawaziri.
Pia ifahamike yule ni Amiri jeshi mkuu.24 hrs aweza Fanya kikao nakutoa tamko.
Mbona hamkuhoji kwanini alitangaza kifo usiku march 2021?
Dinner (chakula cha usiku) hakiliwi mchana.Huwa naikumbuka sana picha ya Rais Samora Machel aliyopiga na P W Botha ,Wazir Mkuu wa Africa Kusini,tarehe 13 March 1984.
Wakati huo nilikuwa darasa la Tatu.Baba alikuwa akienda mjini anarudi na Gazeti la Mfanyakazi hata kama ni la wiki tatu!
Picha ile inamionesha Rais Samora akisaini Mkataba wa Amani na Ujirani mwema na Makaburu!
Samora alikuwa amekunja sura ,na hali ya mwili kutokubaliana na moyo!
Mkataba huu,ulikuwa ni Mkatabauliolenga kupunguza uhasama baina ya nchi mbili!
Samora alifanya jambo hili Kwa shingo upande,hata nchi zilizokuwa Mstari wa mbele na SADC hazikukubaliana.
Lakini Samora alifanya Yale kulinda maslahi ya Msumbiji na SI vinginevyo!
Kumbuka Siasa za Dunia miaka ile ndipo zilipoanza kugeuka kwa Kasi!
Ninachotaka kusema hapa kwenye Siasa hakuna maslahi ya kudumu!
Kuna wakati unasukumwa na Upepo na upepo wakati hio ndio Siasa Yenyewe
TaiFa letu limepitia kipinddi kigumu Cha kufanya Siasa Kwa kipindi Cha miaka mitano.
Vyama vua Upinzani vimekendamizwa Kwa kiwango kikubwa ,ilihitaji wenye Mioyo ya ziada kuhimili
Mbowe ni mojawapo ya waliopitia magumu,sio ktk Chama chake TU ,hata maisha take Binafsi.
Hatuwezi kusema yeye n Shujjaa wakuweza kuhimili yote.
Kuna wakati kwenye mapambano unaweza kurudi nyuma ,kupima upepo!
Siasa hutafsiriwa kuwa...Who ,Gain What,When and How.
Mnafikiri Mandela alitoka Gerezani ,bila ku'compromise.
Mabadiliko ya Kisera zaa Uwekezajji ktk nchi za Afrika ilikiwa ni mojawapo ya masharti na Makubaliano ya Mmandela ,Makaburu ,na wakubwa wngine'.Ndio maana hata sisi Tanzania tuligeuka ghafla tukaanza kuwaita Makaburu ...Wawekezaji😂
Hii ndio Siasa !
Msione ajabu Mh.Mbowe kwenda Kwa mama Usikuusiku!
Mbowe is there to Stand !
Na Yehova atasimama naye!
Acha Uongo toa hizo PichaHuwa naikumbuka sana picha ya Rais Samora Machel aliyopiga na P W Botha ,Wazir Mkuu wa Africa Kusini,tarehe 13 March 1984.
Wakati huo nilikuwa darasa la Tatu.Baba alikuwa akienda mjini anarudi na Gazeti la Mfanyakazi hata kama ni la wiki tatu!
Picha ile inamionesha Rais Samora akisaini Mkataba wa Amani na Ujirani mwema na Makaburu!
Samora alikuwa amekunja sura ,na hali ya mwili kutokubaliana na moyo!
Mkataba huu,ulikuwa ni Mkatabauliolenga kupunguza uhasama baina ya nchi mbili!
Samora alifanya jambo hili Kwa shingo upande,hata nchi zilizokuwa Mstari wa mbele na SADC hazikukubaliana.
Lakini Samora alifanya Yale kulinda maslahi ya Msumbiji na SI vinginevyo!
Kumbuka Siasa za Dunia miaka ile ndipo zilipoanza kugeuka kwa Kasi!
Ninachotaka kusema hapa kwenye Siasa hakuna maslahi ya kudumu!
Kuna wakati unasukumwa na Upepo na upepo wakati hio ndio Siasa Yenyewe
TaiFa letu limepitia kipinddi kigumu Cha kufanya Siasa Kwa kipindi Cha miaka mitano.
Vyama vua Upinzani vimekendamizwa Kwa kiwango kikubwa ,ilihitaji wenye Mioyo ya ziada kuhimili
Mbowe ni mojawapo ya waliopitia magumu,sio ktk Chama chake TU ,hata maisha take Binafsi.
Hatuwezi kusema yeye n Shujjaa wakuweza kuhimili yote.
Kuna wakati kwenye mapambano unaweza kurudi nyuma ,kupima upepo!
Siasa hutafsiriwa kuwa...Who ,Gain What,When and How.
Mnafikiri Mandela alitoka Gerezani ,bila ku'compromise.
Mabadiliko ya Kisera zaa Uwekezajji ktk nchi za Afrika ilikiwa ni mojawapo ya masharti na Makubaliano ya Mmandela ,Makaburu ,na wakubwa wngine'.Ndio maana hata sisi Tanzania tuligeuka ghafla tukaanza kuwaita Makaburu ...Wawekezaji[emoji23]
Hii ndio Siasa !
Msione ajabu Mh.Mbowe kwenda Kwa mama Usikuusiku!
Mbowe is there to Stand !
Na Yehova atasimama naye!
Eti yehova atasimama naye😂..nyie endeleeni tu kufikiri mungu ni wenu tu. Ndio maana tunasemaga mungu wenu mnamjua wenyewe. Tanzania ya kuongozwa na wabinafsi wenye uchu wa kujilimbikizia kwa kuwafukarisha umma haipo hata kwa ugaidi. Ujamaa ndio msingi wa amani tanzania.Huwa naikumbuka sana picha ya Rais Samora Machel aliyopiga na P W Botha ,Wazir Mkuu wa Africa Kusini,tarehe 13 March 1984.
Wakati huo nilikuwa darasa la Tatu.Baba alikuwa akienda mjini anarudi na Gazeti la Mfanyakazi hata kama ni la wiki tatu!
Picha ile inamionesha Rais Samora akisaini Mkataba wa Amani na Ujirani mwema na Makaburu!
Samora alikuwa amekunja sura ,na hali ya mwili kutokubaliana na moyo!
Mkataba huu,ulikuwa ni Mkatabauliolenga kupunguza uhasama baina ya nchi mbili!
Samora alifanya jambo hili Kwa shingo upande,hata nchi zilizokuwa Mstari wa mbele na SADC hazikukubaliana.
Lakini Samora alifanya Yale kulinda maslahi ya Msumbiji na SI vinginevyo!
Kumbuka Siasa za Dunia miaka ile ndipo zilipoanza kugeuka kwa Kasi!
Ninachotaka kusema hapa kwenye Siasa hakuna maslahi ya kudumu!
Kuna wakati unasukumwa na Upepo na upepo wakati hio ndio Siasa Yenyewe
TaiFa letu limepitia kipinddi kigumu Cha kufanya Siasa Kwa kipindi Cha miaka mitano.
Vyama vua Upinzani vimekendamizwa Kwa kiwango kikubwa ,ilihitaji wenye Mioyo ya ziada kuhimili
Mbowe ni mojawapo ya waliopitia magumu,sio ktk Chama chake TU ,hata maisha take Binafsi.
Hatuwezi kusema yeye n Shujjaa wakuweza kuhimili yote.
Kuna wakati kwenye mapambano unaweza kurudi nyuma ,kupima upepo!
Siasa hutafsiriwa kuwa...Who ,Gain What,When and How.
Mnafikiri Mandela alitoka Gerezani ,bila ku'compromise.
Mabadiliko ya Kisera zaa Uwekezajji ktk nchi za Afrika ilikiwa ni mojawapo ya masharti na Makubaliano ya Mmandela ,Makaburu ,na wakubwa wngine'.Ndio maana hata sisi Tanzania tuligeuka ghafla tukaanza kuwaita Makaburu ...Wawekezaji😂
Hii ndio Siasa !
Msione ajabu Mh.Mbowe kwenda Kwa mama Usikuusiku!
Mbowe is there to Stand !
Na Yehova atasimama naye!
Aliitwa kwenda kuonywa.Lazima aliitwa na mkuu wa meza
Hawezi kujipeleka pasipo kuitwa.