Kwanini Freeman Mbowe alienda Ikulu Usiku?

Kwanini Freeman Mbowe alienda Ikulu Usiku?

Simple, aliitwa aende usiku, simple! Swali lingekuwa Kwanini Samia haraka haraka akamuita Mbowe Ikulu Tena usiku?
Rais anaratiba zake,mchana alikuwa na baraza la mawaziri.

Pia ifahamike yule ni Amiri jeshi mkuu.24 hrs aweza Fanya kikao nakutoa tamko.

Mbona hamkuhoji kwanini alitangaza kifo usiku march 2021?
 
Mama ni Raisi mwenye hekima, lazima amjulie hali mwenyekiti after all ni mtoto wa mpigania uhuru wa taifa letu
 
Huwa naikumbuka sana picha ya Rais Samora Machel aliyopiga na P W Botha ,Wazir Mkuu wa Africa Kusini,tarehe 13 March 1984.

Wakati huo nilikuwa darasa la Tatu.Baba alikuwa akienda mjini anarudi na Gazeti la Mfanyakazi hata kama ni la wiki tatu!

Picha ile inamionesha Rais Samora akisaini Mkataba wa Amani na Ujirani mwema na Makaburu!

Samora alikuwa amekunja sura ,na hali ya mwili kutokubaliana na moyo!

Mkataba huu,ulikuwa ni Mkatabauliolenga kupunguza uhasama baina ya nchi mbili!
Samora alifanya jambo hili Kwa shingo upande,hata nchi zilizokuwa Mstari wa mbele na SADC hazikukubaliana.

Lakini Samora alifanya Yale kulinda maslahi ya Msumbiji na SI vinginevyo!

Kumbuka Siasa za Dunia miaka ile ndipo zilipoanza kugeuka kwa Kasi!

Ninachotaka kusema hapa kwenye Siasa hakuna maslahi ya kudumu!

Kuna wakati unasukumwa na Upepo na upepo wakati hio ndio Siasa Yenyewe

TaiFa letu limepitia kipinddi kigumu Cha kufanya Siasa Kwa kipindi Cha miaka mitano.

Vyama vua Upinzani vimekendamizwa Kwa kiwango kikubwa ,ilihitaji wenye Mioyo ya ziada kuhimili

Mbowe ni mojawapo ya waliopitia magumu,sio ktk Chama chake TU ,hata maisha take Binafsi.

Hatuwezi kusema yeye n Shujjaa wakuweza kuhimili yote.

Kuna wakati kwenye mapambano unaweza kurudi nyuma ,kupima upepo!
Siasa hutafsiriwa kuwa...Who ,Gain What,When and How.

Mnafikiri Mandela alitoka Gerezani ,bila ku'compromise.

Mabadiliko ya Kisera zaa Uwekezajji ktk nchi za Afrika ilikiwa ni mojawapo ya masharti na Makubaliano ya Mmandela ,Makaburu ,na wakubwa wngine'.Ndio maana hata sisi Tanzania tuligeuka ghafla tukaanza kuwaita Makaburu ...Wawekezaji[emoji23]

Hii ndio Siasa !

Msione ajabu Mh.Mbowe kwenda Kwa mama Usikuusiku!

Mbowe is there to Stand !
Na Yehova atasimama naye!
who Gets What, When, how

Hii def.ya fundi Harold Lasswell Classical Political scientist.
 
Sijui agenda ilikuwa ni nini!? Ila ninachojua ni kuwa, Mbowe hakwenda Ikulu bila kuitwa na Mwenye Ikulu.

Kikubwa ni kuwa, Mwenyekiti Mbowe aliitikia wito. Na muungwana huwa hakatai wito.

Muungwana hakatai wito bali hukataa NENO!! Kuna ukweli gani kuwa alikwenda usiku?
 
Mi japo kuwa ni mpenzi wa chadema, bado nawaza kwanini alikubali kwenda ikulu siku hiyohiyo tena usiku usiku. Kulikuwa na haraka gani? Kwanini? Kufanya nini?
Kama Rais wa jamuhuri akikuhitaji leo unaweza kugomea wito!!?

Unamfahamu muhesjimiwa Rais?

Endeleeni kujitoa ufahamu!

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Dah! Umenikumbusha Nkomati Accord
Safari ya kurudi jamaa wale wale waliomuita kumsainisha MKATABA WA amani, wakaitungua Ile ndege iliyombeba, Rwanda nayo ilikuwa hivyo hivyo, nafikiri Ukraine anaogopa kutoka maana historical facts zinaonyesha kutunguliwa angani ni rahisi kuliko ardhi!
 
Abramovich ana kanuni yake muhimu kuwa Rais ndio anamiliki jela na sheria hivo alikuwa mtu makini ambaye alihakikisha kuwa hakosani na watawala ili asiharibu mambo yake.

Point muhimuu sana... Asomae na Afahamu
 
Kaenda kutubu usiku kwa mama ili kukwepa wafuasi wake macho kodo wasijue lakini wamejua.
 
Rais anaratiba zake,mchana alikuwa na baraza la mawaziri.

Pia ifahamike yule ni Amiri jeshi mkuu.24 hrs aweza Fanya kikao nakutoa tamko.

Mbona hamkuhoji kwanini alitangaza kifo usiku march 2021?
Hukuelewa mada ,na wala hutaelewa
 
Huwa naikumbuka sana picha ya Rais Samora Machel aliyopiga na P W Botha ,Wazir Mkuu wa Africa Kusini,tarehe 13 March 1984.

Wakati huo nilikuwa darasa la Tatu.Baba alikuwa akienda mjini anarudi na Gazeti la Mfanyakazi hata kama ni la wiki tatu!

Picha ile inamionesha Rais Samora akisaini Mkataba wa Amani na Ujirani mwema na Makaburu!

Samora alikuwa amekunja sura ,na hali ya mwili kutokubaliana na moyo!

Mkataba huu,ulikuwa ni Mkatabauliolenga kupunguza uhasama baina ya nchi mbili!
Samora alifanya jambo hili Kwa shingo upande,hata nchi zilizokuwa Mstari wa mbele na SADC hazikukubaliana.

Lakini Samora alifanya Yale kulinda maslahi ya Msumbiji na SI vinginevyo!

Kumbuka Siasa za Dunia miaka ile ndipo zilipoanza kugeuka kwa Kasi!

Ninachotaka kusema hapa kwenye Siasa hakuna maslahi ya kudumu!

Kuna wakati unasukumwa na Upepo na upepo wakati hio ndio Siasa Yenyewe

TaiFa letu limepitia kipinddi kigumu Cha kufanya Siasa Kwa kipindi Cha miaka mitano.

Vyama vua Upinzani vimekendamizwa Kwa kiwango kikubwa ,ilihitaji wenye Mioyo ya ziada kuhimili

Mbowe ni mojawapo ya waliopitia magumu,sio ktk Chama chake TU ,hata maisha take Binafsi.

Hatuwezi kusema yeye n Shujjaa wakuweza kuhimili yote.

Kuna wakati kwenye mapambano unaweza kurudi nyuma ,kupima upepo!
Siasa hutafsiriwa kuwa...Who ,Gain What,When and How.

Mnafikiri Mandela alitoka Gerezani ,bila ku'compromise.

Mabadiliko ya Kisera zaa Uwekezajji ktk nchi za Afrika ilikiwa ni mojawapo ya masharti na Makubaliano ya Mmandela ,Makaburu ,na wakubwa wngine'.Ndio maana hata sisi Tanzania tuligeuka ghafla tukaanza kuwaita Makaburu ...Wawekezaji😂

Hii ndio Siasa !

Msione ajabu Mh.Mbowe kwenda Kwa mama Usikuusiku!

Mbowe is there to Stand !
Na Yehova atasimama naye!
Dinner (chakula cha usiku) hakiliwi mchana.
 
Huwa naikumbuka sana picha ya Rais Samora Machel aliyopiga na P W Botha ,Wazir Mkuu wa Africa Kusini,tarehe 13 March 1984.

Wakati huo nilikuwa darasa la Tatu.Baba alikuwa akienda mjini anarudi na Gazeti la Mfanyakazi hata kama ni la wiki tatu!

Picha ile inamionesha Rais Samora akisaini Mkataba wa Amani na Ujirani mwema na Makaburu!

Samora alikuwa amekunja sura ,na hali ya mwili kutokubaliana na moyo!

Mkataba huu,ulikuwa ni Mkatabauliolenga kupunguza uhasama baina ya nchi mbili!
Samora alifanya jambo hili Kwa shingo upande,hata nchi zilizokuwa Mstari wa mbele na SADC hazikukubaliana.

Lakini Samora alifanya Yale kulinda maslahi ya Msumbiji na SI vinginevyo!

Kumbuka Siasa za Dunia miaka ile ndipo zilipoanza kugeuka kwa Kasi!

Ninachotaka kusema hapa kwenye Siasa hakuna maslahi ya kudumu!

Kuna wakati unasukumwa na Upepo na upepo wakati hio ndio Siasa Yenyewe

TaiFa letu limepitia kipinddi kigumu Cha kufanya Siasa Kwa kipindi Cha miaka mitano.

Vyama vua Upinzani vimekendamizwa Kwa kiwango kikubwa ,ilihitaji wenye Mioyo ya ziada kuhimili

Mbowe ni mojawapo ya waliopitia magumu,sio ktk Chama chake TU ,hata maisha take Binafsi.

Hatuwezi kusema yeye n Shujjaa wakuweza kuhimili yote.

Kuna wakati kwenye mapambano unaweza kurudi nyuma ,kupima upepo!
Siasa hutafsiriwa kuwa...Who ,Gain What,When and How.

Mnafikiri Mandela alitoka Gerezani ,bila ku'compromise.

Mabadiliko ya Kisera zaa Uwekezajji ktk nchi za Afrika ilikiwa ni mojawapo ya masharti na Makubaliano ya Mmandela ,Makaburu ,na wakubwa wngine'.Ndio maana hata sisi Tanzania tuligeuka ghafla tukaanza kuwaita Makaburu ...Wawekezaji[emoji23]

Hii ndio Siasa !

Msione ajabu Mh.Mbowe kwenda Kwa mama Usikuusiku!

Mbowe is there to Stand !
Na Yehova atasimama naye!
Acha Uongo toa hizo Picha
 
Huwa naikumbuka sana picha ya Rais Samora Machel aliyopiga na P W Botha ,Wazir Mkuu wa Africa Kusini,tarehe 13 March 1984.

Wakati huo nilikuwa darasa la Tatu.Baba alikuwa akienda mjini anarudi na Gazeti la Mfanyakazi hata kama ni la wiki tatu!

Picha ile inamionesha Rais Samora akisaini Mkataba wa Amani na Ujirani mwema na Makaburu!

Samora alikuwa amekunja sura ,na hali ya mwili kutokubaliana na moyo!

Mkataba huu,ulikuwa ni Mkatabauliolenga kupunguza uhasama baina ya nchi mbili!
Samora alifanya jambo hili Kwa shingo upande,hata nchi zilizokuwa Mstari wa mbele na SADC hazikukubaliana.

Lakini Samora alifanya Yale kulinda maslahi ya Msumbiji na SI vinginevyo!

Kumbuka Siasa za Dunia miaka ile ndipo zilipoanza kugeuka kwa Kasi!

Ninachotaka kusema hapa kwenye Siasa hakuna maslahi ya kudumu!

Kuna wakati unasukumwa na Upepo na upepo wakati hio ndio Siasa Yenyewe

TaiFa letu limepitia kipinddi kigumu Cha kufanya Siasa Kwa kipindi Cha miaka mitano.

Vyama vua Upinzani vimekendamizwa Kwa kiwango kikubwa ,ilihitaji wenye Mioyo ya ziada kuhimili

Mbowe ni mojawapo ya waliopitia magumu,sio ktk Chama chake TU ,hata maisha take Binafsi.

Hatuwezi kusema yeye n Shujjaa wakuweza kuhimili yote.

Kuna wakati kwenye mapambano unaweza kurudi nyuma ,kupima upepo!
Siasa hutafsiriwa kuwa...Who ,Gain What,When and How.

Mnafikiri Mandela alitoka Gerezani ,bila ku'compromise.

Mabadiliko ya Kisera zaa Uwekezajji ktk nchi za Afrika ilikiwa ni mojawapo ya masharti na Makubaliano ya Mmandela ,Makaburu ,na wakubwa wngine'.Ndio maana hata sisi Tanzania tuligeuka ghafla tukaanza kuwaita Makaburu ...Wawekezaji😂

Hii ndio Siasa !

Msione ajabu Mh.Mbowe kwenda Kwa mama Usikuusiku!

Mbowe is there to Stand !
Na Yehova atasimama naye!
Eti yehova atasimama naye😂..nyie endeleeni tu kufikiri mungu ni wenu tu. Ndio maana tunasemaga mungu wenu mnamjua wenyewe. Tanzania ya kuongozwa na wabinafsi wenye uchu wa kujilimbikizia kwa kuwafukarisha umma haipo hata kwa ugaidi. Ujamaa ndio msingi wa amani tanzania.
 
Kwa nini wakati wa Kikwete alikwenda mchana? Ana maswali mengi sana ya kujibu.
 
Back
Top Bottom