GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na kwa Marais mara kwa mara hupenda sana kuwapa ama Pete au Mkufu wauvae na kama wakikupa Pete yao basi itakulazimu mara kwa mara uwe unaishikashika.
Kwa Mfano GENTAMYCINE ningekuwa Rais wa Tanzania halafu labda nikawa na Shughuli / Hafla Uwanja wa Uhuru huku Watu wakiwa wengi moja ya Sharti la Freemasons ni kwamba kila mara niwe naishikashika ili Nyota yao ya Kichawi inilinde na iniletee Mvuto zaidi.
Acheni kuhangaika kutaka Kushindana na Watu wenye Akili Kubwa na Waliobarikiwa Akili kuliko Wewe au Nyie Sawa?
Geniuses zangu Wakubwa Arovera, Bila bila, mrangi, King Kong III etc mpo lakini au? Ukiwa na Akili Kubwa raha sana.
Kwa Mfano GENTAMYCINE ningekuwa Rais wa Tanzania halafu labda nikawa na Shughuli / Hafla Uwanja wa Uhuru huku Watu wakiwa wengi moja ya Sharti la Freemasons ni kwamba kila mara niwe naishikashika ili Nyota yao ya Kichawi inilinde na iniletee Mvuto zaidi.
Acheni kuhangaika kutaka Kushindana na Watu wenye Akili Kubwa na Waliobarikiwa Akili kuliko Wewe au Nyie Sawa?
Geniuses zangu Wakubwa Arovera, Bila bila, mrangi, King Kong III etc mpo lakini au? Ukiwa na Akili Kubwa raha sana.