DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
MIji ya kulazimishwa na serikali huwa ina maisha ya expensive .
Nikama tu maisha yalivyo ghali pretoria kulinganisha na Johanessburg.
Dodoma inalala saa mbili usiku huwezi linganisha na dar ambayo saa nane usiku kituoni kuna mpigadebe na abiria wapo
Dodoma ya kulala saa 2 usiku ni ya mwaka gani hiyo mkuu...?
 
Back
Top Bottom