DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

DOKEZO Kwanini fremu Dodoma zinafungwa sana na biashara kufa kila uchwao?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Things have Already fallen Apart.....; Kwa sasa tunaishi / kufanya vitu ambavyo sio sustainable kabisa..

Biashara nyingi ujanja ujanja kila mtu akilipa / akifanya vitu by the books lazima afunge Biashara
 
Jamii foraum tunaomba hii mada muipeleke kula fb kwenye pages yenu watu wajadili kiupana , na wahusika na viongozi wa Jiji la DODOMA waone kua wananchi wamechukizwa na changamoto za makodi ya hovyo dodoma
Hoja nzuri sna hii
 
Dodoma is overated!

Miji ya kujenga arfiticially huwa na maisha magumu.

Mfano Abuja wa Nigeria ni mji uliojengwa baada ya Serikali ya nchi hiyo kuamua kuhama Lagos na kuhamia Abuja.

Abuja maisha magumu. Kule matajiri wa kubwa ndiyo wanapamudu.

Dar es Salaam bado itakuwa juu kwa kila rika ila siyo Dodoma.
 
Mbona hapa Domu poa tu mkuu😏.
Biashara ndo inayoongoza Dunia.
Maisha ni biashara mkuu,hivyo ukiona mtu kafunga,ujue Kuna sababu nyingi nyingi tu,sio flemu Wala Kodi nyingi.

Kwanza ni mji mkuu wa kisiasa,pia wengi wao ni wafanyakazi.

Na aliyefunga ujue anaishi Kwa kutegemea hiyohiyo biashara.
Ila ukweli wa mambo,hakuna kabwela anaeweza kumiliki flemu town KATI mkuu.
Wengi ni wazito,na wafanyakazi wa umma Kwa 90%. Au sekta binafsi wenye mishahara minono jombaa.
Mwananchi wa kawaida ni machinga,au ana kijibanda Cha mbao fc,au Yuko pembezon mwa mji.
Lakini mjini kati,sio wa kawaida.
Karibu IDODOMIA mkuu
 
Mbona hapa Domu poa tu mkuu[emoji57].
Biashara ndo inayoongoza Dunia.
Maisha ni biashara mkuu,hivyo ukiona mtu kafunga,ujue Kuna sababu nyingi nyingi tu,sio flemu Wala Kodi nyingi.

Kwanza ni mji mkuu wa kisiasa,pia wengi wao ni wafanyakazi.

Na aliyefunga ujue anaishi Kwa kutegemea hiyohiyo biashara.
Ila ukweli wa mambo,hakuna kabwela anaeweza kumiliki flemu town KATI mkuu.
Wengi ni wazito,na wafanyakazi wa umma Kwa 90%. Au sekta binafsi wenye mishahara minono jombaa.
Mwananchi wa kawaida ni machinga,au ana kijibanda Cha mbao fc,au Yuko pembezon mwa mji.
Lakini mjini kati,sio wa kawaida.
Karibu IDODOMIA mkuu
Kumbee
 
Dodoma is overated!

Miji ya kujenga arfiticially huwa na maisha magumu.

Mfano Abuja wa Nigeria ni mji uliojengwa baada ya Serikali ya nchi hiyo kuamua kuhama Lagos na kuhamia Abuja.

Abuja maisha magumu. Kule matajiri wa kubwa ndiyo wanapamudu.

Dar es Salaam bado itakuwa juu kwa kila rika ila siyo Dodoma.
Ni kweli kabisa
 
Things have Already fallen Apart.....; Kwa sasa tunaishi / kufanya vitu ambavyo sio sustainable kabisa..

Biashara nyingi ujanja ujanja kila mtu akilipa / akifanya vitu by the books lazima afunge Biashara
Tatizo ni nini
 
Tatizo ni nini
  1. Watoa Huduma wamekuwa wengi kuliko wahitaji
  2. Biashara nyingi za Bongo ni Uchuuzi / Umachinga katika level tofauti
  3. Wizi na utapeli ndio mpango mzima hakuna level playing field ukifanya biashara by the book huwezi kutoboa
  4. Serikali badala ya kutoa huduma na kutengeneza sera watu wapate ajira zenye ujira wamekuwa walafi wanakusanya na kunyanganya hata wasipopatengeneza
  5. Biashara za kuiga na watu kufanya vitu sio kwa mapenzi bali kutapatapa angalau mkono huende kinywani (nyingi kama hazifi leo basi zitakufa kesho) watu hawana experience wala mapenzi ya field wanazofanya
In short it will get worse.....; mfumo wa kimaisha wa sasa wa automation / machinery na kutokuhitajika kwa watoa huduma / nguvu kazi - hauwezi kuendena na mfumo wa Kibepari (Its a recipe for disaster)
 
Dodoma ni nyumbani na nimeshi mjini almost 20 years, kiukweli dodoma gharama za maisha zipo juu Sana. Bei ya vitu ipo juu Sana tofauti na Dar, wengi mmeandika ila mmesahau kitu kimoja,

dodoma ni mji wenye population kubwa Sana ya watu Kwa sasa, hivyo wafanyabiashara hawaoni ajabu kukuuzia bei ya juu wanajua usiponunua wewe wenzako watakuja watanunua na wala hawatabargain bei, mkoa Una kuna Ka Aina Fulani hivi cha monopolism.

Dodoma ndio mkoa wenye gape Sana Kati ya maskini na tajari, dodoma na mkoa wa Songea hautofautiani Sana kwa gape Hilo maana hata songea kuna gape kubwa Sana kutokana na kuongezeka Kwa wafanyabiashara wa madini ya makaa ya mawe, na wafanyabiashara wakubwa wa mazao.

Kama unayo biashara dodoma na ukawa unauza kwa reasonable price, na ukaacha Tamaa , biashara yako itakua inao uwezo mzuri wa kufanya vizuri sokoni.
 
Dodoma ni pakubwa kisiasa na kiserikali ila sii kibiashara , wengi wanaofunga biadhara Dom walioaminishwa kuwa Dodoma itakuwa kubwa baada ya serikali kuhamia huko .
Dar es salaam bado itakuwa kinara kiuchumi kwa miaka mingi mbele
 
Dodoma is overated!

Miji ya kujenga arfiticially huwa na maisha magumu.

Mfano Abuja wa Nigeria ni mji uliojengwa baada ya Serikali ya nchi hiyo kuamua kuhama Lagos na kuhamia Abuja.

Abuja maisha magumu. Kule matajiri wa kubwa ndiyo wanapamudu.

Dar es Salaam bado itakuwa juu kwa kila rika ila siyo Dodoma.
MIji ya kulazimishwa na serikali huwa ina maisha ya expensive .
Nikama tu maisha yalivyo ghali pretoria kulinganisha na Johanessburg.
Dodoma inalala saa mbili usiku huwezi linganisha na dar ambayo saa nane usiku kituoni kuna mpigadebe na abiria wapo
 
MIji ya kulazimishwa na serikali huwa ina maisha ya expensive .
Nikama tu maisha ya libyo ghali pretoria kulinganisha na Johanessburg.
Dodoma inalala saa mbili usiku huwezi linganisha na dar ambayo saa nane usiku kituoni kuna mpigadebe na abiria wapo
Sure
 
MIji ya kulazimishwa na serikali huwa ina maisha ya expensive .
Nikama tu maisha ya libyo ghali pretoria kulinganisha na Johanessburg.
Dodoma inalala saa mbili usiku huwezi linganisha na dar ambayo saa nane usiku kituoni kuna mpigadebe na abiria wapo
Siamini mkuu
 
MIji ya kulazimishwa na serikali huwa ina maisha ya expensive .
Nikama tu maisha ya libyo ghali pretoria kulinganisha na Johanessburg.
Dodoma inalala saa mbili usiku huwezi linganisha na dar ambayo saa nane usiku kituoni kuna mpigadebe na abiria wapo
Siamini mkuu
 
MIji ya kulazimishwa na serikali huwa ina maisha ya expensive .
Nikama tu maisha ya libyo ghali pretoria kulinganisha na Johanessburg.
Dodoma inalala saa mbili usiku huwezi linganisha na dar ambayo saa nane usiku kituoni kuna mpigadebe na abiria wapo
Siamini mkuu
 
Nipo Dodoma kikazi ila ninachojionea ni balaa ,

Fremu nyingi zinafungwa na watu wameshindwa biashara,

Najiuliza tatizo ni nini , Nilijaribu kuuliza baadhi ya wadau , wengi wameniambia Cha kwanza bei za fremu ,

Utakuta fremu Dodoma Hadi laki 7 ukija hizo Kodi za kufanya biashara mji huu ni utitiri wa Kodi , ambazo hazina kichwa wala miguu

Naomba viongozi wa Jiji la Dodoma fatilieni hili swala, Pana haha Gani mtu alipe TBS ,tra, mzani , bibi afya, usafi , mzani ,mlinzi,fire,

Jamani uongozi wa Jiji la DODOMA mnaumiza wafanyabiashara, Naomba wenye mamlaka ingilieni kati,

Hii inafanya bidhaa Dodoma kuwa kubwaa mno, inafanya watu kuishi dodoma ni changamoto
na kimsingi haiwaumizi wafanyabiashara, bali mlaji wa mwisho (mwananchi). maana mfanyabiashara itabidi apandishe bei za bidhaa zake ili apate faida. biashara ni faida. "profit oriented"
 
Back
Top Bottom